CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

Polepole pamoja na genge lake hawana uwezo wa kupoteza uelekeo wa yoyote, usitake kumpa sifa asiyokuwa nayo. Hapa watu wanafurahia yeye kukutana na mazingira aliyoyajenga kipindi cha Magufuli.
Huko kufurahia kwenu ndio ubendera fuata upepo wenyewe na kupotezwa kwenye ishu muhimu kwenyewe!

Huwezi kuelewa hili kama akili zako amezishika Lisu.
 
Sasa we endelea kukenua meno kufurahiya unachosema mbaka umesahau kesho ni tarehe 14 ukija kujitambua kama unachekelea ujinga ukigeuka nyuma utakutamwenyekiti anachezea nondo.
Mkuu tangu lini hao bavicha wakawa na akili?

Umeshau kama waliwahi kupewa Lowasa na Sumaye?

Na juzi juzi tu hapa walipewa Membe
 
Achezee NONDO mara mbili? Hao waliojifanya miungu watu kipindi cha Magufuli ndio wanaona shida kwa huu mtiti.
Sasa we endelea kukenua meno kufurahiya unachosema mbaka umesahau kesho ni tarehe 14 ukija kujitambua kama unachekelea ujinga ukigeuka nyuma utakutamwenyekiti anachezea nondo.
 
Huyu Polepole aliyejijengea heshima kubwa kwa madai ya katiba mpya na akaivua mwenyewe na kuwa mbakaji wa katiba iliyopo. Ataaminiwa na wachumia tumbo wenzake.
Siasa za nchi hii,mwanasiasa gani hajawahi badili gia angani?naitaji mmoja tu
 
Mkuu tangu lini hao bavicha wakawa na akili?

Umeshau kama waliwahi kupewa Lowasa na Sumaye?

Na juzi juzi tu hapa walipewa Membe
🤣🤣🤣 aibu sana,hii nchi upinzani badosana mkuu.

Ndiomaana nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm na sasa muda unaanza kutoa majibu kuanzia kwa hayati Magu up to now, taratibu tunaelekea kwenye mabadiliko.
 
Achezee NONDO mara mbili? Hao waliojifanya miungu watu kipindi cha Magufuli ndio wanaona shida kwa huu mtiti.
We tafsiri unavyojua kama nondo sasaivi ama nondo baadae lakini umeshaelewa.
 
Hakuna popote cdm wamesimama kuendelea na shughuli zao, labda pale wanapozuiwa kimabavu na dola ya majizi ya kura. Hapa tunachosisitiza ni kuwa karma ipo, na tunataka Polepole aione kutokana na uhayawani alioufanya wakati wa Magufuli.
Sasa hivi issue ya Polepole imefunika kesi ya Mbowe.Kesi ya Mbowe haitegemei wanasheria ili kushinda,inategemea sauti zilizopazwa kwa kila aina,iwe kwenye media,nje ya nchi,barabarabi n.k ili watawala waone haya na pia wabanwe na kumuachia.Sasa ukiingizwa kwenye propaganda za Nape na Polepole,huoni kwamba media zitawapa coverage wao na kesi ya kina Mbowe na mambo mengine ya CDM yatafunikwa?Huni kwamba mnakuwa mmeingizwa kwenye mtego?
 
Ushauri wangu;

CHADEMA acheni kuingilia maugomvi ya CCM yatawaondoa kwenye ramani.

Endeleeni kukijenga chama,kuandikisha wanachama kidigitali na kupaza sauti nchini na duniani kote kuhusu uonevu anaofanyiwa Mwenyekiti pamoja na wanachama wengine waliowekwa korokoroni!
Chadema wameahaondoka kwenye ramani siku nyingi. Wao wamebakia kumzungumzia mwendazake ambaya Hana msaada kwake wao ilistahili waangalie namna ya kupambana na Raia Samia .
 
Pole Pole na hao anaowaita wahuni wote lao moja. Hili ni swala lililotengenezwa mahsusi kwa lengo la kuwapoteza watu maboya kuhusu kesi ya Mbowe.

Inajulikana kwamba mashabiki wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo, kwahiyo unatengenezwa upepo kama huu kwa lengo kutaka watu waufuate na kusahau uelekeo wao.

Kwa hili nafikiri Pole Pole na genge lake wamefanikiwa sana. Sasa hivi habari inayopewa uzito kwenye vichwa vya habari magazetini, redioni na kwenye TV ni kuhusu Pole Pole afu ndo zinakuja habari zingine kama vile zile zinazohusu kesi ya Mbowe nk.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii assumption yako.
 
Chadema wameahaondoka kwenye ramani siku nyingi. Wao wamebakia kumzungumzia mwendazake ambaya Hana msaada kwake wao ilistahili waangalie namna ya kupambana na Raia Samia .
Hapana CDM wapo kwenye mstari ndio maana CCM hawalali ,usiku namcjana kila siku wanajaribu kuwamaliza.Hii kuwazuia kufanya mikutano ya kisiasa sawasawa na katiba ya JMT ,ni dalili CCM inawaogopa sana CDM!
 
