tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Nimekuwekea a reliable source ya gazeti la the citizen la tarehe 30 June 2020.
South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Umetaka kujua aliepewa tender ukapewa...ukabadili hoja unataka reliable source...ukapewa reliable source, now umebadili hoja unazungumzia habari nyingine tofauti ambayo haikuwemo ktk hoja zako zote za mwanzo...will you run out of excuses kweli?...sarakasi nyingi...nway lets call it a day Mkuu...Hivi unadhani unaongea na mtu mwenye uelewa finyu wa mambo? Nina uzoefu na mambo ya nchi hii. Mtu kupewa tender ni jambo moja, utekelezaji wa tender ni jambo jingine. Nina mifano lukuki wa mambo hayo, ukitaka naweza kukupa mifano halisi.
Unatakiwa usome comments za watu kwanza kwa muda Wa miezi sita bila kichangia chochote upate uzoefu,umejiunga juzi tu unataka kumpiku bia yetu.ashindwe marangapi huyu
Free and Fair election full stop ...habari ya vibaraka au hapakazi tuu its due raia aamumwe .Nyie wajinga kweli kweli, hivi nani atawapigia kura watu wenyewe ni vibaraka?? Mtakuwa mlikuwa mmejiandaa kijinga na makaratasi ya kuibia kura imekula kwenu wapumbavu kabisa. Ngoja uchaguzi uishe muone mtakavyopata tabu vibaraka wa mabeberu, lazima muhame nchi, maana hatutaki wasaliti ktk nchi yetu, lazima tuwakomeshe wajinga kabisa
Mmefumaniwa bila nguo kudadeki zenu ! wanafiki wakubwa nyie ! , safari hii mnang'oka bila huruma .Mnyika ameshindwa kila kitu mapema sana
Hivieeee kama nawaona mtakavyokua manakimbizana kuendesha kuanzia tarehe 28. Andaeni ticket kurudi kwa bwana wenu Amstadam kabla ya aibu ya mwaka😁😁😁😁😁Umeharisha
Siyo kila mtu ni hater, wengine tupo neutral, tunaona upande wa uonevu na upande wa waovu.Hivieeee kama nawaona mtakavyokua manakimbizana kuendesha kuanzia tarehe 28. Andaeni ticket kurudi kwa bwana wenu Amstadam kabla ya aibu ya mwaka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.Chama cha wasiwasi, kinaongozwa na wenye wasiwasi, kila siku wanaamka na wasiwasi na kuongea kwao ni wasiwasi na kila wanachokifanya wana wasiwasi nacho, sisi wananchi hatukutaki watatuletee wasiwasi.
Sio Kila kitu lazima uelewe jombaasiasa imewashinda sasa wanageukia zabuni
Umetaka kujua aliepewa tender ukapewa...ukabadili hoja unataka reliable source...ukapewa reliable source, now umebadili hoja unazungumzia habari nyingine tofauti ambayo haikuwemo ktk hoja zako zote za mwanzo...will you run out of excuses kweli?...sarakasi nyingi...nway lets call it a day Mkuu...
Wasiwasi na mashaka ni ndugu zenu, mkiamuka mnatuma ujumbe wa kuonyesha mnavyoishi kwa wasiwasi, Vijana nawashauri kujitenga na vyama vya aina hii, vinginevyo leo yenu ni wasiwasi, kesho yenu ni wasiwasi na uzee wenu utakuwa wasiwasi.Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.
TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashiru na polepole wanategemea police.Mnyika ameshindwa kila kitu mapema sana
Sema sisi MATAGA, wananchi siyo wapumbavu kama weweChama cha wasiwasi, kinaongozwa na wenye wasiwasi, kila siku wanaamka na wasiwasi na kuongea kwao ni wasiwasi na kila wanachokifanya wana wasiwasi nacho, sisi wananchi hatukutaki watatuletee wasiwasi.
Hakuna la maana uliloandika ata CCM ikiondoka utakula tu.Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
CCM bila mbeleko hamna kitu na mnafrahia kabisaCHADEMA waache uwoga wasuburi October tuwachape, waliyataka wenyewe kumsimamisha msaliti wa Nchi