CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

CHADEMA, njia ya kupita ili kuingia Ikulu ni kuacha kabisa kumchafua Hayati Magufuli. Mkumbatieni mtafika

Kaangalie matusi anayoogeshwa Lisuu ndo urudi hapa useme huu ujinga wako
Hayo matusi ni sehemu ya siasa, hivyo kawasisitize hao wanaotukana wasiache maana ni haki yao hadi watakapotosheka. Kama mkitukana huko kwenye page yake mnadhani mtamzuia kusema ukweli, basi mmeukalia. Sisi wengi tunamuunga mkono kwa kumsema yule ibilisi.
 
Niliwaambia Chadema kuliko kumtaja JPM kwa mabaya, bora kutokumtaja kabisa kama ccm ilivyonyamaza kabisa...wao sio wajinga.

Haijalishi Magu alikuwa mbaya au mzuri ila amejisokota sana kwenye mioyo ya wapiga kura wengi.
Kumshambulia ni kujichimbia shimo la kusahaulika.
Wapiga kura wapi, maana kwa sasa hivi hapa nchini kushiriki uchaguzi ni kupoteza muda, na Magufuli ndio aliyeshusha thamani ya box la kura. Sasa sijui ni nani mnamtisha na hao wapiga kura, ambao yeye mwenyewe hakuwaamini hadi akaamua kupora uchaguzi.
 
Chadema hawana nia ya kushika dora,Hawa ni vibaraka wa CCM ndio maana hawajikiti kwenye SIASA za kisayansi ili kuitoa CCM.Wangekua serious wasingeangaika na kundi la jiwe.Hawakupewa uhuru wa kufanya SIASA hivihivi, moja ya masharti ni kupambana na jiwe coz huu ndio mzimu unaoitesa CCM.Mpinzani mkubwa wa ccm ni team jiwe ambayo iko ndani yao na sio hawa wapinzani ubwabwa. Siku upinzani ukianza kuitumia team jiwe utaona vikwazo watakavyo kutana navyo toka kwa utawala. Siasa wanazopiga kwa sasa hazina shida kwa ccm
Anzisheni kile chama chenu cha sukuma gang ili mtumie huo mtaji wa wa huyo jiwe. Hao team jiwe wako wapi, mbona hawathubutu kujitokeza hadharani ili wachote huo mtaji wa jiwe kama kweli wanaamini upo? Mnaleta vitisho vya kijinga mkitegemea watu wataacha kuanika uhayawani wa dhalimu?
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Na huo ndio ukweli wenyewe !! Lakini kwa kuwa wataupuuza wasitegemee miracles katika Uchaguzi !!
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Mkumbatie wewe peke yako. Kwetu sisi yule ni fisadi wa kuchomwa moto kama kibaka.
 
Kwa kifupi siasa ni sayansi Chadema watumie mtaji wa Magufuri kwa vile falsafa yao ya raslimali za nchi wanafanana naye kuliko utawala wa awamu hii. tofauti ya magufuri na wao ni kwenye falsafa ya demokrasia na uhuru wa kujieleza au mambo ya haki za kibinadamu. wacheze na fursa.
 
Kwa kifupi siasa ni sayansi Chadema watumie mtaji wa Magufuri kwa vile falsafa yao ya raslimali za nchi wanafanana naye kuliko utawala wa awamu hii. tofauti ya magufuri na wao ni kwenye falsafa ya demokrasia na uhuru wa kujieleza au mambo ya haki za kibinadamu. wacheze na fursa.
Kumtumia Shetani kumtoa shetani mwenzie ni kuhalalisha kufanya ushetani mbeleni ukishafanikwa kushika madaraka.

Mazuri ya Magufuli yatasemwa, na mabaya yake yatasemwa.

Ndiyo maana Lissu anasema mazuri ya Magufuli kuwa hakuwa muingia mikataba mibovu, Lakini mabaya yake kama uuaji, kutoheshimu katiba anasema!
 
