CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

Ngoja Pole pole apewe uwaziri
Ndo mtaijua "RANGI YAKE".
mnasahau mapema sana.
 
ishasema chadema ni mbuzi.

kama kuna mtu amekasirika shauri yake.
hawa ni rahisi sana kuwatoa kwenye malengo yao.
kama gazeti zinalopepeluka yaani hawana uelekeo maalum.

hata magufuli aliwapoteza kwa wananchi kwa style hii hii.
wakati kaja anapambana na majizi badala ya kumuunga mkono,wako busy kutoonyesha jinsi walivyo mbayuwayu,wanamsema anaminya uhuru wa kuongea,alipoona wanazidi kupiga kelele akawatoa kabisa bungeni.

kwa sasa wacha wawapambane na pole pole wakidhani watamuweza.

Magufuli hajawahi kupambana na wezi bali alikuwa analipa visasi kwa matajiri waliompuuza huko nyuma. Wezi wa pesa za escrow ambao ni wanaccm wenzake na wanafahamika mbona hakuwafanya chochote. Kama aliwapoteza cdm kwa wananchi, kipi kilimfanya aendeshe chaguzi za kishenzi ili yeye na ccm wenzake watangazwe washindi kwa shuruti? Polepole anapambana na majizi menzake ya kura ya CCM, sisi hapa tunachochea kuni tu ili akili imkae sawa.
 
Wewe ni mbumbumbu acha watu washerekee kama walivyosherehekea msiba wa mwendazake.
Hopeless, watu kama wewe eti ndio muonekano wa upinzani Tanzania hujui hata faida na hasara ya kushangilia kilakitu, alafu akitokea mtu akakuambia wewe ni juha utakataa!!.
 
Sukuma gang! mmeumia baada ya kiroboto kukanyagwa hasira mnaxihamishia chadema
Sijui unazungumzia hasira gani hapo, mimi nimewakumbush msijisahau, maana mmekuwa kama watoto.
 
uu, siasa ni mchezo unaohitaji uwezo mkubwa wa kufikiri. CHADEMA hawana huo uwezo; tuwaache tu waendelee kutumia nguvu zao nyingi dhidi ya mtu ambaye sio threat tena kwao. Wajinga ndio waliwao!

Kama CCM wangekuwa na akili ambayo unataka tuamini wanayo, leo hii nchi hii isingekuwa masikini kama ilivyo.
 
Ushauri wangu;

CHADEMA acheni kuingilia maugomvi ya CCM yatawaondoa kwenye ramani.

Endeleeni kukijenga chama,kuandikisha wanachama kidigitali na kupaza sauti nchini na duniani kote kuhusu uonevu anaofanyiwa Mwenyekiti pamoja na wanachama wengine waliowekwa korokoroni!
Cdm imeingiaje hapo

Hivi bulembo ni cdm

Kuna kiongozi gani wa cdm kamjibu slowslow

Ova
 
Sijui unazungumzia hasira gani hapo, mimi nimewakumbush msijisahau, maana mmekuwa kama watoto.

Ungekuwa na akili usingepanic hivi, watu wamerelax we naona unatumia nguvu kubwa kwenye maoni ya watu.
 
Magufuli hajawahi kupambana na wezi bali alikuwa analipa visasi kwa matajiri waliompuuza huko nyuma. Wezi wa pesa za escrow ambao ni wanaccm wenzake na wanafahamika mbona hakuwafanya chochote. Kama aliwapoteza cdm kwa wananchi, kipi kilimfanya aendeshe chaguzi za kishenzi ili yeye na ccm wenzake watangazwe washindi kwa shuruti? Polepole anapambana na majizi menzake ya kura ya CCM, sisi hapa tunachochea kuni tu ili akili imkae sawa.

sasa matajiri walimpuuza magufuli ktk jambo gani unadhani!!!kama umeacha akili zako ziwe katika ubora wake!!!!

aliwaomba hela za kununua gari au??
aliwaomba rushwa asiwavunjie nyumba?
aliomna wamlipie ada ama??
tunaomjua magufuli toka wizara alizopita tunawatizama kwa dharau namna mlivyo wanafiki,ndio sababu hata saport ndogo ya wananchi mmekosa mnalia peke yenu tu,watu waliokuwa nyuma yenu wako wapi???

magufuli hajawahi kucheka na paka yeyote,alichokifanya kwa hao wazee wako wa escrow ni kuwaonyesha kwamba ana uwezo wa kufanya kitu,kwa mtu yeyote haijalishi ana hela ama alaah,kamuulize seth na ruge.
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
ciciem wote ni wahuni tu pamoja na mzee wa mwendo wa kinyonga
 
Acha kupanick mpaka unaleta utetezi usio na kichwa wala miguu. Nimekwambia walioiba hela za escrow ni pamoja na wanaccm wenzake, aliwafanya nini? Hao matajiri aliweza kuwafanyia maana alikuwa na chuki nao.

