Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Konyagi zimepanda kichwani
Ni kweli kabisa mama samia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konyagi zimepanda kichwani
Mbowe ameshindwa kujibu hoja leo
Mbowe ni Mtanzania...siyo kibaraka wa mabeberu Kama Lissu...anatanguliza Tanzania Kwanza...Lissu anamtanguliza Amsterdam na mabeberu wengine...Logic ya Mbowe hapa ni kwamba yeye anaangalia ruzuku. Anajua akifanya ununda mgombea anafutwa mazima halafu ruzuku itakuwa ndiyo imepotea.
Lkn kumbe alipaswa kugangamala ili kama mbwayi na iwe mbwayi tu. Na hii ndiyo ingelonesha sura halisi ya ccm ya Magufuli.
Madiwani na wabunge wamefyekwa amufyata. Wagombea wanapigwa ban kupiga kampeni anaufyata, sasa mpk mgombea urais anapigwa ban bado anaufyata. Kuna nn tena hapo?
Chadema utaibiwa halafu Mbowe atawekwa sawa,kisha atakuja na nyimbo zile zile.
Hivi haoni misimamo ya mwenzake Maalim Seif???
Hoja gani kashindwa kuijibuMbowe ameshindwa kujibu hoja leo
Kwa mlivyo vilaza hamuwezi waelewa chadema wamewashikia wapiMbowe ni Mtanzania...siyo kibaraka wa mabeberu Kama Lissu...anatanguliza Tanzania Kwanza...Lissu anamtanguliza Amsterdam na mabeberu wengine...
Juzi makamanda wenzangu tulisifia msimamo wa lissu wa kuendelea na kampeni, leo sijui tutaambia nini watuWameufyata fyaa
..sasa hayo ni mapungufu binafsi ya mbowe kama mwanadamu.
..pia inaweza kuwa ni mtizamo wako binafsi ukiwa biased ni misimamo yako.
..lakini UKWELI uko palepale kwamba ccm inatumia vibaya tume, polisi, na mahakama.
Sasa kama kila ujinga uanofanywa kwa chadema unakubaliwa Kuna matumaini ya kushika dola? Au lengo siyo kuitoa ccm, bali ni kupata ruzuku?lakini UKWELI uko palepale kwamba ccm inatumia vibaya tume, polisi, na mahakama.
Achana nao hawa!! Wanadhani wamewaweza Chadema kumbe chadema ndo wanazidi kuwaingiza kingiWanapunguza moto kwa uoga wao wa kijinga. Lissu ni mtu sahihi, makini na anajua jinsi gani ya kudili na jamii ya wakandamizaji. Malcom X anasema huwezi kudili kwa kutumia hekima kwa jamii ambayo hekima mliitumia tangu kale juu ya mwenendo wao wa ukandamizaji lakini hawajaielewa na hawataki kuielewa. Njia pekee ya kudili na wakandamizaji ni kutumia njia ileile kama wanayotumia wao ikiwa unaamini unapigania haki.
Tume kumsimamisha Lissu ni ubatili wa mchana kweupe! Hakuna misingi au taratibu yoyote aliyoivunja kisheria. Udhaifu waliyouonyesha leo Chadema ni mkubwa sana. Unafikiri kwa ule moto Lissu aliyokuwa anadili na askari kwa sasa askari watamuona mlaini tu hawatomuhofia.
Je, kauli ya Lissu kuhusu maDED kuitwa ikulu ina ukweli? Hilo ndio swali la kuanzia.Hoja gani kashindwa kuijibu
Watanzania umekutana nao wapi wakakwambia wataichagua ccm?Mzee wa Faru John kaamua kutoka mafichoni, Tunajua mmejipanga kutaka kuleta stori zenu za kulialia, wakati sheria mmevunja wenyewe, tulieni kama mnanyolewa sheria ishafanya kazi yake, nyie ndo mnaanza kutetemeka kama mbuzi wa kafara, hahaha.
Watanzania tutaichagua CCM, na Tutamchagua Magufuli
Umekuja kuokoa jahazi lililozama mwambie Mnama Rirtz na kibibi wajitokeze huko mafichoni waliko fukiwa na mekoMbowe ameshindwa kujibu hoja leo
Watu wana ushahidi wa yote yanayoendelea jombaa. Teknolojia ni kubwa sana duniani saiviJe, kauli ya Lissu kuhusu maDED kuitwa ikulu ina ukweli? Hilo ndio swali la kuanzia.
Lissu ajiandae kuanzisha chama chake. Mwenyekiti ashasema, wengine lazima mtii bila shurti.Lisu amemtega Mbowe. Ni ama aheshikike ama adhauraulike. Maamuzi ya mgombea tunayajua, maamuzi ya kamati yakiwa kinyume na yale ya mgombea Mbowe utapwaya sana
tena kwa miguu yote na kichwa ...sasa ni KUWAFUKIA TU huko shimoni MKUU
Na wewe unatanguliza mabeberu na siyo Tanzania...Kwa mlivyo vilaza hamuwezi waelewa chadema wamewashikia wapi
kitendo cha kumzuia Lissu kufanya kampeni ni ushahidi tosha kwa wenye dunia wanaopanga yao mwaka huu dhidi yenu
Soma vizuri hapa👇View attachment 1589937