mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ngoja Pole pole apewe uwaziri
Ndo mtaijua "RANGI YAKE".
mnasahau mapema sana.
Ndo mtaijua "RANGI YAKE".
mnasahau mapema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ishasema chadema ni mbuzi.
kama kuna mtu amekasirika shauri yake.
hawa ni rahisi sana kuwatoa kwenye malengo yao.
kama gazeti zinalopepeluka yaani hawana uelekeo maalum.
hata magufuli aliwapoteza kwa wananchi kwa style hii hii.
wakati kaja anapambana na majizi badala ya kumuunga mkono,wako busy kutoonyesha jinsi walivyo mbayuwayu,wanamsema anaminya uhuru wa kuongea,alipoona wanazidi kupiga kelele akawatoa kabisa bungeni.
kwa sasa wacha wawapambane na pole pole wakidhani watamuweza.
Hopeless, watu kama wewe eti ndio muonekano wa upinzani Tanzania hujui hata faida na hasara ya kushangilia kilakitu, alafu akitokea mtu akakuambia wewe ni juha utakataa!!.Wewe ni mbumbumbu acha watu washerekee kama walivyosherehekea msiba wa mwendazake.
Sijui unazungumzia hasira gani hapo, mimi nimewakumbush msijisahau, maana mmekuwa kama watoto.Sukuma gang! mmeumia baada ya kiroboto kukanyagwa hasira mnaxihamishia chadema
uu, siasa ni mchezo unaohitaji uwezo mkubwa wa kufikiri. CHADEMA hawana huo uwezo; tuwaache tu waendelee kutumia nguvu zao nyingi dhidi ya mtu ambaye sio threat tena kwao. Wajinga ndio waliwao!
Cdm imeingiaje hapoUshauri wangu;
CHADEMA acheni kuingilia maugomvi ya CCM yatawaondoa kwenye ramani.
Endeleeni kukijenga chama,kuandikisha wanachama kidigitali na kupaza sauti nchini na duniani kote kuhusu uonevu anaofanyiwa Mwenyekiti pamoja na wanachama wengine waliowekwa korokoroni!
Sijui unazungumzia hasira gani hapo, mimi nimewakumbush msijisahau, maana mmekuwa kama watoto.
Magufuli hajawahi kupambana na wezi bali alikuwa analipa visasi kwa matajiri waliompuuza huko nyuma. Wezi wa pesa za escrow ambao ni wanaccm wenzake na wanafahamika mbona hakuwafanya chochote. Kama aliwapoteza cdm kwa wananchi, kipi kilimfanya aendeshe chaguzi za kishenzi ili yeye na ccm wenzake watangazwe washindi kwa shuruti? Polepole anapambana na majizi menzake ya kura ya CCM, sisi hapa tunachochea kuni tu ili akili imkae sawa.
ciciem wote ni wahuni tu pamoja na mzee wa mwendo wa kinyongaKinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.
Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.
Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.
Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?
Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
ahahaha hadi mze wa KYMimi binafsi namzibua kima yoyote anayejitokeza mbele yangu.
a matajiri walimpuuza magufuli ktk jambo gani unadhani!!!kama umeacha akili zako ziwe katika ubora wake!!!!
aliwaomba hela za kununua gari au??
aliwaomba rushwa asiwavunjie nyumba?
aliomna wamlipie ada ama??
tunaomjua magufuli toka wizara alizopita tunawatizama kwa dharau namna mlivyo wanafiki,ndio sababu hata saport ndogo ya wananchi mmekosa mnalia peke yenu tu,watu waliokuwa nyuma yenu wako wapi???
magufuli hajawahi kucheka na paka yeyote,alichokifanya kwa hao wazee wako wa escrow ni kuwaonyesha kwamba ana uwezo wa kufanya kitu,kwa mtu yeyote haijalishi ana hela ama alaah,kamuulize seth na ruge.
Hakuna Jambo hapa nchini linaweza kufunika ishu ya Mbowe,Kama huamini subiri kesho utaniambia,lakini hii haizuii pia kufanya harakati zaidi ya moja na ikawezekana,mbona sasa Kuna CHADEMA digital na inafanya vizuri,chocheeni kuni hamjachelewa na Wala hamna la kupoteza.Sasa hivi issue ya Polepole imefunika kesi ya Mbowe.Kesi ya Mbowe haitegemei wanasheria ili kushinda,inategemea sauti zilizopazwa kwa kila aina,iwe kwenye media,nje ya nchi,barabarabi n.k ili watawala waone haya na pia wabanwe na kumuachia.Sasa ukiingizwa kwenye propaganda za Nape na Polepole,huoni kwamba media zitawapa coverage wao na kesi ya kina Mbowe na mambo mengine ya CDM yatafunikwa?Huni kwamba mnakuwa mmeingizwa kwenye mtego?
Acha kupanick mpaka unaleta utetezi usio na kichwa wala miguu. Nimekwambia walioiba hela za escrow ni pamoja na wanaccm wenzake, aliwafanya nini? Hao matajiri aliweza kuwafanyia maana alikuwa na chuki nao.
Hao wananchi unaosema walikuwa nyuma yetu na sasa hawapo, umetumia kigezo gani, maana kama ni uchaguzi tuliona ukiporwa kwa uwazi, na idadi ya wapiga kura ikipikwa. Sasa sijui unaongea utoto gani.
Hasira mnazo nyie mnae pambana na marehemu,Ungekuwa na akili usingepanic hivi, watu wamerelax we naona unatumia nguvu kubwa kwenye maoni ya watu.
Hakuna Jambo hapa nchini linaweza kufunika ishu ya Mbowe,Kama huamini subiri kesho utaniambia,lakini hii haizuii pia kufanya harakati zaidi ya moja na ikawezekana,mbona sasa Kuna CHADEMA digital na inafanya vizuri,chocheeni kuni hamjachelewa na Wala hamna la kupoteza.
Kumbuka adui wa adui yako Ni.........Polepole ni agent of dictatorship
Ameitesa Chadema big time
When its time for him to face the music,its in Chadema's interest kumchimbia kaburi kabisa
Wewe ni nani kuwaelekeza Chadema how to react au kum-treat Polepole?
Chadema ina unfinished business with Polepole,popote pale alipo!
Payback time bitch!
Eti leo wanatuambia tumuonee huruma....
Jesus Christ...wacha wauane....CCM imepasuke vipande vipande
Walikua wanaiombeaga mabaya sana CDM....ni zamu yao na wao!