Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #61
Acha upuuzi. Maisha gani?Usikatae chama kimekupa maisha halafu hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi. Maisha gani?Usikatae chama kimekupa maisha halafu hicho.
Waache waje wawasaidie CCM kusomba watu kutoka maeneo tofauti.Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Ungejikita kuisemea CCM yako badala ya kutaka kuongelea mabaya ya Chadema ambayo huijuiSasa mbona umecomment kama mimi ni wa kupuuzwa?
Acha upuuzi. Maisha gani?
Umepoteza mvuto wewe peke yako na uccm wakoNguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Wewe kicheche ni halafu siyo alafu,hii elimu ya memkwa bure kabisaKajifunze kuandika kwanza. Alafu ujifunze kusoma baadae.
good days are goneUmepoteza mvuto wewe peke yako na uccm wako
wanasumbuka tu huko, hawakuwa na akili kumtukana marehemu akiwa amekufa na kuzikwaNguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
CcM ipo hoi.Huko kwenu CCM watu hawataki kugombea nafasi mbalimbali baada ya chama kuleta maisha magumu kwa wananchi wa Tanzania🐒🐒🐒
View attachment 2483364
Modes tafadhali heading isomeke.. CDM washapoteza mvuto na sio CDM tushapoteza mvuto! Modes kwann mnaendekeza wanafiki kama huyu mamluki toka Lumumba?Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Labda sio hii niliyopo mie, maana tumejipanga kuvunja rekodiTunasemea mwanza ya Mwanza
Kamanda wa mchongo kojoa rudi ukalale!Hapa ndipo makamanda huwa tunafeli
Kwani nyie CCM mna ushawishi gani mwanza?Je, Mwanza sisi bado tuna ushawishi?