CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

CHADEMA mtandao huu sio wakati wa kupambana na Polepole

Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Polepole ni mhuni
 
Tumpe nguvu mshenzi aliharibu nchi yetu ya amani kuwa nchi ya kutekana,kumbe wewe hamnazo kabisa mtu muuaji unampa sapoti gani,akafie mbele huko huko.
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
 
Pole Pole na hao anaowaita wahuni wote lao moja. Hili ni swala lililotengenezwa mahsusi kwa lengo la kuwapoteza watu maboya kuhusu kesi ya Mbowe.

Inajulikana kwamba mashabiki wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo, kwahiyo unatengenezwa upepo kama huu kwa lengo kutaka watu waufuate na kusahau uelekeo wao.

Kwa hili nafikiri Pole Pole na genge lake wamefanikiwa sana. Sasa hivi habari inayopewa uzito kwenye vichwa vya habari magazetini, redioni na kwenye TV ni kuhusu Pole Pole afu ndo zinakuja habari zingine kama vile zile zinazohusu kesi ya Mbowe nk.
Acha ushamba wewe,Polepole ni mhuni kama wewe.
 
Yaani sawasawa kwako kuna bomoka halafu unakwenda kushangaa kwa jirani.CCM siasa zao huwa za kuibua matukio ili kuwatoa kwenye mambo ya msingi.Sasa kuna kesi ya Mbowe,anafanyiwa uonevu wa waziwazi.Sasa badala ya kujikita huko kupaza sauti ,wanashughulika na Habari za Polepole!
Mbowe kawa rafiki yako tangu lini????Siasa za majitaka hizo.
 
🤣🤣🤣 aibu sana,hii nchi upinzani badosana mkuu.

Ndiomaana nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm na sasa muda unaanza kutoa majibu kuanzia kwa hayati Magu up to now, taratibu tunaelekea kwenye mabadiliko.
Weye na mwenzio wa ajabu kweli.Kwa hiyo leo hii mnawafundisha CHADEMA namna ya kumuonea huruma Mbowe na kumkashifu mwingine?Hivi hata semo za kigogo hamjui kwamba:Adui wa adui yako ni rafiki yako?Au:Keep your friends close.But keep your enemies even closer!?
 
🤣🤣🤣 aibu sana,hii nchi upinzani badosana mkuu.

Ndiomaana nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm na sasa muda unaanza kutoa majibu kuanzia kwa hayati Magu up to now, taratibu tunaelekea kwenye mabadiliko.
Mtakoma sana nyie viroboto,Mungu alianza na Magu,akaja kumshughulikia Sabaya,sasa ni zamu ya Polepole mpaka mtakapotubu dhambi zenu zote hapo ndipo Mungu atawasamehe.
 
Nimepata kitabu cha Nyuma ya Pazia leo! Ngoja nipitie kwa utulivu
IMG20211213145233.jpg
IMG20211213145243.jpg
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Unapambanaje na mtu aliyeteketezwa ?
 
Pole Pole na hao anaowaita wahuni wote lao moja. Hili ni swala lililotengenezwa mahsusi kwa lengo la kuwapoteza watu maboya kuhusu kesi ya Mbowe.

Inajulikana kwamba mashabiki wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo, kwahiyo unatengenezwa upepo kama huu kwa lengo kutaka watu waufuate na kusahau uelekeo wao.

Kwa hili nafikiri Pole Pole na genge lake wamefanikiwa sana. Sasa hivi habari inayopewa uzito kwenye vichwa vya habari magazetini, redioni na kwenye TV ni kuhusu Pole Pole afu ndo zinakuja habari zingine kama vile zile zinazohusu kesi ya Mbowe nk.
Wacha weeee !!!
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Hivi mtaacha lini upumbavu, chadema wanayapitia MAGUMU kwa ajenda ya katiba mpya, wafanye nini zaidi ya hapo??

Au mnaona raha kuitaja chadema
 
Kinacho nishangaza Ni kuona wanaharakati kuungana na wanaoitwa wahuni kumshambulia Polepole! Wamesahau kwenye siasa au harakati hua hakuna adui wa kudumu.

Hata adui Alie kupiga jiwe Jana akitoka Leo na hoja yenye manufaa kufikia malengo yako anamuunga mkono faster ilimradi unajua amekusaidia kufanikisha yako.

