CHADEMA tulishapoteza mvuto na nguvu Mwanza na Kanda ya Ziwa. Kuzindua mikutano Kanda ya Mwanza haisaidii

CHADEMA tulishapoteza mvuto na nguvu Mwanza na Kanda ya Ziwa. Kuzindua mikutano Kanda ya Mwanza haisaidii

Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Mwakipande alishafariki, unaonaje mkuu ukaenda kumrithi?wewe sio msemaji wa CDM, wewe sio msemaji wa watanzania wanaounga mkono Sera za CDM,huu usemaji umeutoa wapi?,kweli nchi ujinga bado umetamalaki hasa kwa wajinga kama wewe
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Wewe siyo mshauri wa CDM, pambansa na hali yako kivingine.
 
Back
Top Bottom