Muda wa hayo majadiliano ulishapita Boss, kwa sasa ni MAANDAMANO YASIYO NA KIKOMO tu. Sasa basi.Katika jamii iliyostaarabika, ukiona hujaridhika na jambo unafuata taratibu za kisheria, kijamii au kisiasa kutafuta utatuzi...
Walijua fika kabisa kuwa hakuna cha tume huru.5. Nasikia Viongozi wa Upinzani wanayakataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa visingizio vya NEC na ZEC kutokuwa vyombo huru. Kwa nini hawakuweka Madai haya kabla ya kutangazwa Matokeo ya Uchaguzi Mkuu?
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.Tunawasubiri kwa hamu katika maandamamo yao,tunawahakikishia tuta tumia vyombo vyetu vya ulinzi vilivyo tukuka kuanzia jeshi la wananchi,jeshi la polisi kuhakikisha tunatoa ulinzi imara kwa mama Tanzania
Hakuna kitakachofanyika kama unabisha Jumatatu ni baada ya kesho tutaona.Uhuni wa CCM jumatatu ndiyo mwisho, na wasifikiri haya yatakuwa kama maandamano ya Mange. This is really political revolution.
Kwahiyo walichaguliwa wanawapigania na watoto wao hawasomi international schools?Niaje niaje?
Moja Kwa moja kwenye mada kuu, napenda kuwapongeza WATANZANIA wenzangu Kwa kuwa wazalendo kabisa. Bila shaka ninyi ni mashujaa na wa kweli kabisa katika maisha ya kawaida ndio, lazima tuseme ukweli panapohitajika uwezi kupata ubunge ukalipwa posho zako ukasahau walio kupigania uupate, hii ni dharau. Kira siku ni kujipost tu uko mtandaoni mkijidai na kujitapa kama ninyi ni matajiri wakubwa mnashinda kuvaa gold kwenda kwenye mahotel makubwa na familia mkijiona Bora kabisa ndio.
Una magari sita sijui matano yote umeweka majina yako kwenye kwenye plate number ambayo unalipia Kira moja karibu milioni kumi Kwa mwaka wakati aliye kupambania ubaki kwenye madaraka bima ya afya ya elfu arobaini tu hana, na uko comfortable kabisa kujimwambafai kwa visuti vyako vya sinza kijiweni na vimoka vyako vya kariakoo sokoni.
ASANTE WAJUMBE KWA KUTOWAPIGIA HAWA MABAZAZI WAKUBWA, unajifanya unatupigania huku watoto wako wanasoma international schools Sisi wetu wanasoma changanyikeni haafu unasema tuko sawa wewe ni TAAHAHIRA MKUBWA.
SASA KWA TAARIFA YAKO HATUANDAMANI TUNAUNGA JUHUDI LIWALO NA LIWE. WEWE UKIONA HAPA PAGUMU HAMA NCHI MWANASESERE WEWE.
Nawasilisha
Amani iwe nanyi.
Nyie ndio walinzi wa Watanzania, nyie ndio mnashika silaha kwa niaba ya watanzania. Nyie kama jamii ya watanzania na sehemu ya watanzania mmeona kilichotokea tarehe 28 ambapo kura zilipigwa ila watu wametangaza matokeo yao walioyandaa kabla hata ya uchaguzi. Nyie ni mashahidi na mmeona yote..
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.Mbowe sio kosa lake, kisu kimezama mfupani safari hii na yeye kakosa ulaji, madeni ya kampeni atalipaje, wa kwanza kuwa punguani ni mawakala wao waliotokeza hadharani kukubali matokeo.
Njaa ni mbaya sana inaweza kukutia upofu.... subiri tuone wakitangulia mbele ya maandamano. Hii ndio karata yao ya mwisho...
toka nyuma ya keyboard uongee hayo km hawajakutafuna nyama nyau wew unatuhasisha tuchafue hali ya amani yetu...hovyooooAskari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.Tundu Lissu asisahau tu kurejesha familia yake toka Ubelgiji ije tuandamane nao, maana kwenye kupiga kura hata mkewe tu hakurudi kumpigia kura. Sasa sijui alitegemea nani ndo akampigie kura? Kuna kitu inaitwa voter mobilisation, hawa wanaojiita wasomi w Chadema hawakuona CCM walivyokuwa wanahimiza wanachama wao mpaka siku ya uchaguzi kwenda kupiga kura? Kwanini wao hawakufanya hivyo?
Kwa nini hamkwenda kupiga kura?? Hata First Lady wenu hakuja hata kupiga kura toka huko Ubelgiji, kwanini?Askari yeyote atakayejaribu kuleta FUJO kwenye maandamano yetu ya AMANI, ajue tu kwamba ATAKUWA AMEIWEKA FAMILIA YAKE REHANI. Hatutavumilia upuuzi wenu tena. SASA BASI.
Acha ushamba na uongo kwa wizi uliofanyika wa kura ambao hata wewe unaujua au ulishiriki wako sahii kuupinga huu uchaguzi.Wanawaza ile mikopo.. ruzukuuuuuu ndio Mbowe analia kabisa. Pesa ya familia wanaikosa kivileeeeee
Watulie, ila duh Wananchi mumewatenda hawa...loooo.. tabu hawatabadilika.. wamuombe Sr. Slaa msamaha pia
muda wote wanavinjari mitandaoni tu... wanajazana ujingaKwa nini hamkwenda kupiga kura?? Hata First Lady wenu hakuja hata kupiga kura toka huko Ubelgiji, kwanini?
We acha kujipendekeza na kuweka masilahi ya chama mbele kuliko taifa shida nyie wengi wa kijani ni wazalendo na wafia chama siyo nchi. Ndio maana kijani inavyofanya uharamia wake nyie ndio washirika wakuu huwa mnafanya bila kuangalia masilahi ya nchi.Bullshit!
Ati Mbowe anaitisha kuvunjwa kwa NEC na kuundwa tume huru ya uchaguzi.
Hana jipya!
Upuuzi mtupu. Utashangaa, na ndege tano twanunua toka Boeing na zitafika salama. Ingieni barabarani muipate ya moto moto, mita 10 mwisho zaidi ya hapo nyonga zitagawanywa. Nawasubiri juma tatu nyuma ya keyboard.Jiwe lazima ashinikizwe. Usiwapangie. Umeona matamko ya mabalozi wa US na Canada? Sasa jiwe aendelee kuwa hard headed aone! Atakamatwa kama ilivyokamatwa bombardier yake.
Umeona na wewe umeandika vya maana. Watu wa kijani bwana mnajiona wa maana na mna akili sana.. kumbe bure kabisa. Huu uchanguzi strategic za wizi mlifeli sana yaani hata mtoto wangu wa miaka mitano anajua? Mmebakiza matusi na kusifia na kumendea posho. Shame!!Mbowe na genge lake mapunguani wakubwa. Alichokiomba hakiwezekani asilani, watanzania sio wajinga kiasi hicho anachodhani. Kama walivyompuuza kwenye Corona na kumvua nguo kwenye uchaguzi mkuu ndivyo itakavyokuwa juma tatu. Hawatavuka zaidi ya mita 10,wao na familia zao. Kwa kichapo maalim alichokula juzi ningemshangaa kumwona kwenye kikao. Uongozi ni kuwajibika, ungekuwa na akili ungejiuzulu mapema kwa kukiua chama. Shame on you.