Licha ya yote aliyowahi kufanya nyuma hayana maana Wala hayana msaada kwenu,yenye msaada kwenu Ni Hilo anacho kusema sasa chocheeni kuni Moto ukolee Hilo ndio lenye manufaa kwenu.

Moshi wa Polepole umeanza kuwatoa nje wahuni mpeni nguvu na kukoleza mchezo,mmelamba garasa lipo ndani ya ngome halafu mnalichunia! mnajua siasa kweli vijana?

Kuna furaha na shangwe isiyo kifani huku uhunini kadri mnavyomkandia Mr p ole wenu mumuunge mkono huku hapatakalika.
Ushauri mzuri ila tatizo Chadema hawashauriki kabisa. Wange support hii move ya HPP wangejizolea umaarafu mkubwa. HPP si wa kubeza ana watu wengi sana wanao muunga mkono wengi wakiwa vijana.
 
Pole Pole na hao anaowaita wahuni wote lao moja. Hili ni swala lililotengenezwa mahsusi kwa lengo la kuwapoteza watu maboya kuhusu kesi ya Mbowe.

Inajulikana kwamba mashabiki wengi wa upinzani ni bendera fuata upepo, kwahiyo unatengenezwa upepo kama huu kwa lengo kutaka watu waufuate na kusahau uelekeo wao.

Kwa hili nafikiri Pole Pole na genge lake wamefanikiwa sana. Sasa hivi habari inayopewa uzito kwenye vichwa vya habari magazetini, redioni na kwenye TV ni kuhusu Pole Pole afu ndo zinakuja habari zingine kama vile zile zinazohusu kesi ya Mbowe nk.
Hakuna kitu kama hicho Dogo siyo kila siku unakariri verse, kila tukio linakuja na mshindo tofauti
 
Yaani sawasawa kwako kuna bomoka halafu unakwenda kushangaa kwa jirani.CCM siasa zao huwa za kuibua matukio ili kuwatoa kwenye mambo ya msingi.Sasa kuna kesi ya Mbowe,anafanyiwa uonevu wa waziwazi.Sasa badala ya kujikita huko kupaza sauti ,wanashughulika na Habari za Polepole!
Ccm Mbona mnaumia na chadema, nani anahangaika na polepole?
 
Walipokuja kwetu kututesa yeye aliona ni sawa kabisa...
Sasa leo wamebisha hodi kwake anaanza kulalamika...
Angetulia tulii ateswe kuliko walivoteswa wengine...
Na nyie CDM... mnapiga kelele za nini sasa...??
Fanyeni kazi ya kukoleza moto uendelee kuwaka...!!
 
Sasa we endelea kukenua meno kufurahiya unachosema mbaka umesahau kesho ni tarehe 14 ukija kujitambua kama unachekelea ujinga ukigeuka nyuma utakutamwenyekiti anachezea nondo.
Sukuma gang! mmeumia baada ya kiroboto kukanyagwa hasira mnaxihamishia chadema
 
niliishasema chadema ni mbuzi.

kama kuna mtu amekasirika shauri yake.
hawa ni rahisi sana kuwatoa kwenye malengo yao.
kama gazeti zinalopepeluka yaani hawana uelekeo maalum.

hata magufuli aliwapoteza kwa wananchi kwa style hii hii.
wakati kaja anapambana na majizi badala ya kumuunga mkono,wako busy kutoonyesha jinsi walivyo mbayuwayu,wanamsema anaminya uhuru wa kuongea,alipoona wanazidi kupiga kelele akawatoa kabisa bungeni.

kwa sasa wacha wawapambane na pole pole wakidhani watamuweza.
 
Peleka ujinga mbali, unataka watu wakae wanajadili jambo jambo eti ili hiyo kelele ndio imtoe Mbowe. Ni kelele ipi haijapigwa ambayo ilikuwa inasubiri hili igizo la Polepole ndio serikali na dunia isikie?
Sasa hivi issue ya Polepole imefunika kesi ya Mbowe.Kesi ya Mbowe haitegemei wanasheria ili kushinda,inategemea sauti zilizopazwa kwa kila aina,iwe kwenye media,nje ya nchi,barabarabi n.k ili watawala waone haya na pia wabanwe na kumuachia.Sasa ukiingizwa kwenye propaganda za Nape na Polepole,huoni kwamba media zitawapa coverage wao na kesi ya kina Mbowe na mambo mengine ya CDM yatafunikwa?Huni kwamba mnakuwa mmeingizwa kwenye mtego?
 
Back
Top Bottom