Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Acha wapumzike. Miezi miwili campaign. Kazi nzito sana poleni
 
Maalimu ameshakamatwa
Ndicho walichopanga kufanya. Watamuhifadhi ndani na kuwakamata wote watakaoingia barabarani. Watakaokaidi itatumika nguvu kubwa sana kuwavunja miguu

Yaani ni lazima Hussein Ali Hassan Mwinyi aapishwe. Nina uhakika hata Maalim Seif alikuwa anajua hawa watu hawatompa Nchi milele daima.

Unapigaje kura ya mapema kwenye nchi ya watu laki tano? Only in Zanzibar!
 
Ndicho walichopanga kufanya. Watamuhifadhi ndani na kuwakamata wote watakaoingia barabarani. Watakaokaidi itatumika nguvu kubwa sana kuwavunja miguu

Yaani ni lazima Hussein Ali Hassan Mwinyi aapishwe. Nina uhakika hata Maalim Seif alikuwa anajua hawa watu hawatompa Nchi milele daima
Kilichotokea ni calculations, baada ya Lissu kuitangazia jumuia ya kimataifa ndiyo maandamano yanaanza. ICC watafanya uchunguzi sababu ya Maalim kuwekwa ndani. Kumbuka Lissu amewaomba majirani pia wasiukubali ichaguzi huu uliokosa haki.
 
BREAKING NEWS

Mwenyekiti wa ACT Maalim Seif Sharif Hamad, Makamo Mwenyekiti Juma Duni Haji Ismail jussa na Viongozi wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu Wamekamatwa muda huu Michenzani walikuwa wanaongoza maandamano ya kutafuta haki.

Muda wa Ukombozo ni sasa. Kila pahala kila mtanzania atoke Sasa....Unguja asibaki mtu nyumbani.
Hakuna mwenye muda wa kupoteza, nendeni nyie na familia zenu.
 
Wameingia mazima katika mtego
Shida kubwa zaidi ilikuwa ni kukosekana kwa nguvu ya kudai tume huru mapema kabla ya uchaguzi, huyu bwana kwa jinsi alivyojaza pamba kwenye masikio na boriti kwenye macho sidhani kama atarudi nyuma, angeweza kula na vipofu na kuwaachia baadhi ya maeneo yaliyozoeleka, ila ndio hivyo kaamua kunyoosha kila sehemu
 
Mwaka 2015 Mawakala wa Mnyika waliombwa kusimamia bure na wengi waliombwa kutoka makanisa ya kilokole.

Wengine hata ile ahadi ya nauli hawakupewa baada ya uchaguzi kuisha
Wapinzani wenyewe wanatengeneza mazingira ya kuibiwa,ingawa sina uhakika kama kura zinaibiwa kweli.
 
Hapa hamna wa kulaumu nazingira ya siasa Tz yalikua magumu atakukusanya tu wana chama wako mkiwa ndani ya hoteli au nyumbani ulikua unakamatwa na police, lawama inakuja kwetu raia sie ni waoga tumeshidwa kudhibiti hiyo hali ya udikiteta
Ni kweli mkuu lakini pia Chadema hawawezi kukwepa lawama. Embu ona walivyokua wamejikunyata mpaka Lissu alipokuja na kuendesha kampeini bila woga! Chama kikuu cha upinzani kimeshindwa kuonyesha leadership kabisa raia waoga huko barabarani watafanya nini? Tayari wanaumia na umaskini! Naturally raia lazima wawe waoga.
Eti mwamba tuvushe! Jinga tu hilo chairman! Embu ona limedhulumiwa mpaka huko kwao!
Yaani nimekereka
 
Wapumbavu kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini na ndiyo mnamvimbisha kichwa huyo Kichaa. Wakati dunia yote inashangaa na kuona kituko cha uchaguzi MPUUZI wewe unashangilia!
Mmawia tindo BAK nawengine wamepoteana.
niliwaambia mvae pampers siku ya uchaguzi lazima yatashuka bila break.
 
Mmawia tindo BAK nawengine wamepoteana.
niliwaambia mvae pampers siku ya uchaguzi lazima yatashuka bila break.
Wewe ni wakupuuzwa tu.
Hakuna mwenye muda wa kupoteza, nendeni nyie na f
Shida kubwa zaidi ilikuwa ni kukosekana kwa nguvu ya kudai tume huru mapema kabla ya uchaguzi, huyu bwana kwa jinsi alivyojaza pamba kwenye masikio na boriti kwenye macho sidhani kama atarudi nyuma, angeweza kula na vipofu na kuwaachia baadhi ya maeneo yaliyozoeleka, ila ndio hivyo kaamua kunyoosha kila sehemu
Ni vizuri alivyofanya lakini mwaka huu hatuko peke yetu. Kumbuka 2015 mpaka serikali ilimuondoa muwakilishi wa UNDP kwa msaada alikmpa Maalim. Sasa hivi wamerudia yale yale.
 
Watawaridhisha kwa kuwapa wabunge kadhaa. Halafu nafasi za urais zote wanachukua ccm. Wakati ilitakiwa kuwa kinyume chake.

Muda ni Sasa. Kura zinakamatwa kwenye malori halafu tunasubiri zihesabiwe!!?? Tunahesabu nn?
Mkuu hakuna mbunge wa CHADEMA wala ACT kwa Tanzania bara atakayetangazwa.
 
Hamna upinzani Tanzania, wao wenyewe kwa wenyewe wanapingana, liwe fundisho badala ya kuunganisha nguvu wao wanaanzisha vyama vipya vya upinzani. Wataongoza nchi kijinga hvyo
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Wapo in shock (kumbuka vipato vyao vimeguswa) wape mda pressure ipungue kidogo halafu hata hivyo low turn out imewavunja sana nguvu. Check body language ya TL utaelewa.
 
Back
Top Bottom