Chadema wameusikaje na huo ujinga.au wafuasi wa chadema sio raia na wananchi wa nchi hii kiasi kwamba hawatakiwi kutoa mawazo yao binafsi kwenye mambo yanayoendelea nchini.Mambo mengi ni porojo binafsi za watu kama ambavyo wananchi wote wanaweza kutoa mawazo yao.Tusikihusishe chama na mawazo binafsi ya mtu.
 
Sasa we endelea kukenua meno kufurahiya unachosema mbaka umesahau kesho ni tarehe 14 ukija kujitambua kama unachekelea ujinga ukigeuka nyuma utakutamwenyekiti anachezea nondo.
Kwani wewe kama sio mfussi wa huyo mwenyekiti akichezea nondo inakuhusu nini?.Au unasumbuliwa na kiherehere.
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Polepole amesema nchi hii haina upinzani, huwa wanaibuka wakati wa uchaguzi tu.
 
Kunawatu humu nikama bendera, sasaivi hakuna thread za kumzungumzia mwenyekiti tena, wana msaidia goli la mkono tu.
Those peoples powers a very hopeless [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kesi inafanyikia kwenye mtandao?.Watu kuacha kuzungumzia kesi ya mbowe haimaanishi kesi haitaendelea uko mahakamani.uku mitandaoni ni swala la kuhabarishana tu kinachojiri na watu kutoa mitazamo yao na kamwe haliwezi kuhusiana na kitakachoendelea mahakamani.Kwahiyo hadi hapo wewe ndo hopeless maana hujui kutofautisha mambo ya mitandaoni na maisha halisi.
 
Sasa hivi issue ya Polepole imefunika kesi ya Mbowe.Kesi ya Mbowe haitegemei wanasheria ili kushinda,inategemea sauti zilizopazwa kwa kila aina,iwe kwenye media,nje ya nchi,barabarabi n.k ili watawala waone haya na pia wabanwe na kumuachia.Sasa ukiingizwa kwenye propaganda za Nape na Polepole,huoni kwamba media zitawapa coverage wao na kesi ya kina Mbowe na mambo mengine ya CDM yatafunikwa?Huni kwamba mnakuwa mmeingizwa kwenye mtego?
Hakuna mtego wowote.hayo mambo ya kina polepole ni porojo tu watu wanazozipiga uko mitandaoni na litapita kama porojo zingine.Sasa sijui unataka wafuasi wa chadema wasijadili jambo lolote linaloendelea nchini kwavile tu mbowe ana kesi.shughuli za chama ziko chini ya katibu mkuu na zinaendelea kama kawaida uku wafuasi nao wakiendelea na maisha yao yakijamii kama kawaida.
 
Huyu Polepole aliyejijengea heshima kubwa kwa madai ya katiba mpya na akaivua mwenyewe na kuwa mbakaji wa katiba iliyopo. Ataaminiwa na wachumia tumbo wenzake.
Vipi kuhusu Mbowe, Lisu, lema na uongozi wote wa juu pale mlipo msafisha Lowasa wakati huo hao ndio walimuita fisadi namba moja na kumpa ugombea uraisi je hawa kujivunjia heshima?
Ebu tuanzie hapo.
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.

Mkuu, siasa ni mchezo unaohitaji uwezo mkubwa wa kufikiri. CHADEMA hawana huo uwezo; tuwaache tu waendelee kutumia nguvu zao nyingi dhidi ya mtu ambaye sio threat tena kwao. Wajinga ndio waliwao!
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii assumption yako.
Ya mkuu inawezekana ww usiamini lkn wenzako wakaamini. Hata 2015 kuna watu tuliamini kuwa ugomvi wa JK na Lowasa ulikuwa ni wa kutengenezwa na wa mikakati ya kuubomoa upinzani thabiti wa kipindi kile. Wapo walioamini kama sisi tulivyoamini na wapo ambao hawakuamini kama ww usivyoamini, lkn kilichotokea kila mtu anakijua, Lowasa na genge lake kama vile kina mzee Sumaye, Lazaro Nyalandu, wabunge na madiwani mbali mbali walifanya kile kilichowapeleka upinzani na kisha kurudia walipotoka aliwemo mzee Lowasa mwenyewe. Kwahiyo kila kitu au kila mtu hutengenezwa kulingana na ajenda iliyopo wakati huo. Kwa sasa kuna ajenda ya Mbowe katengenezwa Pole Pole 2025 ajenda ya uchaguzi atatengenezwa mungine inaweza kuwa Bashiru or anyone else. Just wait to see.
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Chadema hesabu zetu zipo intact, hatutegemei mwanaccm kuwa jukwaa la kupandia, alitaka kijiunga utaratibu upo, ila chadema haipo KWa sasa kumlamba mtu miguu hasa wa ccm eti kupaa kisasa ,tulisha vuka kitambo,

Hivyo sio vyema kutupangia Cha kufanya ILIHALI tunajua Cha kufanya wakati upi na mda upi?
 
Back
Top Bottom