Kaiulize kamati iliyopewa kuchunguza hayo! Je ilikuja na jibu gani?Eleza kwanza zile pesa ambazo zilifichwa China na eti zitakabidhiwa familia yake! Alizitoa wapi, zile pesa alizokuwa akizigawa barabarani alizitoa wapi na zile pesa alizoipa CCM iwalipe mishahara wafanyakazi wake wakati CCM haikuwa na pesa alizitoa wapi!
Msitetete wizi na hujuma huku pesa za wenye maduka ya kubadili pesa hawajarudishiwa pesa zao zaidi ya kakuleta, viti na meza.
Inawezekana uko na hoja ila hujaamua kupangilia uwandishi wakoCCM hata ya Magufukinikishindwa, ndiyo maananhaijaleta mabadiliko ya kimfumo.
Sasa jwa ninibtunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?
Magufuli hawezi kufutika kirahis mioyoni mwa watu wew. Kile kilikuwa chuma kiboko ya weziKusema CCM haikubaliki kanda ya ziwa sababu inaweza kuwa ni ubaguzi tu wa kuona mwanamke yupo pale ikulu na akifanya kazi ya maana sana.
Hakuna mradi ulioachwa na hayati JPM uliolala mpaka kwa miaka miwili tangu afariki dunia. Walitegemea kuona kila kitu kikikwama lakini uhalisia umekuwa ni kinyume chake.
Na tunao wapumbavu wengi kwenye jamii yetu ambao hata kikifanyika kizuri kiasi gani wanakimbilia kwenye udhaifu wa jinsia, kwao hakuna jema linaloweza kufanywa na mwanamke hizi ni akili za kipuuzi sana.
Hivyo kujaribu kuwaambia CHADEMA kwamba wasimtukane Magufuli kwa kudhania kwamba Samia ni mteremko kwao, ni kujidanganya pia. Samia anao wasaidizi wa kiwango cha juu sana na anawapa uhuru wa kufanya wanaloweza kufanya wakitumia weledi wao kuijenga nchi.
we akili hazikutoshi, eti mkumbatieni, mnamkumbatia mfu? Vichaaha hawakaa waishe hii dunia. Tena bila haya?Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo
Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla
watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi
Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo
Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,
Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!
Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi
Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki
Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?
Mnachotaka nyinyi ni nini?
Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,
Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm
Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?
JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,
Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote
Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM
Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Nimekuuliza sukuma gang wako wapi, mbona hawajitokezi waziwazi wakaonekana. Unaoongelea kundi la muhimu lenye uoga! Kama hao sukuma gang wangekuwa na nguvu hizo, Magufuli asingehangaika kupora mchakato wa uchaguzi maana hilo kundi lingempa ushindi.Nafikir umeamua kujitoa ufahamu kwa chuki binafsi juu ya jiwe.Kundi la jiwe lipo na lina nguvu.CCM wanatumia divide and rule technique, Team jiwe pekee haiwez watoa CCM madarakani, Chadema pekee hawana uwezo wa kuitoa CCM madarakani na ACT pia haina huo uwezo.So CCM wanawatumia ACT kuiponda CHADEMA na Wakati huohuo CHADEMA inatumika kuipoteza Sukuma gang.Chadema haiwezi chukua nchi kwa kupambana na ACT,CCM na Sukuma gang kwa pamoja. Chadema inaweza chukua nchi kwa kuungana na Sukuma gang, bila hata kuungana na ACT Inawezekana vizuri tu. Sukuma gang ni watu wa chini wenye kuamini katika Magufuli na hawa ni wengi sana.Unaweza fanya research kwenye daladala tu,Tamka MAGUFULI then kaa kimya utaelewa kama unataka kuelewa coz kuelewa sometimes ni uamuzi. Ni mwanasiasa ubwabwa tu atakayekuambia sukuma gang haina lolote lakini yule anayejua SIASA ni sayansi hawezi beza hili kundi. Hawez cheza ovyo na hii karata, kama unavyoona wanasiasa wanavyocheza na HISIA za bodaboda, machinga au mamantilie ndivyo hata hili kundi inavyotakiwa ucheze nalo. Na Bahati mbaya hili kundi limemeza hayo makundi yote.
Ukitaka SIASA za kufurahisha nafsi yako ni sahihi kabisa kubeza hili kundi ila kama unataka SIASA za kushika dora basi huwez jitoa ufahamu ktk kucheza na HISIA za hili kundi. Nachoona Chadema na Lisu wanafanya SIASA katuni au SIASA maigizo. Sayansi ya SIASA kila kundi ni muhimu katika kufikia lengo flani ila SIASA katuni au za kutumika ndio utaona mwanasiasa anapambana kuponda kete za kumfanya afike sehemu. Adui wa Adui yako ni RAFIKI yako na hii ni FACT,Sukuma gang ni Adui wa CCM,Sasa kama Chadema ni adui wa CCM kwanini asiwe rafiki wa sukuma gang?Au ye anafanyaje SIASA?
Akae moyoni kwa watanzania wengi, kisha apore uchaguzi?Ni ukweli usiomithilika!
Wajinga tu wanaodhani magufuli hajakaa mioyoni mwa watanzania wengi
Haya matusi hayaondoi ukweli wa kile nimesema!we akili hazikutoshi, eti mkumbatieni, mnamkumbatia mfu? Vichaaha hawakaa waishe hii dunia. Tena bila haya?
Mm nilikuwa siwapendi ccm hata kdg ila kutokana na falsafa ya chuma kile ah na kofia nilinunua na kweny kampen ile 2020 niliungua jua kusubiri kumwona live tu moyo wangu utulie. Toka amefarik na kofia siitaki tenaNi ukweli usiomithilika!
Wajinga tu wanaodhani magufuli hajakaa mioyoni mwa watanzania wengi
Kupora uchaguzi na kuwatendea haki watanzania kwa nchi hii ya watu wezi na majambazi, ni swa kabisaAkae moyoni kwa watanzania wengi, kisha apore uchaguzi?
Sasa ana tofauti gani na wanaoingia madarakani kwa kupindua nchi?Kupora uchaguzi na kuwatendea haki watanzania kwa nchi hii ya watu wezi na majambazi, ni swa kabisa
Waambie hao ni mwili tu umekufa ila falsafa zake za kizalendo bado ni mpyaaaaa mioyoni mwa watanzania wengiHaya matusi hayaondoi ukweli wa kile nimesema!
Kakague matusi anayooga huko msaidizi wa Mbowe!
Cheza na Samia usicheze na nguvu aliyoiwekeza JPM kwenye mioyo ya watanzania wa maisha ya chini
Na ukimsema vibaya huyo mwamba kama alivyofanya huyo ndugu yenu na usiwe na ulinzi, utaoga bakora!
Yeye alifanya kipi cha maana?Potelea pote, kwa sababu hao wanaoshinda kwa haki wamefanya kipi?
Mimi mwenyewe mkuu, Magufuli alirudisha imani yangu sana juu ya uongozi wake nchini!Mm nilikuwa siwapendi ccm hata kdg ila kutokana na falsafa ya chuma kile ah na kofia nilinunua na kweny kampen ile 2020 niliungua jua kusubiri kumwona live tu moyo wangu utulie. Toka amefarik na kofia siitaki tena
Simu ilizingua.Inawezekana uko na hoja ila hujaamua kupangilia uwandishi wako
Nilikuwa sikosi kuskiliza hotuba yake aisee.Mimi mwenyewe mkuu, Magufuli alirudisha imani yangu sana juu ya uongozi wake nchini!