CHADEMA sasa hivi wanashikiwa akili na Lissu, Lema na Wanaharakati

CHADEMA sasa hivi wanashikiwa akili na Lissu, Lema na Wanaharakati

Wanaukumbi,

Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.

Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.

Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.

CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.

Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Mkuu katika mada yako una maanisha "maslahi ya taifa" ama " maslahi ya CCM" na pia unazungumzia "national security" ama "CCM security"?
 
Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.
Kipindi cha JPM mliomba muda wa kufanya jambo hilo hilo - je mliwahi kukiri kuwa hakulifanya?
Ameingia huyu mnaomba muda wa kufanya yale yale - Kuna nini? Hayafanyiki? au wewe unatudanganya?; na kama hutudanganyi basi kiri kuwa JPM hakuweka uchumi na nchi kwenye mstari!
 
Wanaukumbi,

Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.

Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.

Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.

CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.

Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Siyo Mbowe tena.
 
Na wewe ulitaka vijana wa CHADEMA washikiwe ajili na nani?
 
Watanzania wanataka Maendeleo sio siasa na Porojo. Watanzania wanataka Uhuru, Haki na Usawa. Watanzania wanataka amani na utulivu wa nchi ili waweze kupambana kubadilisha maisha yao. Siasa zijikite kutatua kero za wananchi sio kujenga mipasuko na kugawa wananchi huko Space
 
Wanaukumbi,

Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.

Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.

Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.

CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.

Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Ujue na mama yako Ni Chadema mwenzetu. Uliyotukana yanamhusu hata mama yako
 
CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control
Acha kuongopa sheikh..... katiba na sabotage wapi na wapi?..

.. Muogope Allah sheikh, acha kutetea uhuni na uonevu.
 
Si dhani kama uko sahihi!
Binafsi nafahamu mbowe yuko korokoroni kwa kuwa na tuhuma za ugaidi.
Wewe hayo ya katiba umeyatoa wapi!
Labda kama unataka kufungua mashtaka mapya, tueleze
Haongelei mbowe[emoji851][emoji851],
Cdm kuna shida, ndo maana viongozi makini kama mnyika wametulia tulii
 
Hiyo ni mbaya sana kwa vile Tissu, lema na wanaharakati ni maadui zao CCM.
Wanaukumbi,

Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.

Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.

Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.

CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.

Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
 
Wanaukumbi,

Tatizo kubwa la vijana wa Chadema na wafuasi wao karibia wote sasa hivi wanameshikiwa akili na Lissu, Lema na wanaharakati huko Team Space kila siku mnajikuaanya na kulishwa pumba mnameza tu.

Hakuna taifa duniani ukigusa mambo yanayohatarisha ‘National Security’ serikali ikakuchekea. HAKUNA. Maslahi ya Taifa ni makubwa zaidi ya mtu au chama.

Kipindi Rais Samia ameingia madarakani tulisihi tumpe MUDA aweze kuweka uchumi na nchi katika mstari.

CHADEMA wakajazwa upepo na ‘Team Space’ kuanzisha vuguvugu la Katiba Mpya.

Kosa ni kujaribu ku-Sabotage Rais Samia ashindwe ku-control na kuendesha nchi.
Tuliwaonya mkakaidi.

Endeleeni tu kujazwa upepo na “Team Space wenzenu wanapiga pesa wakati nyie mnabatizwa kwa moto cha kushangaza anachoongea Lema na Lissu marufuku kupinga.
Inaonekana umefufuka kutoka wafu walio kufa wakiwa mashetani
 
Back
Top Bottom