CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

Simu ilizingua.

Nasema hivii.

CCM hata ya Magufuli ilishindwa, ndiyo maana haijaleta mabadiliko ya kimfumo.

Sasa kwa nini tunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?

Kwa nini tunashindwa kufikiri kidhahania na kusema uongozi mzuri ni ule utakaotupa hiki, na hiki na hiki, hata kama hakipo?

Kwa nini tunaona ili kulinganisha uongozi, inatubidi tulinganishe uongozi mmoja ulioshindwa na mwingine ulioshindwa?

Kwa nini tunalinganisha failure na failure badala ya kuweka viwango vizuri, hata kama hatujavifikia, halafu tulinganishe uongozi wetu ulioshindwa na uongozi wa viwango vinavyotakiwa, hata kama hatujavifikia bado?
Unajua mkuu, wewe unakuwaga na hoja na huwa ninakukubali sana!

Hasa unapoongelea mifumo! Hilo nakuunga mkono, kwenye hilo, naliona kosa kubwa la JPM la kutokuweka kuw mfumo ambao kila kiongozi atakayekuja, aongozwe na mfumo na siyo yeye kuiendesha mifumo atakavyo

Tunataka mfumo wa kufuatwa na kila kiongozi ajaye na siyo mtu kuwa yeye ndio mfumo
 
Niliwaambia Chadema kuliko kumtaja JPM kwa mabaya, bora kutokumtaja kabisa kama ccm ilivyonyamaza kabisa...wao sio wajinga.

Haijalishi Magu alikuwa mbaya au mzuri ila amejisokota sana kwenye mioyo ya wapiga kura wengi.
Kumshambulia ni kujichimbia shimo la kusahaulika.
toka ametukanwa huyo magufuli chadema imeyumba wapi au unaishi pwan, njoo kanda ya ziwa uniambie wapi magufuli anapendwa kama hautajikuta pekeako na wajinga wenzio mlionufaika na wizi wa kura wa huyo magufuli, kama haujui kanda ya ziwa hatutaki hata kumsikia huyo mbwa wenu magufuli pamoja na mama yenu muuza bandari.
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Unamchafuaje mtu aliyechafuka?
Hizo nguvu na lulu unazoziongelea ni zipi? Wewe unadhani yeye alikua ni mjunga hadu akauiba na kuuvuruga uchaguzi?
Alifanikiwa kuwaroga nyie muaamini anapendwa, ila ukweli aliokua nao ulimtisha.
Lissu msumchukulie poa. Kutoka kupona kuuawa kwa risasi hadi kuja kusimama na hasimu wako na kupelekea hasimu wake kusimamisha simamisha kampeni kila baada ya wiki kwa sababu za kiafya na hadi baadaye kufariki huyo siyo mtu wa kumchukulia poa. Ni mtu finyu tu ndiyo atamchukulia poa.
 
toka ametukanwa huyo magufuli chadema imeyumba wapi au unaishi pwan, njoo kanda ya ziwa uniambie wapi magufuli anapendwa kama hautajikuta pekeako na wajinga wenzio mlionufaika na wizi wa kura wa huyo magufuli, kama haujui kanda ya ziwa hatutaki hata kumsikia huyo mbwa wenu magufuli pamoja na mama yenu muuza bandari.
🤣

Nakushauri uende kwenye ukurasa wa nduguyo ujionee alivyoshuka ghafula umaarufu wake
 
Simu ilizingua.

Nasema hivii.

CCM hata ya Magufuli ilishindwa, ndiyo maana haijaleta mabadiliko ya kimfumo.

Sasa kwa nini tunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?

Kwa nini tunashindwa kufikiri kidhahania na kusema uongozi mzuri ni ule utakaotupa hiki, na hiki na hiki, hata kama hakipo?

Kwa nini tunaona ili kulinganisha uongozi, inatubidi tulinganishe uongozi mmoja ulioshindwa na mwingine ulioshindwa? Kwa nini tunaweka makundi ya kulinganisha tawala kwa muktadha wa Chawa wa Mama vs. Sukuma Gang wakati wote hao ni failures tu?

