Unafikiri yupi anaepoteza zaidi..?
..inategemea umesimamia wapj kwa hoja zipi.
..kwa mfano,.polisi walioamrishwa kumdhulumu Lijualikali wana mtizamo gani kuhusu viongozi waliowageuka na kumteua Lijualikali kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya?