Ila mkuu Jamaa anatisha kwa sasa sijui wajumbe nao ni "Mbwa", ππMakonda anataka agombee Jimbo gani? Harafu Kwa hulka yake hawezi pita na pia atapotea kwenye siasa maana anaweza asipate Wizara atasikika wapi Kwa utaratibu wake?
Mtamchomoa akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM?Tisho kwako ila sii kwa raia wenye kujua tamu na chungu ya maisha ya kila siku,nyie mboga saba kwa urefu wa kamba mtuache na kazi yetu tuachie wenyeweπ€£
Watu maskini na wasio na uelewa ndio wanapenda siasa za Makonda ila wajumbe hawataki huo upuuzi ndio maana walikula kichwa Kigamboni.Ila mkuu Jamaa anatisha kwa sasa sijui wajumbe nao ni "Mbwa", ππ
Yaani takataka haondiowapite bila kupingwaNawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge
Sasa nΓ wewe ongeza Jimbo unalodhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania viachiane ili kuimarisha Bunge la 12.
Popote atakapo kuwa wajumbe tumeenea kila konaπ .Wajumbe tulisha kubalianaπ€Έπ€Έπ€ΈMtamchomoa akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM?
Taja hata takataka Moja tumjue mkuuYaani takataka haondiowapite bila kupingwa
Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui unagawa majimbo Ili iweje?Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.
21. Jimbo la Catherine Ruge
Sasa nΓ wewe ongeza Jimbo unalodhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania viachiane ili kuimarisha Bunge la 12.
Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.
CHADEMA.
====
CHADEMA msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo mtapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki na mwisho hamtashinda Uchaguzi.
1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Suleiman Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu
25. Hamis Kigwangala
Nashauri CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa lakini watu hawa ni muhimu kwa ustawi wa demokrasina na ustawi wa hoja kinzani bungeni.
1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Wilibrod Slaa
17. Jimbo la Boniface Mwambukusi
18. Jimbo la Frank Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge
Sasa nΓ wewe ongeza Jimbo unalodhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania viachiane ili kuimarisha Bunge la 12.
Katika orodha yake unaweza kushangaa ni mmoja wapoπ€Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa sijui unagawa majimbo Ili iweje?
Unamaanisha Uchaguzi usifanyike mpaka 2026?Umekosea ulitakiwa useme kuwa kama hakuna Katiba mpya kabla ya 2025 CCM na Chadema wasiweke wagombea popote .
Kama Katiba mpya ni 2026 basi uchaguzi uwe 2027.
January Hakubaliki bila wizi wa Kura na kunyanganya Fomu na kununua wagombea. Hakubaliki hata ndani ya CCM kwenye Jimbo lake.
Zungu hawezi kushinda Tena.
Doto Biteko alibebwa na Mbeleko hawezi kushinda .
Hakuna msukuma Chawa.
Hakuna Msukuma anayefurahi kuona Ardhi inauzwa kwa wageni na wenyeji wanafukuzwa kama wavamizi wakati utajiri wa wasukuma ni mifugo.
Kifupi Biteko hana uchingu na Tanganyika zaidi ya kuwa Kuwadi na mtangulizi wa Wavamizi wa rasilimali na ardhi ya Tanganyika.
Biteko hana tofauti na Wale waliokua wamewatangulia wakoloni na kuwawekea mazingira mazuri ya kuingia Afrika kirahisi.
Biteko amewekwa kuwapumbaza wasukuma bila kujua kuwa Wasukuma miaka yote wanapinga Ufisadi na kuporwa madini yao na ardhi yao ya kufuga ikiwemo ardhi ya Wamasai mana wakiwamaliza wamasai watakaofuata ni wao kifukuzwa kila mahali na mifugo yao.
Tulia ni wakala wa kuanganiza kizazi cha watanganyika kwa ajili ya wageni . Wanaofuatilia matukio ya mawakala wa shetani ulimwenguni watanielewa.
Lakini pia hana ubavu wa kumwangusha Sugu kamwe.
Kuendelea na Uchaguzi bila katiba mpya ni aina fulani la kuhalalisha uhalifu na wahalifu kutawala na kujitungia sheria za kuhalalisha uhalifu wao kwa kodi ya Watu wema..Unamaanisha Uchaguzi usifanyike mpaka 2026?
