Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Karibu sanaGoing for GOLD MEMBERSHIP!
👊 😎✌️💥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaGoing for GOLD MEMBERSHIP!
👊 😎✌️💥
Nafasi za uongozi ndani ya Chadema ni sawa na mateso , hazina malipo unayoyadhani , ni za kujitolea hata uhaiUkianza kuleta tofauti za kipesa ndani ya Chama tarajia kuibuka Kwa tofauti za mitazamo na misimamo na hatimaye Chama kuyumba.
Maana aliyelipia Kadi ya Laki mbili akigombea nafasi kwenye chama dhidi ya waliolipa 2500 usishangae kwenye Kampeni akajinadi kuwa yeye amekichangia Chama pesa kubwa zaidi hivyo anastahili zaidi kupewa nafasi kuliko hao wenzake.
Huyo mwendazake mwenyewe yuko wapi leo ?Kazi ipo. Tena ngumu. Tangu Mwendazake jiwe alivyokuwa anatubana amefifisha sana ile morali vijana waliyokuwa nayo huku field.
Inabidi viongozi wa chama warudi tena kwa wananchi. Hii mambo ya press na matamko hatutaki tena. Waje field kabisa.
Sawa... kwa wanajiweza 2500 swafi1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka
2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu
View attachment 1800416
Kuwa mwelewa basi, wapi kasema hizo ni pesa za uchaguzi? Matanga mpaka keroSasa kadi za Nini wakati 2025 Mwamba kasema Chama chetu pendwa hakitashiriki uchaguzi????
Baada ya jiwe kuondoka naona vichaka vinafufukaSijawahi kukiona hiki chama kikiwa na nia ya dhati kuwatoa watanzania katika umasikini zaidi ya ujanja ujanja tu na umangi meza. kaifieni mbali huko.
Una matatizo wew, ebu pumzisha ubongo wako kidogoHapa mchaga amewaza Sana namna ya kuwapiga ambao baba zao walikuwa wakicheza ngoma na kuchunga ng'ombe,muda huo mchaga akisomesha baba zao na wao wamesomesha watoto.
Unachezea mchaga Hana urafiki na mtu ni pesa tu.
Uchagani ambaye Hana hela huwa hathaminiwi na wanahama kabisa kwao.marafiki zao ni vyasaka na vishoia.
Ni urafiki wa maslahi tu. Mtaji wa makamanda changia jero hapa tunamtoa fisadi.
Inakuwaje daraja la mtu mwingine kwenye maisha yake.
Mwanasiasa Ana machungu na maisha yake na sio ya kwako pumbafu wewe jielewe.
Umeshawahi muona anajitolea Ile 12M nusu yake ajitoe iwe inajenga shule na zahanati huko kijijini kwao.
Anabaki kwenda kula Bata Dubai London yaani aache kwenda kufanyiwa body to body massage na watoto wa Latin America na wa kiarabu.
Yaani binadamu Ana ubongo wa Aina tatu ,
Moja inashughulika na kutafuta pleasure ama raha kwa gharama zozote,
Nyingine inamsaidia na kujikinga yeye Kama ule ambao Simba akitokea anajilinda yeye so hakuna uwongo.
Mwingine inamsaidia Ile kutaka kujionuesha kuwa Ana thamani kuliko mwingine.
Ndo Mana anataka aendeshe Mercedes Benz,BMW onekane ama thamani kuliko anayeendesha toyota.
Huyu huyu heche Kuna jamaa alimfia huko kwao nyanungu akaahidi kuwa atamjengea mke wake ,likamanda likapeleka mchanga na tofali alivyozama bungeni akasahau kabisa.
Mfano Ile kata ya nyamwaga alishapeleka dumu la kunawia mikono wakati wa korona kingine zaidi ya wao kusomesha wtt huko uingereza.
Mwanasiasa ni sawa na mchungaji yaani yeye akitaka gari,nyumba,n.k mpaka Ada za wanawe anachangiwa na waumini Sasa wewe muumini nenda una shida na hivyo vitu nakuambia utapigwa maombi basi utaaishiwa kupewa ushauri nasaha kuwa na Imani utapokea.
Ila jamani ukiisoma psychology Kuna watu wana manipulate binadamu wenzao kwa faida zao.
Kiukweli nimejifunza psychology mwenyewe ivi ivi kwa mitandao Ila ni eneo kubwa Sana ambalo nitamfundisha mwanangu akiwa mdogo Sanaa
Kama emotions Zina nguvu Sana mtu anaua amefumania ndipo akili inaanza kuwaza.
