CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

Ushauri mzuri ila tatizo Chadema hawashauriki kabisa. Wange support hii move ya HPP wangejizolea umaarafu mkubwa. HPP si wa kubeza ana watu wengi sana wanao muunga mkono wengi wakiwa vijana.
Hakuna move yoyote hapo zaidi ya watu kugombania matumbo yao.wote wanajulikana ikitokea wamepeana ulaji hutakaa uwasikie tena.Hpp wako alishaonja vitamu akawabeza wenzake.sasa leo anaona aliowabeza ndo wanaokula na kumbeza yeye ndo maana kaibuka na haya makasiriko uku akijificha nyuma ya mgongo wakujifanya mzalendo.
 
Magufuli alifanya nini ambacho hakikufanywa na viongozi wengine, au zile propaganda uchwara ndio umeona deal sana? Kupambana dhidi ya utawala dhalimu sio jambo la siku moja au muda mfupi. Rejea historia za watu au chama kilichotolewa madarakani baada ya kuchokwa ni muda gani hilo lilitokea.

Alikuwa na chuki na matajiri kwani walikuwa hawampi rushwa. Ifahamike alikuwa ni mshamba ambaye hakuwa muadilifu.
imi nimepanick sio wewe ambaye unajifanya hujui magufuli alifanyia nini nchi hii!!![emoji38][emoji38]

unajua maana ya kuwa mbele ya wananchi?au kuwa na wananchi nyima yenu!!!wangeachaje mporwe uchaguzi!!

nimekuuliza alikuwa na chuki nayo baada ya kutofautiana nao kwenye nini??jibu huna zaidi ya lawama baada ya chama lenu la wahuni kuvurugwa vurugwa.
 
Cha kushangaza wao nao wampiga mawe polepole badala ya kuonganisha nguvu.
Chadema sio wajinga kiasi hicho.huo ni ugomvi wa matumbo ya watu wakati cdm wanajali haki kwa kila mtu.sasa kama polepole hakuwai kua mtu wakupambania haki sioni mahali cdm wakiangaika kumtetea.acha kila mtu avune alichopanda.
 
Magufuli alifanya nini ambacho hakikufanywa na viongozi wengine, au zile propaganda uchwara ndio umeona deal sana? Kupambana dhidi ya utawala dhalimu sio jambo la siku moja au muda mfupi. Rejea historia za watu au chama kilichotolewa madarakani baada ya kuchokwa ni muda gani hilo lilitokea.

Alikuwa na chuki na matajiri kwani walikuwa hawampi rushwa. Ifahamike alikuwa ni mshamba ambaye hakuwa muadilifu.

kama alifanya ambacho walifanya na wengine,kipi kinafanya mmuone yeye pekee ndiye muuaji!!!mbana demokrasia na mwingi wa propaganda!!!
yess kupambana na wadhalimu na ndumilakuwili sio swala la siku moja ndio maana alitumia miaka 5 yote kunyoosha nguruwe nyeusi.

walimyima rushwa kwenye nini wewe maamuma???nenda kawaulize tanesco na jengo la ubungo,halafu waulize vyema walimnyima rushwa gani???
SSB na vipuri vya bot kamuulize ilikuwaje.

mnakuwa wanafiki mpaka mnashindwa kutetea mpaka mambo yaliyo dhahiri kabisa ambayo hata nyinyi mnayaamini,na tuwakumbushe dhambi hii ndio imeua chama na kuonekana na wananchi kama choo cha stand.
 
Ulikuwa unataka kumpamba kama vile kafanya maajabu kumbe kakuza tu deni la taifa. Hizo sifa vzs kijinga aliwaokota nyie sukuma gang mliokuwa mnamsujidia.

Hakuna mwizi wala ufisadi wowote alipambana nao zaidi ya kupambana na matumizi ya neno fisadi. Kama mnaamini hatuna support ya wananchi heshimuni uchaguzi na kuwe na tume huru uchaguzi, kisha ujiandae kupata msongo wa mawazo. Hapo ndio utajua CCM sio chama cha kizazi hiki.
alifanya ambacho walifanya na wengine,kipi kinafanya mmuone yeye pekee ndiye muuaji!!!mbana demokrasia na mwingi wa propaganda!!!
yess kupambana na wadhalimu na ndumilakuwili sio swala la siku moja ndio maana alitumia miaka 5 yote kunyoosha nguruwe nyeusi.

walimyima rushwa kwenye nini wewe maamuma???nenda kawaulize tanesco na jengo la ubungo,halafu waulize vyema walimnyima rushwa gani???
SSB na vipuri vya bot kamuulize ilikuwaje.

mnakuwa wanafiki mpaka mnashindwa kutetea mpaka mambo yaliyo dhahiri kabisa ambayo hata nyinyi mnayaamini,na tuwakumbushe dhambi hii ndio imeua chama na kuonekana na wananchi kama choo cha stand.
 
