TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ha ha ha aaa! Kamada upo!? Lissu anasema mkalale barabarani Dar -Moro (ajabu sana wenzako eti wakapiga makofi na vifijo...unazi kitu kibaya)!! Upo tayari kung'antwa na mbu kuanzia leo!??? H aha ha aaa! Mtaniiii! Hi hi hiiiii!Mkumbushe..... ajue kabla hajafanya ...
Ubongo wako una dhiki ya uelewa.Hujui historia , umekaririshwa Mandela alitoka gerezani hai.
Tumia akili yako kujua Mandela alifia wapi ? Na alipokufa nani alivalishwa sura ya Mandela. Na alitolewa gerezani ama alizikwa wapi?
Kwa nini Winnie Mandela alikataa kulala na kivuli cha Mandela ?
Hujiulizi na kuona kifo cha Mandela fake na Mandela original ni tofauti?
Endelea kulishwa matango pori na Lisu wako.
Ninaweza nikawa sio raia wa nchi hii lakini nikawa mzalendo kuliko hata raia wa hii nchi, mmejaa tu utapeli na ukandamizaji kwa raia wa nchi hii.Wewe siyo raia wa nchi hii kwanza. Tunakufiatilia kwa ukaribu sana.
Na wasilolijua ni kwamba hao polisi wanawakarisha jwtz na wakishaingia hao kazi imeisha.Ukiona hilo Jeshi la Polisi linatumia nguvu hivyo kumdhibiti huyo Tundu Lissu, ujue hao watawala wa CCM weshaona maji yako shingoni!
Hilo Jeshi la Polisi, kwa kujua au kutojua, wanampaisha mno huyo Tundu Lissu.
Ukombozi kamili tayari ushakaribia mno.
Tarehe 28/10/2020 twende tukamalize kazi.
Watanzania wana jambo lao kwenye sanduku la kura
Lissu anapambana kwakila hali ili avuruge amani kisha yeye akimbiliezake ubelgiji akatulie zake.
Polisi ni vilaza ndio maana wanatumika
saJeshi la Polisi wenye silaha za moto na Mabomu ya machozi muda huu wameuzuia msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tundu Lissu maeneo ya Kiluvya ukiwa unaelekea Kibaha.
Elfu Saba tu,ndo inakufanya unajitoa akili?Unajua nadhani mtu akishakula advance ya mabeberu atafanya kila njia kuwaridhisha maboss zake. Hicho ndiyo kinampata Lissu
I am financially sound more than you might think. I can even be your employer. So be careful not to ruin your employment chances by your improper responses to my posts.Elfu Saba tu,ndo inakufanya unajitoa akili?
Huyu ni mtu bwege! Anadhalau polisi na kusema hawa siyo tume ya uchaguzi wakati anaelewa nini alichoambiwa na Tume hiyo. Sifa za kijinga.
Umenikumbusha shilolekiuno official mchambaji wa instagram.I am financially sound more than you might think. I can even be your employer. So be careful not to ruin your employment chances by your improper responses to my posts.
How is it possible for Pm majaliwa but for lissu impossible?How do you separate the two? It's impossible absolutely.
Lissu kuna muda mwingine hashauriwi vizuri.
Sasa utakesha hapo unafanya nini? Leo tarehe 6 ni siku mbili tu zimebaki kufika tarehe 9, si asubiri tu
..wanamuonea tu.
..kwani wangemruhusu kufanya shughuli zake kungetokea madhara gani?
..tangu TL amerejea nchini hajaumiza mtu yeyote yule mahali kote alikopita.
MTU was kwanza kudakwa na ICC ni siro...muda utasema.polis ndo wanavuruga amani ya nchi yetu kwa kuipendelea ccm...Lisu atadhibitiwa kila anapokanyaga! Hatutaki vibaraka hapa nchini
Ataruhusiwaje ikiwa amefungiwa?