Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Membe sio Lowassa, Lissu atakaposhinda uelewa wake wa kidiplomasia ya nje ya kudai ushindi wake hauwezi kuifikia diplomasia ya membe kimataifa katika kuidai haki yake uzi ni mwepesi lakini tuuchambue kwa akili nyingi kidogo sana sana Lissu atakapodhania amepokwa ushindi ataamrisha maandamano which is not good way badala ya kusolves kimataifa zaidi bila ya kuumiza wananchi.Mataga kazini. Na mtataga mwaka huu. Go Lissu Go Lissu.
Watu lazima mpoteane mwaka huu. Na Lissu ndo Raisi wenu mwaka huu, mpende msipende.
Anatakiwa mtu ambaye ataweza kutetea ushindi wake kwa uwezo wa kidiplomasia alio nao na sio kubakia kulalamaBila. Lissu Jpm atakwenda kulala
Nyalandu atabaki kusema tumuachie mungu...Anatakiwa mtu ambaye ataweza kutetea ushindi wake kwa uwezo wa kidiplomasia alio nao na sio kubakia kulalama
nimeibiwa nimeibiwa nimeibiwa.
Bongo wanasiasa wa upinzani karibu wote ni waigizaji tu. Kilele nyiiingi, matendo sifuri.
Unataka wafanye matendo gani? Wanasiasa wa ccm ukimtoa Rais wetu wana matendo gani? Jitambue tafadhali.
Nani anayeweza kuutetea ushindi maana watanzania pia wanachoka sana kusimama mistari mirefu ya kupiga kura bila tumaini lao kutimia WHO CAN PROTECTS ITS WIN diplomatically without chaos hao wengine wataona fujo ndio solutionsWAnachadema wa wapi wewe? Membe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi. Kama mnataka watu wote waondoke, wamteue membe. Wanaompigia debe mtu huyu ni wale wasio na ufahamu vichwani, ama miaka 10 iliyopita walikuwa watoto bado. Achana na membe unaharibu hali ya hewa.
ππππππππ Vichaa Wengi sana nyakati za Uchaguzi.Mataga kazini. Na mtataga mwaka huu. Go Lissu Go Lissu.
Watu lazima mpoteane mwaka huu. Na Lissu ndo Raisi wenu mwaka huu, mpende msipende.
kwa nafasi kumi za uteuzi wa raisAwe waz
Awe waziri mkuu Kwa ubunge upi?
Waziri mkuu ni lazima awe mbunge wa Jimbo/kuchaguliwa na wananchi.kwa nafasi kumi za uteuzi wa rais