Ulikuwa unataka kumpamba kama vile kafanya maajabu kumbe kakuza tu deni la taifa. Hizo sifa vzs kijinga aliwaokota nyie sukuma gang mliokuwa mnamsujidia.

Hakuna mwizi wala ufisadi wowote alipambana nao zaidi ya kupambana na matumizi ya neno fisadi. Kama mnaamini hatuna support ya wananchi heshimuni uchaguzi na kuwe na tume huru uchaguzi, kisha ujiandae kupata msongo wa mawazo. Hapo ndio utajua CCM sio chama cha kizazi hiki.

tuheshimu uchaguzi kwani umefanywaje!!!uchaguzi upo 2025 kazi kwenu kuandaa wagombea,ila tunawaonya wasijethubutu kumtukana majukwaani kama ambavyo chadema mtandao mnafanya watashushwa na wananchi.

kama hukuona akipambana na ufisadi hayo ni matatizo yako binafsi,siwezi kukulazimisha.
 
Inakuaje kwa Polepole?Unaniuliza mimi?

Ni mimi naratibu Polepole's affairs?

Nachojua mimi simpendi Polepole..hatumpendi as he is!

Yeye aje tutampa kadi ila cheo asahau,hawezi pata maana hawezi teuliwa na yeyote na hawezi pigiwa kura

Ataishia kua card holder

mnamchukia pole pole[emoji16][emoji16]

kumbe mna vita na watu na sio mitazamo yao!!!
haya ni madhaidu ya kawaida kabisa ya kibinaadam nikadhani yapo ccm pekee.
 
Hakuna Jambo hapa nchini linaweza kufunika ishu ya Mbowe,Kama huamini subiri kesho utaniambia,lakini hii haizuii pia kufanya harakati zaidi ya moja na ikawezekana,mbona sasa Kuna CHADEMA digital na inafanya vizuri,chocheeni kuni hamjachelewa na Wala hamna la kupoteza.
SaWa Lakini muwe aware na propaganda za CCM.
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo analo lisema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Polepole, iko wazi mkimuunga mkono msiyo yajua mtayajua na huku hapatakalika.
CHADEMA Ni km upupu msipoizungumzia mnajisikia kuwashwa.
 
Eti leo wanatuambia tumuonee huruma....

Jesus Christ...wacha wauane....CCM imepasuke vipande vipande

Walikua wanaiombeaga mabaya sana CDM....ni zamu yao na wao!
Wanapasukaje wakati mnasaidia kuzima Moto,maana mnaemponda mawe atazidiwa na kufutika fasta mtakuwa mmelipa kisasi lakini sio faida za kisiasa.
 
Chadema hesabu zetu zipo intact, hatutegemei mwanaccm kuwa jukwaa la kupandia, alitaka kijiunga utaratibu upo, ila chadema haipo KWa sasa kumlamba mtu miguu hasa wa ccm eti kupaa kisasa ,tulisha vuka kitambo,

Hivyo sio vyema kutupangia Cha kufanya ILIHALI tunajua Cha kufanya wakati upi na mda upi?

Lowassa. Sita. Membe nk. CHadema kama chama cha Siasa hakina tofauti na vingine Labda kama hujui Siasa. 1992 ndo mambo ya Vyama vingi. So angalia wanachama wakubwa juu. Wengi umri wao unagusa nyuma ya hiyo 1992. unadhani walikuwa chama gani.
 
Cdm imeingiaje hapo

Hivi bulembo ni cdm

Kuna kiongozi gani wa cdm kamjibu slowslow

Ova
Pitia kwenye mitandao ya kijamii utaona jinsi CDM walivyotekwa na hizi mada!
 
Pitia kwenye mitandao ya kijamii utaona jinsi CDM walivyotekwa na hizi mada!
Wanachosema wao

Wakati wakina slwslw wameshika madaraka

Watu walipokuwa wanakosoa walikuwa wanakuja juu

Sasa yy kupigiwa sim kuitwa tisiraaei analialia

Atulie tuli tu

#atii na kuheshim mamlaka

Ova
 
Eti leo wanatuambia tumuonee huruma....

Jesus Christ...wacha wauane....CCM imepasuke vipande vipande

Walikua wanaiombeaga mabaya sana CDM....ni zamu yao na wao!
Home boy upo Hahaha

Muosha uwoshwa hiyo

Ova
 
Back
Top Bottom