Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
 
Mataga kazini. Na mtataga mwaka huu. Go Lissu Go Lissu.

Watu lazima mpoteane mwaka huu. Na Lissu ndo Raisi wenu mwaka huu, mpende msipende.
Membe sio Lowassa, Lissu atakaposhinda uelewa wake wa kidiplomasia ya nje ya kudai ushindi wake hauwezi kuifikia diplomasia ya membe kimataifa katika kuidai haki yake uzi ni mwepesi lakini tuuchambue kwa akili nyingi kidogo sana sana Lissu atakapodhania amepokwa ushindi ataamrisha maandamano which is not good way badala ya kusolves kimataifa zaidi bila ya kuumiza wananchi.
 
WAnachadema wa wapi wewe? Membe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi. Kama mnataka watu wote waondoke, wamteue membe. Wanaompigia debe mtu huyu ni wale wasio na ufahamu vichwani, ama miaka 10 iliyopita walikuwa watoto bado. Achana na membe unaharibu hali ya hewa.
 
Unataka wafanye matendo gani? Wanasiasa wa ccm ukimtoa Rais wetu wana matendo gani? Jitambue tafadhali.

Waungane, waache tamaa. Nilitegemea mpaka sasa wawe wamefikia makubaliano ya kumsimika mgombea mmoja kwenye ngazi zote kuanzia urais mpaka udiwani.
 
WAnachadema wa wapi wewe? Membe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi. Kama mnataka watu wote waondoke, wamteue membe. Wanaompigia debe mtu huyu ni wale wasio na ufahamu vichwani, ama miaka 10 iliyopita walikuwa watoto bado. Achana na membe unaharibu hali ya hewa.
Nani anayeweza kuutetea ushindi maana watanzania pia wanachoka sana kusimama mistari mirefu ya kupiga kura bila tumaini lao kutimia WHO CAN PROTECTS ITS WIN diplomatically without chaos hao wengine wataona fujo ndio solutions
 
Back
Top Bottom