CHADEMA, mna haki ya kumuona Lissu kama shujaa wenu, ila si kulazimisha kila mtu amuone ni shujaa

Ndugu Kisamv elewa kwenye siasa kuna "check & balance" kwahiyo Lissu kuongelea mambo ya madini mbele ya waandishi wa habari ilikuwa sahihi kwa yeye kama mwanasiasa mpinzani. Na mambo aliyoongelea yalikuwa ya kisheria na sio huo upumbavu wa kudai utu na huruma. Kuhusu katiba ni kweli Lissu na wapinzani wengine walizingua sana kwa kung'ang'ania vitu vya kipuuzi visivyoboresha maisha ya mwananchi hasa ishu ya SERIKALI TATU. Ila umesoma kilichoandikwa kwenye katiba pendekezwa? Yaani bora mchakato uanze upya au iachwe katiba hiihii kuliko ile pendekezwa ya Chenge. Wakati mwingine jitahidi kuja na nyuzi zinazotumia akili. Ninakereka sana mtu anayeturudisha kwenye machungu ya awamu ya 5.
 

..halafu Prof.Kabudi si alijitokeza na kusema madai ya usd 191 bil dhidi ya acacia hayakuwa ya kweli?


..Na kauli Prof.Kabudi inakazia kauli aliyotoa Tundu Lissu kwamba ripoti za uchunguzi zilikuwa " professorial rubbish. "

..Jpm alianzisha utamaduni mbaya sana wa kulaghai wananchi na kuwa na makundi ya wapambe ya kutetea ulaghai wake.
 
Haya ni mambo kimedani vitani mkuu
 
Wewe kwa mtizamo wako mwendazake unamchukulia kama Tundu lussu?,
 
Lini na wapi Chadema wametoa tamko la kulazimisha watu wamuone Lissu shujaa? Unaonekana wewe ni salia la yule mzilankende
 
Lisu shujaaa Bwana Acha wivu,,Mimi ccm kindakindaki Lakini lisu namkubari.Ni mkweli Hana makandokando ya Rushwa,,Mnyonge Mnyongeni Lakini Jamaa Yuko Safiiiii.
Shujaa wa Belgium 🇧🇪 kwani yule ni mtanzania?
 
Sikushangai kwa sababu nilitoa rukusa kwa wenye matusi kama wewe'

Toa yote ya nyongoni mwako ila huwezi kuwalazimisha wenye akili kubwa waone kama wewe
Kama wewe ni mmojawapo wa wenye akili kubwa, basi ndio maana Tanzania ipo hivi ilivyo hata baada ya miaka 60 ya uhuru!!
 
Ndugu kwani ni NANI huyo, na LINI na WAPI ulilazimishwa umuone Tundu Lissu ni shujaa?

Umechanganyikiwa bila Shaka.... Au siyo?

Watu (nikiwemo Mimi) wanampenda, wanamsikiliza, wanamwelewa, kumwamini na zaidi sana kumuona shujaa Tundu Lissu kwa hiari yao wenyewe bila shuruti yoyote..

Hivi nani mwingine duniani kote tangu kuumbwa ulimwengu aliwahi kupigwa risasi 37 na 16 kuzama mwilini halafu asife, akaendelea kuwa hai?

Ni Tundu Lissu pekee!!....... Huyu mtu ni very unique. HUYU NI SHUJAA upende ama usipende!!

Wewe unasemaje ulilazimishwa? Wapi na nani huyo?
 
Shujaa wenu kaja
Wewe uko Tanzania ipi usiyejua kwamba tanzania imekuwa ikishtakiwa na bado ina kesi ktk mahakama za kimataifa kutokana na migogoro ya mikataba ya Magu? Hata jujuzi tu bado ndege zinataka kukamatwa wewe haujiulizi sababu.

Tatizo lenu mnaojifanya watetezi wa Magu mnao ujinga kwamba hadi msikie neno MIGA kama lilivyotamkwa na nina Mashaka kuwa hata hamjui maana ya neno hilo.
 

Hemu scan barua ya mtu aliyetuma maombi ya wewe kumuoma shujaa au clip inayokulazimisha!?
 
Ungemalizia jina lako kuwa Kisamvu cha kopo kabisq

Shwaini.
Ndugu
Demokrasia ni kuvumiliana kwa kuwa sote hatuwezi kuwa na mawazo au fikra zinazofanana.....sio dhambi kuwaza tofauti na wengine..........

Sio kila anayetofautiana fikra ni aibu bali ndio ubinadamu.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…