Pre GE2025 CHADEMA msiweke Wagombea kwenye haya Majimbo na CCM pia haya Msiweke ili kujenga Bunge lenye nguvu baada ya 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema nawapeni huu ushauri Bure Kanisa na kama hamtauzingatia msije kusema hatukuwaambia haya,

Lazima Muwe na area of concetration.

Ushauri wa Bure kabisa huu
Sasa mkuu wasipoweka wanapataje Madiwani?
 
Kafulila hana jimbo wala makonda hana jimbo.
 
Hao wapinzani 21 wameshakuwepo Bungeni kwa muda mrefu.

Ni muda sasa tupate mawazo mbadala.

Kwani hao jamaa zetu hawawezi kujiajiri nje ya Siasa.

Mbona sisi wengine tunapambana huku mtaani??

Waungane nasi katika mapambano ya kujikwamua kiuchumi na sio kupiga porojo tu Bungeni na kupata hela za bure bure.
 
Kafulila hana jimbo wala makonda hana jimbo.
Kafulila ni Kigoma Kaskazini
Makonda ni Kigamboni,

Haya ni matakwa ya Wananchi sio matakwa yao,
Wanahitajika Bungeni ili kupata Serikali changamvu ya Mama Samia Suluhu Hassan.
 
Uzoezi unahitajika sana ndg yangu
 
Kafulila ni Kigoma Kaskazini
Makonda ni Kigamboni,

Haya ni matakwa ya Wananchi sio matakwa yao,
Wanahitajika Bungeni ili kupata Serikali changamvu ya Mama Samia Suluhu Hassan.
Kafulila wala makonda sio wabunge Acha ujinga wako.
 
Kwanza ni kama unaota, wote hao wa ccm ni nani mwenye uhakika wa kupita kwenye kura za maoni?
 
Sasa Sasa huko kote ndio kwa kuweka wagombea ngangari na hiyo ndio maana halisi ya demo kura sio🤣.Hakuna kila ubwete ubwete,kila mtu na ale kwa jasho lake hakuna unyonyaji wala unyonya damu au kausha damu🤣
 
Kwanza ni kama unaota, wote hao wa ccm ni nani mwenye uhakika wa kupita kwenye kura za maoni?
Nani ndani ya CCM kumshinda Nape Nauye?

Au Hussein Bashe?

Au Khasim Majaliwa?
 
Sasa
Sasa huko kote ndio kwa kuweka wagombea ngangari na hiyo ndio maana halisi ya demo kura sio🤣.Hakuna kila ubwete ubwete,kila mtu na ale kwa jasho lake hakuna unyonyaji wala unyonya damu au kausha damu🤣
😂😂😂
 
Jamani kama Kuna mtu amemuelewa huyu mlevi anisaidie mbona naona majina ya watu sio majina ya majimbo mfano Jimbo la mwabukusi linapatikana mkoa gani ?
 
Kwamba haya ni majimbo ya hao uliowataja ujinga ni mzigo mzito sana.
 
Y
Hoja ya kitoto sana hii kwenye Siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…