Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Na waungane kwa kweli
 
Kwa kuitumia ACT ndio maana mnalilia muungano na Chadema sio. Safari hii Chadema inasimamia show yenyewe.
Hii inamaanisha kila chama kisimamishe mgombea wake!!!
Hiki ndicho CCM wanachokutaka na mwisho wa siku matokeo yanajulikana.
Nadhani hatujawa tayari kwa mageuzi maana vitu vidogo vingali vinatubabaisha na kwa mfumo huu wa kutoshirikiana tusubiri matokeo.
 
Hii inamaanisha kila chama kisimamishe mgombea wake!!!
Hiki ndicho CCM wanachokutaka na mwisho wa siku matokeo yanajulikana.
Nadhani hatujawa tayari kwa mageuzi maana vitu vidogo vingali vinatubabaisha na kwa mfumo huu wa kutoshirikiana tusubiri matokeo.
Faida ya kuungana Chadema wanaijua sana, ila wana mashaka na anaetaka waungane nae.
 
Hahah... Awe waziri mkuu wa nchi gani? Hebu weka wazi hapa uwaziri huo wapi kati ya kule Wcb, Mnzese kW Madee au insta kw Mwijaku
 
Faida ya kuungana Chadema wanaijua sana, ila wana mashaka na anaetaka waungane nae.
Mkuu muungano wowote hufungwa kwa mkataba wa kimaandishi ambayo huwa na faida pande zote na jamii husika. Mpaka sasa sioni dalili za viongozi wa vyama mbadala kutafuta suluhisho la muungano linalofaa zaidi ya kuona panzi wakiparurana mtandaoni huku jikunguru likichochea moto...
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
MAGUFULI4LIFE
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Hivi kwa akili yako unamfananisha membe na Lissu? Lissu ni habari ingine wewe kiumbe.
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Una damu ya kimasai. Mgeni akija kwako leo unamkabidhi mke halafu ww mwenyewe unakwenda kulala kwenye banda la ng'ombe. Yaani huyu Membe ndio amekuwa mpinzani na mwakilishi mzr wa upinzani kuliko Lissu? Kwa nn usiseme yeye ndio awe Mgombea Mwenza au W/Mkuu? Halafu unavyosema hivyo huku ukijua ni vyama 2 tofauti unamaana gani? Usiache akili zako chooni, uwe unatembea nazo zote.
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Janja yenu tumeshaigundua
 
Watanzania tunajua na tunapenda sana kugamble na maisha yetu..
 
Chadema kuna wachaga pale wana tamaa. Pesa mbele. Ukizungumzia mgombea mmoja wanataka asilimia kubwa watoke kwao ili wapate ruzuku. Waulize UKAWA 2015 hawana hamu nao.
Ccm kuna wasukuma watoto wa kuozesha mama zao kwa jogoo
 
Back
Top Bottom