Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

5. Nasikia Viongozi wa Upinzani wanayakataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa visingizio vya NEC na ZEC kutokuwa vyombo huru. Kwa nini hawakuweka Madai haya kabla ya kutangazwa Matokeo ya Uchaguzi Mkuu?
Walijua fika kabisa kuwa hakuna cha tume huru.

Hata 2015 walikuwa wanajua tume si huru.

2010 vivyo hivyo.

Halafu subiri uone itavyokuwa 2025! Watashiriki tena chini ya tume hii hii!

Ni sikio la kufa hao.
 
Tunawasubiri kwa hamu katika maandamamo yao,tunawahakikishia tuta tumia vyombo vyetu vya ulinzi vilivyo tukuka kuanzia jeshi la wananchi,jeshi la polisi kuhakikisha tunatoa ulinzi imara kwa mama Tanzania
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
 
Uhuni wa CCM jumatatu ndiyo mwisho, na wasifikiri haya yatakuwa kama maandamano ya Mange. This is really political revolution.
Hakuna kitakachofanyika kama unabisha Jumatatu ni baada ya kesho tutaona.

Vumilieni penicillin injection huwa si ajabu kuwa na maumivu makali.

Hongera Magufuli, Hongera Mwinyi ,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Tundu Lissu asisahau tu kurejesha familia yake toka Ubelgiji ije tuandamane nao, maana kwenye kupiga kura hata mkewe tu hakurudi kumpigia kura. Sasa sijui alitegemea nani ndo akampigie kura?

Kuna kitu inaitwa voter mobilisation, hawa wanaojiita wasomi w Chadema hawakuona CCM walivyokuwa wanahimiza wanachama wao mpaka siku ya uchaguzi kwenda kupiga kura? Kwanini wao hawakufanya hivyo?
 
Kwahiyo walichaguliwa wanawapigania na watoto wao hawasomi international schools?
 

Hawa si wa kuomba wala kulilia hali. Suala lisiwe wao kupiga au kuuwa. Ngoma hapa ni kuwa two way traffic. Hakuna mwenye hati miliki ya kuuwa au kupiga.

Hiyo ndiyo mamboleo mantarafu anayopaswa kuisikia bwana mamboleo.
 
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
 
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
toka nyuma ya keyboard uongee hayo km hawajakutafuna nyama nyau wew unatuhasisha tuchafue hali ya amani yetu...hovyoooo
 
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
 
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
Kwa nini hamkwenda kupiga kura?? Hata First Lady wenu hakuja hata kupiga kura toka huko Ubelgiji, kwanini?
 
Tunataka fedha za uchaguz zitoke nje ili iwerahisi kuingilia uchaguz endapo kutakuwa na singeri Kama hizi,,
 
Wanawaza ile mikopo.. ruzukuuuuuu ndio Mbowe analia kabisa. Pesa ya familia wanaikosa kivileeeeee

Watulie, ila duh Wananchi mumewatenda hawa...loooo.. tabu hawatabadilika.. wamuombe Sr. Slaa msamaha pia
Acha ushamba na uongo kwa wizi uliofanyika wa kura ambao hata wewe unaujua au ulishiriki wako sahii kuupinga huu uchaguzi.
 
Mbowe na genge lake mapunguani wakubwa. Alichokiomba hakiwezekani asilani, watanzania sio wajinga kiasi hicho anachodhani. Kama walivyompuuza kwenye Corona na kumvua nguo kwenye uchaguzi mkuu ndivyo itakavyokuwa juma tatu.

Hawatavuka zaidi ya mita 10,wao na familia zao. Kwa kichapo maalim alichokula juzi ningemshangaa kumwona kwenye kikao. Uongozi ni kuwajibika, ungekuwa na akili ungejiuzulu mapema kwa kukiua chama. Shame on you.
 
Bullshit!

Ati Mbowe anaitisha kuvunjwa kwa NEC na kuundwa tume huru ya uchaguzi.

Hana jipya!
We acha kujipendekeza na kuweka masilahi ya chama mbele kuliko taifa shida nyie wengi wa kijani ni wazalendo na wafia chama siyo nchi. Ndio maana kijani inavyofanya uharamia wake nyie ndio washirika wakuu huwa mnafanya bila kuangalia masilahi ya nchi.
 
Jiwe lazima ashinikizwe. Usiwapangie. Umeona matamko ya mabalozi wa US na Canada? Sasa jiwe aendelee kuwa hard headed aone! Atakamatwa kama ilivyokamatwa bombardier yake.
Upuuzi mtupu. Utashangaa, na ndege tano twanunua toka Boeing na zitafika salama. Ingieni barabarani muipate ya moto moto, mita 10 mwisho zaidi ya hapo nyonga zitagawanywa. Nawasubiri juma tatu nyuma ya keyboard.
 
Umeona na wewe umeandika vya maana. Watu wa kijani bwana mnajiona wa maana na mna akili sana.. kumbe bure kabisa. Huu uchanguzi strategic za wizi mlifeli sana yaani hata mtoto wangu wa miaka mitano anajua? Mmebakiza matusi na kusifia na kumendea posho. Shame!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…