Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi huo uko Wapi Dogo? Mkishiba mataputapu mnajamba hovyo, mbona hatuuoni huo uchumi ukiimarika?Wanaukumbi,
Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.
Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.
Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.
CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.
Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.
Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Eti chongoloCCM nao wanashikiwa akili na nani boss?
Masirahi ya CCM sio National security,,,afu Kama Chadema wameshikwa na Lissu, inakuuma nini [emoji1]Wanaukumbi,
Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.
Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.
Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.
CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.
Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.
Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Unachokitetea au kikipigania hapa ni nni hasa. Au mwenzetu unayemsupport Chui Jike unakula kwa urefu wa kamba yako ndiyo maana kusupport Chadema ni kupoteza muda kwa vile wanaokula ni wao tu Team Space....!!?Wanaukumbi,
Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.
Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.
Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.
CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.
Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.
Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Si dhani kama uko sahihi!Wanaukumbi,
Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.
Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.
Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.
CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.
Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.
Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Ni wewe tu na uelewa wako.Kama ambavyo bunge limeshikiwa akili na Samia? amewaaminisha Spika ni mteule wa rais
Kwa nini?Chadema bila uongozi wa akina Mbowe, Prof.Safari, Mdee, Bulaya naona ni kama FUSO iliyovunja Deef
Bado muhimili wa mahakama kuweka jinsia Kama yako. Maana miwili tayariWewe ulitakaje kwa mfano Spika awe Lema yaani wewe upo Chadema unataka kuwapangia cha kufanya chama kingine akili za Bavicha wanazijua wenyewe.
Sasa mbona wewe unawapangia CDM Cha kufanya?Ya CDM waachie wenyewe!Wewe ulitakaje kwa mfano Spika awe Lema yaani wewe upo Chadema unataka kuwapangia cha kufanya chama kingine akili za Bavicha wanazijua wenyewe.
😀😀Wewe ulitakaje kwa mfano Spika awe Lema yaani wewe upo Chadema unataka kuwapangia cha kufanya chama kingine akili za Bavicha wanazijua wenyewe.
Sasa wewe uko CCM unapowapangia CHADEMA cha kufanya unakuwa na akili au tope?Wewe ulitakaje kwa mfano Spika awe Lema yaani wewe upo Chadema unataka kuwapangia cha kufanya chama kingine akili za Bavicha wanazijua wenyewe.
Huyo mpuuzi hana la maana.. muacheniCCM nao wanashikiwa akili na nani boss?
Ana wivu wa kikeHoja yako ni nini hapa?
Hapa ndo ninapomkumbuka Hayati Magufu, miaka 6 yote ya Magu hili jini lilijificha kimyaaaa. Shenzi!Endeleeni tu kushikiwa akili na Mbowe na Lissu.
Siku hizi mmekuwa walokoleMleta mada imeandikwa kuwa 'heri kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti'
Hii kesi ni ya uzushi sema aliyebariki iende mahakamani aliamua hivyo kwa sababu zake, hata aliposema msamaha uombwe ili aachiwe anaombwa msamaha kwa kosa gani? Kesi ya mchongo halafu aombwe msamaha? Ni udhalilishaji huo!
Ila maandiko yanasema kuwa;
Kuna vitu sita anavyochukia Mungu;
Macho ya kiburi, ulimi wa uongo na mikono imwagayo damu isiyo na hatia.
Moyo uwazao matendo mabaya, miguu iliyo mepesi kukimbilia maovu.
Shahidi wa uongo asemae uongo.
Nae apandae mbegu za fitna kati ya watu.
ccm! ccm! ccm! ccm! kumbukeni kuna kiama