CHADEMA tulishapoteza mvuto na nguvu Mwanza na Kanda ya Ziwa. Kuzindua mikutano Kanda ya Mwanza haisaidii

CHADEMA tulishapoteza mvuto na nguvu Mwanza na Kanda ya Ziwa. Kuzindua mikutano Kanda ya Mwanza haisaidii

Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.

Sasa si ndio maana wameenda huko walipopoteza mvuto kuanzia huko, ili kufufua chama.
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.

Kwenye vikao vyenu vya CCM ndio mlichojadili hicho?
 
Kama Magoo-fool alijaribu kuiua Chadema lkn,akafa yeye vivyo hivyo wewe na vilaza wenzio mtakufa na kuiacha Chadema!
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Huu mwaka mpaka 2025 ,ni muhim ongeza majengo Milembe, wagonjwa wa akili watakua wengi
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Huu upuuzi wako washirikishe wanaccm wenzako
 
Acha ujinga na ujiheshimu.

Ni kweli, hakuna kitu kinawaudhi wañaccm kama wakiambiwa ukweli. Haya matamanio yenu CCM yako wazi. Hakikisheni tu vyombo vya dola vinaendelea kuwabeba, maana nyie sio chama cha kizazi hiki.
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Chawa wa mama unahangaika sana
 
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.

Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.

Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Hujawahi kuandika kitu cha maana. Wewe ni wa kupuuzwa wakati wote.

Wenye akili timamu wanafanya analysis baada ya huo mkutano.
 
Tunasemea mwanza ya Mwanza
Umeandika upyyzi. Muda huu nipo Mwanza. Watu wengi wanaongelea huo mkutano.

Lakini kwa sababu huwa huandiki chochote cha maana, hata hili andiko ni miongoni mwa threads zile zilizokosa contents
 
Back
Top Bottom