Yaani jamani plz jielewe,mie Kuna muda nakuwa kanisani anatokea mtt Ana shida ama mtu yeyote ,yaani sijawahi kuona wanadai kuwa hii sadaka ya Leo ngoja tumsaidie huyu. Tatizo lake linaletwa kwa waumini Tena watu wanakamuliwa Kama kawaida.
Kama padri anaoa mke anakuwa pengine.
Na kumamaammaae wale watawa wa kiroma wanaishi maisha ya Bata sana.private transport.
Yaani nagombana Sana na Maza yangu wameshamteka mpaka hawezi kosa kutoenda kanisani.
Mpaka hela smt simpi namwambia chukua vitu nitalipa ama namtumia tu vitu.
Yaani anajitoa kwa Hawa watu,namwambia wao wanakula vizuri,wanalala pazuri,usafiri mzuri,mavazi mazuri Ila Sasa wewe bado tu unawapelekea.
Wao sijawahi ona wanajitoa kwa mtu hasahasa wanakusanyaga yatima inakuwa Tena ni mtaji wao. Yaani wanawachangisha na wazungu wakija ama wanatumiwa picha wanatuma hela.
Faith is also greatest emotions the same to fear,greed and ego.
Yaani faith mpaka mtu anajitoa kuifia dini,
Mungu Hana njaa jamani madini na pesa zote ni zake Sasa wewe kwanza una kidogo Sana Ila unadanganywa waziwazi Tena utoe umpatie eti ndipo atakurudishia vingi zaidi so ni Kama una trade nayeye.
Ila kiukweli Muumbaji yupo na tumuogope sema watu wengine wanamtumia vibaya kwa ajili ya manufaa yao wenyewe,
Yaaani unatishiwa na maandiko kibao mwishowe kuwa ujiandalie makao ya milele.
Mapovu ni ruksa Ila hatotuweza kufanana mitizamo
Huu mchezo hauitaji hasira, wacha dawa ikuingieMjinga kama wewe unaharisha hapa ikiwa hata pakulala huna huko ugambani hakuna anaekujua asee ccm imewafanya misukule yakudumu
Acha kujimwambafai wewe unadhani unaweza kutoa mchango wa chama kumzidi Rostam Aziz?Chama Cha kibaguzi sana hiki
Hayo madaraja ya Nini kama wote ni binadamu??
Huku CCM wote tunalipa ada moja, uwe Rais au Mkulima ada ni Moja.
Haya Watanzania nendeni Chadema mkabaguliwe.
Hio ni hiyari na si lazima mwanachama alipe hio hela, hata hivyo wanachama bado wana chaguo binafsi.Haiwezekani wa 2500 akawa sawa na 200000 haitakaa itokee! Msajili anapaswa kuliingilia hili.
Ni ubaguzi wa kipato
mnataka kuanza kula pesa za wananchi... mlizopora kwa wabunge wenu hazitoshi tu1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka
2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu
View attachment 1800416
chama cha ukombozi wa familia yako......Safi sn chadema...... Hiki ndio chama cha ukombozi wa Tanzania...... Huu ukoo qa panya walishashindwa kuomgoza nchi sasa wanajichotea tu pesa na kuvunja katiba na sheria za nchi mbwa hawa
wapiga dili sasa mtaani kidigitali..........................1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka
2. Kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka
3. Kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka
4. Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka
5. Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka
Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo CHADEMA ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.
MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .
Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu
View attachment 1800416
Kajifunze Kwanza tofauti Kati ya ada ya uanachama na michango ya hiari ya wanachama.Acha kujimwambafai wewe unadhani unaweza kutoa mchango wa chama kumzidi Rostam Aziz?
Sio hivyo tu,kutakua na matabaka ya kuheshimiana kwamba yule mwanachama mwenye kadi inayolipiwa fedha nyingi heshima take itakuwa kubwa zaidi ya yule mwenye kutoa pesa kidogoHiyo dhahabu ni material yake halisi au rangi ya dhahabu?
Binafsi siafiki utaratibu huu.
Itafikia wakati kwenye kugombea nafasi ndani ya chama watu watapeana kipaumbele kisa ada ya uanachama.
Hata kadi za uanachama ni hiari wewe tu na uwezo wako ukitaka ya 2500 ipo ukitaka ya laki 2 pia ipo.Kajifunze Kwanza tofauti Kati ya ada ya uanachama na michango ya hiari ya wanachama.