Kwa nini tunalinganisha failure na failure badala ya kuweka viwango vizuri, hata kama hatujavifikia, halafu tulinganishe uongozi wetu ulioshindwa na uongozi wa viwango vinavyotakiwa, hata kama hatujavifikia bado?
Uongozi wa Magufuli ulifaulu kwanza alikuwa mzalendo sana na nchi yake pili aliwapenda watanganyika kwa moyo wa dhati tatu aliboresha sectorz nying sana ikiwemo afya na usafiri nne alibana wezi mpaka mifuko ya surual ya nyuma ikakutana tano hakuweka rehani mali na urithi wa nchi yetu
 
Uongozi wa Magufuli ulifaulu kwanza alikuwa mzalendo sana na nchi yake pili aliwapenda watanganyika kwa moyo wa dhati tatu aliboresha sectorz nying sana ikiwemo afya na usafiri nne alibana wezi mpaka mifuko ya surual ya nyuma ikakutana tano hakuweka rehani mali na urithi wa nchi yetu
Hujaongelea uongozi, umemuongelea mtu.

Uongozi ni zaidi ya mtu mmoja.

Tofautisha uongozi na mtu.
 
Goli la ccm lipo wazi upinzani wao na beki tu.
Mama wa kambo hawezi zuia penalt
 
Unamchafuaje mtu aliyechafuka?
Hizo nguvu na lulu unazoziongelea ni zipi? Wewe unadhani yeye alikua ni mjunga hadu akauiba na kuuvuruga uchaguzi?
Alifanikiwa kuwaroga nyie muaamini anapendwa, ila ukweli aliokua nao ulimtisha.
Lissu msumchukulie poa. Kutoka kupona kuuawa kwa risasi hadi kuja kusimama na hasimu wako na kupelekea hasimu wake kusimamisha simamisha kampeni kila baada ya wiki kwa sababu za kiafya na hadi baadaye kufariki huyo siyo mtu wa kumchukulia poa. Ni mtu finyu tu ndiyo atamchukulia poa.
Unapomaliza kuandika haya, kafungue ukurasa wa Msaidizi wa Mbowe uone alivyoshushwa thamani na kushuka ghafla kwenye umaarufu wake

JPM yaweza kuwa ni mbaya, lakini ya nini kushupaza shingo kushindana na wasioelewa ubaya wake?

Unaitaka Ikulu?

Wakati mwingine unapaswa kutumia hata zile njia usizo zipenda ili ufike uendako!

Endeleeni na ujinga wenu! Kuna mabua yanawasubiri
 
toka ametukanwa huyo magufuli chadema imeyumba wapi au unaishi pwan, njoo kanda ya ziwa uniambie wapi magufuli anapendwa kama hautajikuta pekeako na wajinga wenzio mlionufaika na wizi wa kura wa huyo magufuli, kama haujui kanda ya ziwa hatutaki hata kumsikia huyo mbwa wenu magufuli pamoja na mama yenu muuza bandari.
Acha uongo mm nimesoma mwanza kipindi magu anatangazwa kuwa ni rais mpya shule nzima walipiga mayowe ya furaha na kukata matawi ya miti na kushangilia
 
Unajua mkuu, wewe unakuwaga na hoja na huwa ninakukubali sana!

Hasa unapoongelea mifumo! Hilo nakuunga mkono, kwenye hilo, naliona kosa kubwa la JPM la kutokuweka kuw mfumo ambao kila kiongozi atakayekuja, aongozwe na mfumo na siyo yeye kuiendesha mifumo atakavyo

Tunataka mfumo wa kufuatwa na kila kiongozi ajaye na siyo mtu kuwa yeye ndio mfumo
JPM yeye alifanya total abuse, na kosa lake kubwa kabisa hakupenda kupungwa, na alitaka ashauriwe atakavyo.
Mbaya zaid ni aina ya watu aliojizungushia, waliuona udhaifu wake wa kupenda sifa wakautumia.
Mwanasiasa makini kamwe hatataka support ya 'Sukuma Gang', hili ni kundi la hovyo na majambazi tupu. Ndiyo yaliyoipeleka nchi kule ilipokuwa inapotelea.Kuna wakati nilikua nikimuonea huruma sana JPM, maana nilikua naona jinsi wanamtumia.
 
Hii sentesi ni ya kijinga!

Acha kubagua watu mpuuzi wewe! Uongozi mbaya ukiwa umefanywa na mwanaume ndio sahihi kuuchukia na kiongozi huyo kuchukiwa? Ukifanyika chini ya mwanamke, ukisemwa inakuwa ni kuisema jinsia yake?

Na aewe ulienda shule kusomea upuuzi?

