vuga
Member
- Jan 3, 2011
- 57
- 20
Exactly. Well said.Nasema hivi CDM, wasipompitisha lisu kugombea urais watu hatutawaelewa! Acha tushindwe tukiwa na Lissu! Hatutalaumu mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly. Well said.Nasema hivi CDM, wasipompitisha lisu kugombea urais watu hatutawaelewa! Acha tushindwe tukiwa na Lissu! Hatutalaumu mtu.
Na waungane kwa kweliUmoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Waungane na ccm?? Hujui most of them ni vya ccm?
Hii inamaanisha kila chama kisimamishe mgombea wake!!!Kwa kuitumia ACT ndio maana mnalilia muungano na Chadema sio. Safari hii Chadema inasimamia show yenyewe.
Faida ya kuungana Chadema wanaijua sana, ila wana mashaka na anaetaka waungane nae.Hii inamaanisha kila chama kisimamishe mgombea wake!!!
Hiki ndicho CCM wanachokutaka na mwisho wa siku matokeo yanajulikana.
Nadhani hatujawa tayari kwa mageuzi maana vitu vidogo vingali vinatubabaisha na kwa mfumo huu wa kutoshirikiana tusubiri matokeo.
Mkuu muungano wowote hufungwa kwa mkataba wa kimaandishi ambayo huwa na faida pande zote na jamii husika. Mpaka sasa sioni dalili za viongozi wa vyama mbadala kutafuta suluhisho la muungano linalofaa zaidi ya kuona panzi wakiparurana mtandaoni huku jikunguru likichochea moto...Faida ya kuungana Chadema wanaijua sana, ila wana mashaka na anaetaka waungane nae.
MAGUFULI4LIFEUmoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Hivi kwa akili yako unamfananisha membe na Lissu? Lissu ni habari ingine wewe kiumbe.Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Una damu ya kimasai. Mgeni akija kwako leo unamkabidhi mke halafu ww mwenyewe unakwenda kulala kwenye banda la ng'ombe. Yaani huyu Membe ndio amekuwa mpinzani na mwakilishi mzr wa upinzani kuliko Lissu? Kwa nn usiseme yeye ndio awe Mgombea Mwenza au W/Mkuu? Halafu unavyosema hivyo huku ukijua ni vyama 2 tofauti unamaana gani? Usiache akili zako chooni, uwe unatembea nazo zote.Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Janja yenu tumeshaigunduaUmoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Ccm kuna wasukuma watoto wa kuozesha mama zao kwa jogooChadema kuna wachaga pale wana tamaa. Pesa mbele. Ukizungumzia mgombea mmoja wanataka asilimia kubwa watoke kwao ili wapate ruzuku. Waulize UKAWA 2015 hawana hamu nao.