Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA ni lazima ioneshe mshikamano juu ya mgombea mmoja, Lissu awe Waziri Mkuu

What if iwe vise versa, Lisu for President, Nyalandu Vice President and Membe - PM?
Why Nyalandu? What has he done kwa Taifa
Huyu mtu hata Morogoro hapo tu wananchi hawamjui
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Wana Chadema wengi hawawezi kuwa na imani na Membe then wakose imani na Liu wewe utakuwa unazunumzia watu wengine tofauti na wana Chadema!
 
Bora Chadema isimame yenyewe kama watashindwa kuelewana.Na hii itairudisha Chadema kwenye misingi yake ya awali.Baada ya uchaguzi hao wafuata ulaji watayeyuka na kubakiza Chadema Asilia.Kuna haja gani ya ushirikiano wa mashaka huku mkijua hakutaleta mafanikio.
Kweli kabisa, ndio maana licha ya ACT kuandika barua kibao na kubembeleza hadharani, Chadema hawaongei chochote kuhusu hio fake coalition.
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Tulia wewe sindano ikuingie vyema kusudi upone. Lissu ndiye mgombea na mshindi wa urais
 
Ndiyo plan yao maana ACT wanajua kuwa ni mtoto wao hivyo kurahisisha hujuma kwenye upinzani.
Kwa kuitumia ACT ndio maana mnalilia muungano na Chadema sio. Safari hii Chadema inasimamia show yenyewe.
 
Haiwahusu nyinyi mataga wa lumumba sisi kama cdm tuna uwezo wa kupambana na hali zetu hadi kuing'oa ccm.
Membe sio Lowassa, Lissu atakaposhinda uelewa wake wa kidiplomasia ya nje ya kudai ushindi wake hauwezi kuifikia diplomasia ya membe kimataifa katika kuidai haki yake uzi ni mwepesi lakini tuuchambue kwa akili nyingi kidogo sana sana Lissu atakapodhania amepokwa ushindi ataamrisha maandamano which is not good way badala ya kusolves kimataifa zaidi bila ya kuumiza wananchi.
 
Kina petro magoti hapo lumumba mnaweweseka tu.
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu wana CHADEMA kwa umoja wetu ni lazima tukae na tufikiri kwa kina Bwana B Membe tumpishe kwa nafasi ya Urais na Ndg yetu Lissu aje kukaa kwa nafasi ya Uwaziri Mkuu kwa makubaliano ya kimaandishi kabisa although kushinda huwa ni ndoto ya mfalme juha kutokana na kutokuwa na Tume Huru ya Uchaguzi.

Wana CHADEMA wengi wana imani na Membe tatizo ni bwana huyu asipoipata hii nafasi kwa wakati huu hatakawia kufanya kama Ndg. Slaa alivyofanya njia panda ndio hii.
Upuuzi mtupu.
 
Haikuhusu wewe lumumba, ongelea mipango yenu jinsi mlivyo jipanga kuwa chama cha upinzani ili muanze kushindana na kina Lyatonga kugombea wenye viti wa vitongoji.
Anatakiwa mtu ambaye ataweza kutetea ushindi wake kwa uwezo wa kidiplomasia alio nao na sio kubakia kulalama
nimeibiwa nimeibiwa nimeibiwa.
 
Hari ya wapinzani kuliko ccm iliyo tawala miaka 60 bila chochote cha kujivunia
Bongo wanasiasa wa upinzani karibu wote ni waigizaji tu. Kilele nyiiingi, matendo sifuri.
 
Hakuna kichaa wa kuwaunga mkono ccm b
WAnachadema wa wapi wewe? Membe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi. Kama mnataka watu wote waondoke, wamteue membe. Wanaompigia debe mtu huyu ni wale wasio na ufahamu vichwani, ama miaka 10 iliyopita walikuwa watoto bado. Achana na membe unaharibu hali ya hewa.
 
Anatakiwa mtu ambaye ataweza kutetea ushindi wake kwa uwezo wa kidiplomasia alio nao na sio kubakia kulalama
nimeibiwa nimeibiwa nimeibiwa.
Mchukueni nyie akatetee ushindi wenu. Chadema ni Lisu.
 
Naona sindano inafanya kazi yake
Nani anayeweza kuutetea ushindi maana watanzania pia wanachoka sana kusimama mistari mirefu ya kupiga kura bila tumaini lao kutimia WHO CAN PROTECTS ITS WIN diplomatically without chaos hao wengine wataona fujo ndio solutions
 
Back
Top Bottom