CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

Si kila wakati unafaa kwa mapambano boss
 
Ushauri wangu nyie sukuma gang ambao mnajifanya mna nguvu hiyo, jitokezeni waziwazi muonyeshe misimamo yenu tuone uwezo na uvumilivu wenu. Sio mmejificha na hakuna anayethubutu kuja kupambana na ukatili ambao shujaa wenu Magufuli aliutumia kutawala wengine kwa shuruti. Hamuwezi kujificha kwa uoga, kisha mtegemee watu watajali uwepo wenu, jitokezeni hadharani mlipe gharama za mabadiliko.
 
Yani unachosema hapo ni kwamba, hata kama Tundu Lissu hana nia ya kuleta mabadiliko, anataka kupiga hela ndefu tu, anaruhusiwa kukudanganya hata wewe kwamba anataka kuleta mabadiliko, halafu umpe matumaini yako na kura, aingie ikulu, halafu akiingia ikulu akusahau wewe na ajenda zenu mlizokubaliana, aweke mbele ajenda yake ya kupiga pesa.
 
Nitarejea boss!

Ila sina maana hiyo!

Kumbuka tu boss! Ukitaka kupajenga palipobomoka! Utahitaji kudhalilika kwanza ili uheshimike baada ya
 
Nitarejea boss!

Ila sina maana hiyo!

Kumbuka tu boss! Ukitaka kupajenga palipobomoka! Utahitaji kudhalilika kwanza ili uheshimike baada ya
Suala si kuwa una maana hiyo au huna maana hiyo, suala ni kwamba umeruhusu hilo.
 
Si kila wakati unafaa kwa mapambano boss
Sasa mnapotaka cdm waungane na nyinyi waoga hadi lini mtakuwa tayari kwa mpambano? Cdm wako kwenye mapambano muda wote, nyie mmejificha mkiendelea kula keki ya taifa, lakini mnataka muwatumie waliotayari kulipa gharama ya mabadiliko kwa tamaa yenu ya madaraka.

Kosa walilofanya cdm la kumuokota Lowassa halitajirudia tena. Nyie waoga endeleeni kujificha huku mkijifanya mna nguvu. Jitokezeni hadharani mlipe gharama ya mabadiliko, sio mkae vichakani, kisha mkiona mabadiliko yanakaribia mjifanye mnabeba propaganda za Magufuli kurukia treni la mabadiliko.
 
Chama gani kina uhalali?
 
Hahaha..
Labda Katiba ibadilike.
As long as kuna hao NEC, policcm na wakurugenzi, ccm itaendelea kupeta tu
Mkuu, unadhani nchi zilizoko kwenye viguvugu la mabadiriko la kisiasa hawana jeshi?

Haki inapokosekana kabisa matokeo yake ndo hayo mkuu
 
Mkuu, unadhani nchi zilizoko kwenye viguvugu la mabadiriko la kisiasa hawana jeshi?

Haki inapokosekana kabisa matokeo yake ndo hayo mkuu
Haki ipi uliyoikosa Tanzania, hususan enzi hii ya mama Samia?
 
Wasipoupokea ushauri huu basi watakuwa ni wapumbavu.

Kimsingi kwa vyovyote vile na kwa vyovyote Lissu atawaona watu ni wajinga, ajue kabisa ameteleza pakubwa mno
 
Wasipoupokea ushauri huu basi watakuwa ni wapumbavu.

Kimsingi kwa vyovyote vile na kwa vyovyote Lissu atawaona watu ni wajinga, ajue kabisa ameteleza pakubwa mno
Sahihi mkuu!
 
Lissu analetewa tarifa za uwongo na mashushu ya ccm ili avuruge zaidi
 
Kukumbatia maiti yahitaji moyo kweli😫
 
Kwani mwili umefukuliwa hadi chadema waende kuukumbatiq😧😧😧😧 harufu ya mzoga je?🥺🥺🥺 Haupendi watu na huwapendi chadema wewe Mzoga kabisa watu hai wakumbatie??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…