January, Nape, bashite, nkTaja hata takataka Moja tumjue mkuu
Katiba mpya ni kuelekea 2030Kuendelea na Uchaguzi bila katiba mpya ni aina fulani la kuhalalisha uhalifu na wahalifu kutawala na kujitungia sheria za kuhalalisha uhalifu wao kwa kodi ya Watu wema..
Ni kupoteza fedha za umma kwa sababu watu wale wale ndio watakaorudi madarakani.
Mh. Samia atarudi na wabunge karibu wote wa CCM watarudi kichawa chawa . Mbaya zaidi Chawa wataongezeka kwa kodi za watanganyika .
Mbaya zaidi kabisa watu makini kama Mpina ,Ndugai n.k watakatwa na kuongeza machawa bungeni.
Utakua uchahuzi mbovu zaidi na utazidi kulitia hadara taifa
huko huku kuelekea.Katiba mpya ni kuelekea 2030
Na sisi tunasubiri kwa hamu kulitokomeza joka tumechokaaaaaaaaaaVijana wa SA wamefanya yao. Chawa wa ccm endeleeni kuota ndoto.
MAKONDA ana jimbo lipi? Kolomije ?Nawashauri Viongozi wote wa vyama vya Siasa nchi ilikujenga Bunge lenye checks & balance lazima baadhi ya watu wawepo Bungeni kwa historia ya Michango yao Bungeni.
CHADEMA.
====
CHADEMA msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo mtapoteza rasilimali zako kiduchu unazomiliki na mwisho hamtashinda Uchaguzi.
1. Jimbo la Khasim Majaliwa
2. Jimbo Nape Nauye
3. Jimbo la Paul Makonda
4. Jimbo la January Makamba
5. Jimbo la David Kafulila
6. Jimbo la Jerry Silaa
7. Jimbo la Kitila Mkumbo
8. Jimbo la Mwigulu Nchemba
9. Jimbo la George Simbachawene
10. Jimbo la Tulia Ackson
11. Jimbo la Hussein Bashe
12. Jimbo la Jenister Muhagama
13. Jimbo la Ridhiwani Kikwekte
14. Jimbo la Mohamed Mchengerwa
15. Jimbo la Suleiman Jaffo
16. Jimbo la Juma Aweso
17. Jimbo la Luhaga Mpina
18. Jimbo la Job Ndugai
19. Jimbo la Hamprey Polepole
20. Jimbo la Jumanne Kishimba
21. Jimbo la Dotto Biteko
22. Jimbo la Innocenti Bashungwa
23. Jimbo la Kasheku Msukuma
24. Jimbo la Iddi Azan Zungu
25. Hamis Kigwangala
Nashauri CCM pia msiweke wagombea strong kwenye haya majimbo kwa sababu uwezekano wa kupoteza ni mkubwa lakini watu hawa ni muhimu kwa ustawi wa demokrasina na ustawi wa hoja kinzani bungeni.
1. Jimbo la Freeman Mbowe
2. Jimbo la Godbless Lemma
3. Jimbo la Tundu Lissu
4. Jimbo la John Heche
5. Jimbo la Peter Msigwa
6. Jimbo Joseph Mbilinyi
7. Jimbo la Zitto Kabwe
8. Jimbo la Devotha Minja
9. Jimbo la Marwa Ryoba
10. Jimbo la Aida Kenani
11. Jimbo la John Mnyika
12. Jimbo la James Mbatia
13. Jimbo la Ester Bulaya
14. Jimbo la Ester Matiko
15. Jimbo la Ezekiah Wenje
16. Jimbo la Wilibrod Slaa
17. Jimbo la Boniface Mwambukusi
18. Jimbo la Frank Mwakajoka
19. Jimbo la Jesca Kishoa
20. Jimbo la Suzan Kiwanga
21. Jimbo la Catherine Ruge
Sasa nΓ wewe ongeza Jimbo unalodhani tunapashwa kuvishauri vyama vya Siasa Tanzania viachiane ili kuimarisha Bunge la 12.
Yote heri hata hivyo mkuu.Watu maskini na wasio na uelewa ndio wanapenda siasa za Makonda ila wajumbe hawataki huo upuuzi ndio maana walikula kichwa Kigamboni.
Japo huenda safari hii akafaulu Kwa sababu Ndungulile anaweza chaguliwa Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika na Jimbo litabaki wazi so Makonda alikuwa wa pili last time huenda akashida.
Swali alishindwa na asipate Uwaziri siasa zake zitakuwa zimepoteza rasmi ππ