CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

Kaiulize kamati iliyopewa kuchunguza hayo! Je ilikuja na jibu gani?

Ukumbuke, wale wote waliotakiwa kulipa fedha hizo alipokufa magufuli wakadhani mi pona yao! Wanahitajika kulizipa!
 
CCM hata ya Magufukinikishindwa, ndiyo maananhaijaleta mabadiliko ya kimfumo.

Sasa jwa ninibtunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?
Inawezekana uko na hoja ila hujaamua kupangilia uwandishi wako
 
Magufuli hawezi kufutika kirahis mioyoni mwa watu wew. Kile kilikuwa chuma kiboko ya wezi
 
we akili hazikutoshi, eti mkumbatieni, mnamkumbatia mfu? Vichaaha hawakaa waishe hii dunia. Tena bila haya?
 
Magufuli hawezi kufutika kirahis mioyoni mwa watu wew. Kile kilikuwa chuma kiboko ya wezi
Ni ukweli usiomithilika!

Wajinga tu wanaodhani magufuli hajakaa mioyoni mwa watanzania wengi
 
Nimekuuliza sukuma gang wako wapi, mbona hawajitokezi waziwazi wakaonekana. Unaoongelea kundi la muhimu lenye uoga! Kama hao sukuma gang wangekuwa na nguvu hizo, Magufuli asingehangaika kupora mchakato wa uchaguzi maana hilo kundi lingempa ushindi.

Washabiki wa simba na Yanga wako wazi na wanafahamika, wafuasi wa cdm wako wazi na wanafahamika. Hayo majoga ya sukuma gang yako wapi tuyaone? Usitake kujifanya wananchi wote ndio sukuma gang, eti taja jina la Magufuli. Mbona linatajwa tu na wanaosifia wanamsifia, na wanaomponda wanamponda na hakuna lolote jipya? Unataka cdm waungane na kundi hewa linaloogopa hata kujitokeza hadharani?
 
we akili hazikutoshi, eti mkumbatieni, mnamkumbatia mfu? Vichaaha hawakaa waishe hii dunia. Tena bila haya?
Haya matusi hayaondoi ukweli wa kile nimesema!

Kakague matusi anayooga huko msaidizi wa Mbowe!

Cheza na Samia usicheze na nguvu aliyoiwekeza JPM kwenye mioyo ya watanzania kwa watu wa maisha ya chini na ya kati na hata kwa wasomi na wapenda mabadiriko nchini

Na ukimsema vibaya huyo mwamba kama alivyofanya huyo ndugu yenu na usiwe na ulinzi, utaoga bakora!
 
Ni ukweli usiomithilika!

Wajinga tu wanaodhani magufuli hajakaa mioyoni mwa watanzania wengi
Mm nilikuwa siwapendi ccm hata kdg ila kutokana na falsafa ya chuma kile ah na kofia nilinunua na kweny kampen ile 2020 niliungua jua kusubiri kumwona live tu moyo wangu utulie. Toka amefarik na kofia siitaki tena
 
Akae moyoni kwa watanzania wengi, kisha apore uchaguzi?
Kupora uchaguzi na kuwatendea haki watanzania kwa nchi hii ya watu wezi na majambazi, ni swa kabisa

Tunataka na mwingine mfano wa Jiwe aibe tena kura ili tuondokane na maswaobu yanayojitokeza sasa
 
Waambie hao ni mwili tu umekufa ila falsafa zake za kizalendo bado ni mpyaaaaa mioyoni mwa watanzania wengi
 
Chadema hawana njia yoyote ya kuwafikisha Ikulu. Hicho ni chama cha wajinga ndiyo waliwao.

Wabaki kama walivyo, kutengeneza pesa za wajinga na kukusanya vijana wasiojielewa wataokwenda vyama vingine wakishajielewa.

Chadema ni chama cha kutafutia umaarufu na wapiga pesa tu.

Chadema hakina uhalali kabisa wa kupewa madaraka na wananchi wanaojielewa.
 
Ukiona mahali popote mtu anamtukana vibaya JPM wew jua alikutana na KIBANO kitakatifu 😁
 
Mm nilikuwa siwapendi ccm hata kdg ila kutokana na falsafa ya chuma kile ah na kofia nilinunua na kweny kampen ile 2020 niliungua jua kusubiri kumwona live tu moyo wangu utulie. Toka amefarik na kofia siitaki tena
Mimi mwenyewe mkuu, Magufuli alirudisha imani yangu sana juu ya uongozi wake nchini!
 
Inawezekana uko na hoja ila hujaamua kupangilia uwandishi wako
Simu ilizingua.

Nasema hivii.

CCM hata ya Magufuli ilishindwa, ndiyo maana haijaleta mabadiliko ya kimfumo.

Sasa kwa nini tunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?

Kwa nini tunashindwa kufikiri kidhahania na kusema uongozi mzuri ni ule utakaotupa hiki, na hiki na hiki, hata kama hakipo?

Kwa nini tunaona ili kulinganisha uongozi, inatubidi tulinganishe uongozi mmoja ulioshindwa na mwingine ulioshindwa? Kwa nini tunaweka makundi ya kulinganisha tawala kwa muktadha wa Chawa wa Mama vs. Sukuma Gang wakati wote hao ni failures tu?

Kwa nini tunalinganisha failure na failure badala ya kuweka viwango vizuri, hata kama hatujavifikia, halafu tulinganishe uongozi wetu ulioshindwa na uongozi wa viwango vinavyotakiwa, hata kama hatujavifikia bado?
 
Yeye alifanya kipi cha maana?
Ni pamoja na kuchezea kibano wezi, wauza ngada, wala rushwa, wanufaika wa watumishi hewa na watumishi hewa kwa ujumla

Na ikiwa katika hayo ulikuwepo, abadani huwezi kumkubali hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…