Kwa kifupi siasa ni sayansi Chadema watumie mtaji wa Magufuri kwa vile falsafa yao ya raslimali za nchi wanafanana naye kuliko utawala wa awamu hii. tofauti ya magufuri na wao ni kwenye falsafa ya demokrasia na uhuru wa kujieleza au mambo ya haki za kibinadamu. wacheze na fursa.
Kama wanajua kupiga hesabu vizuri watazingatia ushauri wako !!
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Kusema CCM haikubaliki kanda ya ziwa sababu inaweza kuwa ni ubaguzi tu wa kuona mwanamke yupo pale ikulu na akifanya kazi ya maana sana.

Hakuna mradi ulioachwa na hayati JPM uliolala mpaka kwa miaka miwili tangu afariki dunia. Walitegemea kuona kila kitu kikikwama lakini uhalisia umekuwa ni kinyume chake.

Na tunao wapumbavu wengi kwenye jamii yetu ambao hata kikifanyika kizuri kiasi gani wanakimbilia kwenye udhaifu wa jinsia, kwao hakuna jema linaloweza kufanywa na mwanamke hizi ni akili za kipuuzi sana.

Hivyo kujaribu kuwaambia CHADEMA kwamba wasimtukane Magufuli kwa kudhania kwamba Samia ni mteremko kwao, ni kujidanganya pia. Samia anao wasaidizi wa kiwango cha juu sana na anawapa uhuru wa kufanya wanaloweza kufanya wakitumia weledi wao kuijenga nchi.
 
Anzisheni kile chama chenu cha sukuma gang ili mtumie huo mtaji wa wa huyo jiwe. Hao team jiwe wako wapi, mbona hawathubutu kujitokeza hadharani ili wachote huo mtaji wa jiwe kama kweli wanaamini upo? Mnaleta vitisho vya kijinga mkitegemea watu wataacha kuanika uhayawani wa dhalimu?
Nafikir umeamua kujitoa ufahamu kwa chuki binafsi juu ya jiwe.Kundi la jiwe lipo na lina nguvu.CCM wanatumia divide and rule technique, Team jiwe pekee haiwez watoa CCM madarakani, Chadema pekee hawana uwezo wa kuitoa CCM madarakani na ACT pia haina huo uwezo.So CCM wanawatumia ACT kuiponda CHADEMA na Wakati huohuo CHADEMA inatumika kuipoteza Sukuma gang.Chadema haiwezi chukua nchi kwa kupambana na ACT,CCM na Sukuma gang kwa pamoja. Chadema inaweza chukua nchi kwa kuungana na Sukuma gang, bila hata kuungana na ACT Inawezekana vizuri tu. Sukuma gang ni watu wa chini wenye kuamini katika Magufuli na hawa ni wengi sana.Unaweza fanya research kwenye daladala tu,Tamka MAGUFULI then kaa kimya utaelewa kama unataka kuelewa coz kuelewa sometimes ni uamuzi. Ni mwanasiasa ubwabwa tu atakayekuambia sukuma gang haina lolote lakini yule anayejua SIASA ni sayansi hawezi beza hili kundi. Hawez cheza ovyo na hii karata, kama unavyoona wanasiasa wanavyocheza na HISIA za bodaboda, machinga au mamantilie ndivyo hata hili kundi inavyotakiwa ucheze nalo. Na Bahati mbaya hili kundi limemeza hayo makundi yote.

Ukitaka SIASA za kufurahisha nafsi yako ni sahihi kabisa kubeza hili kundi ila kama unataka SIASA za kushika dora basi huwez jitoa ufahamu ktk kucheza na HISIA za hili kundi. Nachoona Chadema na Lisu wanafanya SIASA katuni au SIASA maigizo. Sayansi ya SIASA kila kundi ni muhimu katika kufikia lengo flani ila SIASA katuni au za kutumika ndio utaona mwanasiasa anapambana kuponda kete za kumfanya afike sehemu. Adui wa Adui yako ni RAFIKI yako na hii ni FACT,Sukuma gang ni Adui wa CCM,Sasa kama Chadema ni adui wa CCM kwanini asiwe rafiki wa sukuma gang?Au ye anafanyaje SIASA?
 
