Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
The truth is the truth
Tunasemea mwanza ya Mwanza
Mtu akisema kweli mnabakia kudai ni MccM
Je, Mwanza sisi bado tuna ushawishi?
Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Hahaaa. Hatari sana. Wanakupakua kwa ratiba au?Ndio
Huu mwaka mpaka 2025 ,ni muhim ongeza majengo Milembe, wagonjwa wa akili watakua wengiNguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Kwa ratibaHahaaa. Hatari sana. Wanakupakua kwa ratiba au?
Acha ujinga na ujiheshimu.Kwenye vikao vyenu vya CCM ndio mlichojadili hicho?
Hongera sanaKwa ratiba
Huu upuuzi wako washirikishe wanaccm wenzakoNguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Huyu mjinga akinyimwa posho siku moja anakua na akili timamu ila akipokea bk7 yake anapuyanga sana.Tulia kidogo,ukila CDM,ukinawa CDM,ukilala CDM,ukiamka CDM pumzika kidogo Bwana mdogo.
Acha ujinga na ujiheshimu.
Asante, barikiwa.Hongera sana
Chawa wa mama unahangaika sanaNguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Hujawahi kuandika kitu cha maana. Wewe ni wa kupuuzwa wakati wote.Nguvu tuliyokuwa tumewekeza kanda ya ziwa hasa maeneo ya Mwanza, Tarime, Geita na Chato ilishamalizika.
Tulioshaonekana ni wasaliti na waganga njaa. Hatuwezi kurudisha ushawishi tena.
Kunzisha mikutano ya hadhara tar 21 tukianzia Mwanza sio suruhu.
Sasa mbona umecomment kama mimi ni wa kupuuzwa?Hujawahi kuandika kitu cha maana. Wewe ni wa kupuuzwa wakati wote.
Wenye akili timamu wanafanya analysis baada ya huo mkutano.
Umeandika upyyzi. Muda huu nipo Mwanza. Watu wengi wanaongelea huo mkutano.Tunasemea mwanza ya Mwanza