BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Katembea bila kugundulika kivipi hebu sikilizeni mashuhuda
Sana maana mashuhuda wamesema ameziporahapa Chadema hamjajipanga! kwani huyo hizo Smg alikuja nazo si kapora hapohapo eneo la tukio? barua yenyewe ipo ki kejelikejeli
Chadema wanasma kwamba alitembea na bunduki bila kugundulika sio kweliMkuu kutoa pole tu unataka watu wafanya uchunguzi? Hapa tumetoa pole na rambi rambi. Jesho litafanya uchunguzi kiweledi
Nyumba ya diwani ipo upanga? Ebu fanys utafiti kwanza kabla ya kuandika jambo, anyeishi hapo karibu ni mkuu wa usalama mkoa wa dar na sio DGISSirro na jeshi lake nawaweka kuwa suspected no 1.
Hapo jamaa alipokuwepo ni 100 kutoka nyumba ya Diwani Athuman
Mita 200 ofisi ya usalama wa Taifa
Akauua polisi wawili kwa pistol/bastola then akachukua bunduki zao ?
Bado akaua mlinzi wa kampuni binafsi halafu tena akawa anaongoza msafara wa magari ya kiraia .
Yeye alikuwa anataka tu polisi
Kwa nini ?
Hiyo mitqa huww napita huwa nadhani muda wote wenye miwani mieusi wananiona kumbe ni geresha tu. Muda huo ni mrefu kwa maeneo sensitive kama hayo.
Sasa ingekuwa Mbagala kwetu si angemaliza mtaa mzima?
Waendelee tu kufuatilia Chadema badala ya kujifua dhidi ya magaidi wa ukweli, watazidi kupukutishwa
Ujumbe hapa ni kwamba hao ndio magaidi ambao Siro anapaswa kuwashughulikia na sio Mbowe!
Hakuwatafuta polisi zaidi, hembu sikiliza mashahidiHatari Sana inaogopesha tulikofika je kwa nini mhalifu alikuwa akiwatafuta Polisi zaidi uchunguzi wa kina ufanyike Kuna Jambo zito
Hebu muwe mnachunguza, sikiliza tukio lilivyotokeaUlitakiwa umkumbushe intelijensia ya polisi isiishie kwenye vyama vya upinzani tuu. Bali iingie kwenye mambo kama haya.
Ukisikia dhihaka aka sarcasm ndiyo Hiyo. Message sent to Mr. Sirro and the co.
Wewe nakuomba uache hiyo roho ,Dunia hii ni ya Mungu siyo ya CCM.Sikufiji utakufa kifo Kibaya sanabahati mbaya mkuu mimi sio mfuasi wa chama chochote mimi ni mtanzania, naipenda nchi yangu, ila inapo tokea chama chochte kina hubiri na kuhamasisha uvunjifu wa amani siwezi kukaa kimya, CHADEMA ni Chama ambacho tayari kimeonyesha wazi ni chama kinacho hamasisha uvunjifu wa amani, Mwenyekiti wa Chama hicho Mbowe tayari anakabiliwa na Mashitaka ya Ugaidi, hujiulizi swali tu kama Baba yao alikuwa anaratibu matendo ya Kigaidi je watoto (Vionhozi wenzake na wafuasi) wake watakuwa na tabia gani?! ni hatari sana, hiki chama kilipaswa kufutwe kabisa.
Hahaha..... Sirro ana kazi kubwa kujustify Ugadi wa Mbowe.inadaiwa Mbowe aliwarubuni na kuwatumia vijana wafuatao katika matendo ya Kigaidi;
1. HALFANI BWIRE HASSAN
2. ADAM HASSAN KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILAHI LINGWENYA.
Tafakakuri.
Uchunguzi uanzie hapo Kinondoni!
Kama ilivyo kawaida yenu kubanbikia,kunyanyasa na kuonea.Kawaida yenu kupongeza magaidi. Pongeza tuu maana kiongozi wenu nae gaidi.
Pumbavu we shoga nenda kanyampeJinga la kujidai ni chadema tyr limeshapost taarifa ya cdm humu
Tafuta mume uolewe utulie