Magufuli ana nyota kali sana, wanaomtukana atakuwa aliwashika kama sio kwenye vyeti feki basi alibana pale mlipokuwa mnakula bure. Sijawahi kusikia uku mtaani watu wanamtukana Magu
 
Kusema CCM haikubaliki kanda ya ziwa sababu inaweza kuwa ni ubaguzi tu wa kuona mwanamke yupo pale ikulu na akifanya kazi ya maana sana.
Hii sentesi ni ya kijinga!

Acha kubagua watu mpuuzi wewe! Uongozi mbaya ukiwa umefanywa na mwanaume ndio sahihi kuuchukia na kiongozi huyo kuchukiwa? Ukifanyika chini ya mwanamke, ukisemwa inakuwa ni kuisema jinsia yake?

Na aewe ulienda shule kusomea upuuzi?

Kushindwa ni kushindwa tu, na ubaya wa kiongozi yeyeto utasemwa bila kujali jinsia!

Elewa sana mkuu
 
Kusema CCM haikubaliki kanda ya ziwa sababu inaweza kuwa ni ubaguzi tu wa kuona mwanamke yupo pale ikulu na akifanya kazi ya maana sana.
Hii sentesi ni ya kijinga!
Acha kubagua watu mpuuzi wewe! Uongozi mbaya ukiwa umefanywa na mwanaume ndio sahihi kuchukiwa? Ukifantika chini ya mwanamke, ukisemwa inakuwa ni kuisema jinsia yake?

Na aewe ulienda shule kusomea upuuzi?

Kushindwa ni kushindwa tu, na ubaya wa kiongozi yeyeto utasemwa bila kujali jinsia!

Ele
Nafikir umeamua kujitoa ufahamu kwa chuki binafsi juu ya jiwe.Kundi la jiwe lipo na lina nguvu.CCM wanatumia divide and rule technique, Team jiwe pekee haiwez watoa CCM madarakani, Chadema pekee hawana uwezo wa kuitoa CCM madarakani na ACT pia haina huo uwezo.So CCM wanawatumia ACT kuiponda CHADEMA na Wakati huohuo CHADEMA inatumika kuipoteza Sukuma gang.Chadema haiwezi chukua nchi kwa kupambana na ACT,CCM na Sukuma gang kwa pamoja. Chadema inaweza chukua nchi kwa kuungana na Sukuma gang, bila hata kuungana na ACT Inawezekana vizuri tu. Sukuma gang ni watu wa chini wenye kuamini katika Magufuli na hawa ni wengi sana.Unaweza fanya research kwenye daladala tu,Tamka MAGUFULI then kaa kimya utaelewa kama unataka kuelewa coz kuelewa sometimes ni uamuzi. Ni mwanasiasa ubwabwa tu atakayekuambia sukuma gang haina lolote lakini yule anayejua SIASA ni sayansi hawezi beza hili kundi. Hawez cheza ovyo na hii karata, kama unavyoona wanasiasa wanavyocheza na HISIA za bodaboda, machinga au mamantilie ndivyo hata hili kundi inavyotakiwa ucheze nalo. Na Bahati mbaya hili kundi limemeza hayo makundi yote.

Ukitaka SIASA za kufurahisha nafsi yako ni sahihi kabisa kubeza hili kundi ila kama unataka SIASA za kushika dora basi huwez jitoa ufahamu ktk kucheza na HISIA za hili kundi. Nachoona Chadema na Lisu wanafanya SIASA katuni au SIASA maigizo. Sayansi ya SIASA kila kundi ni muhimu katika kufikia lengo flani ila SIASA katuni au za kutumika ndio utaona mwanasiasa anapambana kuponda kete za kumfanya afike sehemu. Adui wa Adui yako ni RAFIKI yako na hii ni FACT,Sukuma gang ni Adui wa CCM,Sasa kama Chadema ni adui wa CCM kwanini asiwe rafiki wa sukuma gang?Au ye anafanyaje SIASA?
Mkuu! Umemaliza hoja!

