Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Sijui Membe ana hali gani saa hii. Safari yake kuomba msamaha ili arudishwe CCM baada ya kufukuzwa inazidi kufanywa kuwa rahisi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujidanganya weweCCM walidhani uchaguzi ni mchezo wa kombolela, kumbe ngoma bado mbichi.
Wanasemaje hao wanasiasa waongowaongo.
Akamatwe? This will never happen. Hao watu wanaongea tu. Zero action. Rais Assad wa Syria anaua watu daily ila hajaguswa hata sikio hadi leo. “Mabeberu” wapo vizuri kwenye kutoa matamko tu.Atakamatwa kama ilivyokamatwa bombardier yake.
Umejifungia ndani wewe.Tunawasubiri viongozi wetu kwa hamu watuambie nini kinafuata. Tupo nao bega kwa bega.
Kuna rais amewahi kutekwa na CIA akiwa angani halafu akafichwa kwa miezi sita. Siku anatolewa anakuta nchini kwake kuna rais mpya. Endeleeni kumdanganya MagufuliThubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Jina tu linatia kinyaa hizo comment zako utatutapisha embu kanywe uji Lumumba.Hakuna jipya hapo, picha ndio limeshaisha.
Nani kakufundisha kusema hivyo?Uchaguzi umeshaisha jamani. Kwa sasa tujenge nchi.
Dada vipi ile taringi center ya kigogo ya kujumlishia matokeo imeshatoa mshindi?Kuna rais amewahi kutekwa na CIA akiwa angani halafu akafichwa kwa miezi sita. Siku anatolewa anakuta nchini kwake kuna rais mpya. Endeleeni kumdanganya jiwe
Nadhan wakala wake alienda na kaujumbe ka kupongeza.Sijui Membe ana hali gani saa hii. Safari yake kuomba msamaha ili arudishwe CCM baada ya kufukuzwa inazidi kufanywa kuwa rahisi sana.
Vipi mkuu si mlisema kigogo atawatangazia matokeo maana na taringi center yake ya kujumlishia matokeo?Wanasema jiwe kaibiwa kura alistahili 102%.
Vipi umefurahi sasa?
Amsterdam analialia tu huko Twitter kazi yake ni kuokoteza vu crip wanavyorusha makamanda na yeye ku-retweet tenaAmsterdam naye atakuwepo kwenye huo mkutano?
Tuungane tujenge nchiTumeshamaliza uchaguzi
Sasa tujenge nchi.
Upinzani waje na siasa bora za ushawishi na siyo mashinikizo tu