Kushindwa ni kushindwa tu, na ubaya wa kiongozi yeyeto utasemwa bila kujali jinsia!

Elewa sana mkuu
Mjinga ni wewe uliyeumizwa na ukweli wa hiyo sentensi. Mojawapo ya wanaopinga uwekezaji wa DP World pale bandarini sababu ni jinsia yake.

Mikataba mibovu imeshaingiwa mingi sana kabla hajaingia ikulu na hatujasikia kelele za wajuaji.
 
JPM yeye alifanya total abuse, na kosa lake kubwa kabisa hakupenda kupungwa, na alitaka ashauriwe atakavyo.
Mbaya zaid ni aina ya watu aliojizungushia, waliuona udhaifu wake wa kupenda sifa wakautumia.
Mwanasiasa makini kamwe hatataka support ya 'Sukuma Gang', hili ni kundi la hovyo na majambazi tupu. Ndiyo yaliyoipeleka nchi kule ilipokuwa inapotelea.Kuna wakati nilikua nikimuonea huruma sana JPM, maana nilikua naona jinsi wanamtumia.
Baada ya kushinda uchaguzi na upo Ikulu tayari, ndio unapaswa kushikilia hii hoja yako

Vinginevyo, Chadema hamuitaki Ikulu ya Chamwino mnatuzuga tu

Mlimtumia Lowasa na mkakubali kula matapishi, sembuse hili?
 
Kwa katiba yako sasa uongozi ni mtu sio watu
Mkuu, mimi ushauri wangu ni kwamba, Chadema alenge kuipata ikulu kwa njia zozote zile, kila kundi alenge kulichukua yeye

Akifika hapo atatengeneza aonavyo!
 
Unapomaliza kuandika haya, kafungue ukurasa wa Msaidizi wa Mbowe uone alivyoshushwa thamani na kushuka ghafla kwenye umaarufu wake

JPM yaweza kuwa ni mbaya, lakini ya nini kushupaza shingo kushindana na wasioelewa ubaya wake?

Unaitaka Ikulu?

Wakati mwingine unapaswa kutumia hata zile njia usizo zipenda ili ufike uendako!

Endeleeni na ujinga wenu! Kuna mabua yanawasubiri
Magufuli mwenyewe aliipata Ikulu isivyo halali, vipi utake kutegemea kivuli chake? Labda kama unaitaka Ikulu kwa mabavu na unataka kutumia mabavu ya vyombo vya usalama na Chama tawala.
Gharama maendeleo ya kweli siyo sawa na sherehe za harusi.
 
Baada ya kushinda uchaguzi na upo Ikulu tayari, ndio unapaswa kushikilia hii hoja yako

Vinginevyo, Chadema hamuitaki Ikulu ya Chamwino mnatuzuga tu

Mlimtumia Lowasa na mkakubali kula matapishi, sembuse hili?
Usifikiri kila anayechangia kwa mawazo huru ni CHADEMA, kwa taarifa yako tu, mimi kiitikadi ni CCM kuliko unavyoweza ukafikiri.
 
Chadema hawana nia ya kushika dora,Hawa ni vibaraka wa CCM ndio maana hawajikiti kwenye SIASA za kisayansi ili kuitoa CCM.Wangekua serious wasingeangaika na kundi la jiwe.Hawakupewa uhuru wa kufanya SIASA hivihivi, moja ya masharti ni kupambana na jiwe coz huu ndio mzimu unaoitesa CCM.Mpinzani mkubwa wa ccm ni team jiwe ambayo iko ndani yao na sio hawa wapinzani ubwabwa. Siku upinzani ukianza kuitumia team jiwe utaona vikwazo watakavyo kutana navyo toka kwa utawala. Siasa wanazopiga kwa sasa hazina shida kwa ccm
Well Said
 
Usifikiri kila anayechangia kwa mawazo huru ni CHADEMA, kwa taarifa yako tu mimi kiitikadi ni CCM kuliko unavyoweza ukafikiri
Nimekuelewa mkuu

Ila kiukweli nyinyi nchi imewashinda boss!
 
Kaiulize kamati iliyopewa kuchunguza hayo! Je ilikuja na jibu gani?

Ukumbuke, wale wote waliotakiwa kulipa fedha hizo alipokufa magufuli wakadhani mi pona yao! Wanahitajika kulizipa!
Unao uhakika na ukisemacho? Acha maneno ya vijiweni.
 
Back
Top Bottom