Mungu akutunze! Wasipokuelewa hawa mabehewa wa chadema, basi tena
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
Eleza kwanza zile pesa ambazo zilifichwa China na eti zitakabidhiwa familia yake! Alizitoa wapi, zile pesa alizokuwa akizigawa barabarani alizitoa wapi na zile pesa alizoipa CCM iwalipe mishahara wafanyakazi wake wakati CCM haikuwa na pesa alizitoa wapi!
Msitetete wizi na hujuma huku pesa za wenye maduka ya kubadili pesa hawajarudishiwa pesa zao zaidi ya kakuleta, viti na meza.
 
yule ngosha hapana asee, yeye ndio katengeneza haya yote. Bila yeye tusingekuwa na hili bunge la ndioooo kapambana kudhoofisha upinzani. Matokeo yake nchi inaelekea shimoni
 
Nawahakikishia hivyo, kwa sababu kati ya watu waliofanya tafiti kuhusu utawala wa JPM na uliopo sasa, miongoni mwao na mimi nimefanyia utafiti huo

Nasema ukweli wa moyo! Sio kanda ya ziwa tu, pwani na hata kasikazini, na nchi nzima kwa ujumla

watanzania wanahasira mno na ccm kwa uongozi uliopo ambao umeshindwa kabisa kukidhi matarajio ya wengi

Wanahasira na ccm na hasa kwa kuacha kwa maksudi Rais wa mioyo ya wengi hayati JPM kutukanwa bila wao ccm kujitokeza kukemea jambo hilo

Yako mengi ni pamoja na kupanda kwa gharama za maisha bila sauti yoyote ya kiongozi wa juu,

Hatukatai, yapo mambo ambayo kipindi cha mwendazake yalikuwa yakitokea na kuwa kero kwa wananchi, ila Rais alijitokeza hadharani kwa haraka ama kukemea na ama vinginevyo!

Kanda ya ziwa kwa sasa, ccm haitakiwi hata kwa dawa, ninao mabibi zangu ambao kabla ya utawala huu, ilikuwa ukiwaambia wakakipigie kura chama cha upunzani, ilikuwa unaambulia matusi

Nenda sasa uwaulize wazee kuihusu ccm, majibu utakayopata utaaungana na mimi kusema, watu wameichoka mno ccm na hawaitaki

Chadema, kumtukana Magufuli ni kujiharibia, kwani mkimeza tu yale mnayodhani hayakuwa sawa mtapungukiwa nini? Mbona ya kina Lowasa mliyameza na kumpa nafasi ya kugombea urais?

Mnachotaka nyinyi ni nini?

Kumbukeni, kampeni na machapisho yenu ya nyuma kipindi cha uchaguzi uliopita, nanukuu,

Mlisema, kwa sasa, tutatumia mbinu zote ili kuitoa ccm madarakani, hata kama njia za kishetani, na ndiyo maana ya kula matapishi yenu kumweka Lowasa kuongoza njia kuing'oa ccm

Kwa sasa mbashindwa nini? Mbona mnawakasirisha wananchi walio wengi na ambao huwezi kuwaambia chochote kuhusu JPM wakakuelewa zaidi watakuona kituko?

JPM ni lulu yao wananchi wengi hasa wa maisha ya chini, na wananchi wa maisha ya chini, ndio waliowengi na ndio wanaweza kuwaondoa ccm kwa uwingi wa kura zao! piga ua galagaza, JPM, ni lulu yao tu,

Hata mchukie kuona watu wakimpenda JPM, iko hivyo na hamtawabadiri kwa lolote

Nimewapuuza sana kuingiza maneno na shombo ya kijinga kumhusu JPM

Na bila shaka mmeona matusi yanayoporomoshwa kwenye ukurasa wa Tundu lissu
CCM hata ya Magufuli kashindwa, ndiyo maana haijaleta mabadiliko ya kimfumo.

Sasa kwa nini tunalinganisha CCM iliyoshindwa na CCM iliyoshindwa badala ya kuweka standards za uongozi mzuri na kutaka tuzipate kutoka kwa yeyote?
 
Back
Top Bottom