Hao wananchi unaosema walikuwa nyuma yetu na sasa hawapo, umetumia kigezo gani, maana kama ni uchaguzi tuliona ukiporwa kwa uwazi, na idadi ya wapiga kura ikipikwa. Sasa sijui unaongea utoto gani.
a matajiri walimpuuza magufuli ktk jambo gani unadhani!!!kama umeacha akili zako ziwe katika ubora wake!!!!

aliwaomba hela za kununua gari au??
aliwaomba rushwa asiwavunjie nyumba?
aliomna wamlipie ada ama??
tunaomjua magufuli toka wizara alizopita tunawatizama kwa dharau namna mlivyo wanafiki,ndio sababu hata saport ndogo ya wananchi mmekosa mnalia peke yenu tu,watu waliokuwa nyuma yenu wako wapi???

magufuli hajawahi kucheka na paka yeyote,alichokifanya kwa hao wazee wako wa escrow ni kuwaonyesha kwamba ana uwezo wa kufanya kitu,kwa mtu yeyote haijalishi ana hela ama alaah,kamuulize seth na ruge.
 
Sasa hivi issue ya Polepole imefunika kesi ya Mbowe.Kesi ya Mbowe haitegemei wanasheria ili kushinda,inategemea sauti zilizopazwa kwa kila aina,iwe kwenye media,nje ya nchi,barabarabi n.k ili watawala waone haya na pia wabanwe na kumuachia.Sasa ukiingizwa kwenye propaganda za Nape na Polepole,huoni kwamba media zitawapa coverage wao na kesi ya kina Mbowe na mambo mengine ya CDM yatafunikwa?Huni kwamba mnakuwa mmeingizwa kwenye mtego?
Hakuna Jambo hapa nchini linaweza kufunika ishu ya Mbowe,Kama huamini subiri kesho utaniambia,lakini hii haizuii pia kufanya harakati zaidi ya moja na ikawezekana,mbona sasa Kuna CHADEMA digital na inafanya vizuri,chocheeni kuni hamjachelewa na Wala hamna la kupoteza.
 
Acha kupanick mpaka unaleta utetezi usio na kichwa wala miguu. Nimekwambia walioiba hela za escrow ni pamoja na wanaccm wenzake, aliwafanya nini? Hao matajiri aliweza kuwafanyia maana alikuwa na chuki nao.

Hao wananchi unaosema walikuwa nyuma yetu na sasa hawapo, umetumia kigezo gani, maana kama ni uchaguzi tuliona ukiporwa kwa uwazi, na idadi ya wapiga kura ikipikwa. Sasa sijui unaongea utoto gani.

mimi nimepanick sio wewe ambaye unajifanya hujui magufuli alifanyia nini nchi hii!!![emoji38][emoji38]

unajua maana ya kuwa mbele ya wananchi?au kuwa na wananchi nyima yenu!!!wangeachaje mporwe uchaguzi!!

nimekuuliza alikuwa na chuki nayo baada ya kutofautiana nao kwenye nini??jibu huna zaidi ya lawama baada ya chama lenu la wahuni kuvurugwa vurugwa.
 
Hakuna Jambo hapa nchini linaweza kufunika ishu ya Mbowe,Kama huamini subiri kesho utaniambia,lakini hii haizuii pia kufanya harakati zaidi ya moja na ikawezekana,mbona sasa Kuna CHADEMA digital na inafanya vizuri,chocheeni kuni hamjachelewa na Wala hamna la kupoteza.

kwa upuuzi wenu chadema mbowe anaweza fanywa chochote kibaya na watu wasijue,kwa sasa ili kutangaza uharamia wa serikali kwa mkiti wenu ilifaa muungane na pole pole,lakini hewalaaa-eti mnamcheka[emoji1][emoji1]

haya endeleeni kucheka.maana mnaitikia mapambio ya ccm na kusahau ibada yenu si moja na wao.
 
Polepole ni agent of dictatorship

Ameitesa Chadema big time

When its time for him to face the music,its in Chadema's interest kumchimbia kaburi kabisa

Wewe ni nani kuwaelekeza Chadema how to react au kum-treat Polepole?

Chadema ina unfinished business with Polepole,popote pale alipo!

Payback time bitch!
Kumbuka adui wa adui yako Ni.........
 
Back
Top Bottom