Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Ni kweli mkuu Mbowe seems anapenda kuwatumia watu wenye ushawishi ili apate kura za ruzuku Ila Hana nia ya kuitoa ccm madarakani,Sasa huu mchezo wake ni mwisho awamu hii next time aachie uenyekuti kwani hawezi kusaidia chama akiwa mjumbe wa kamati kuu? Ccm haiwezi kuachia madaraka bila shinikizo na kipindi hiki kilikuwa kizuri maana tuna mgombea mwenye buck up ya jamii ya kimataifa na mataifa makubwa ambayo ni muhimu Sana kutoa shinikizo kwenye hivi vyama dola kwa njia ya vikwazo nk Sasa huku ni kupoteza fursa,Mbowe kaniudhi Sana.
 
Uzuri wa Lissu alishajua CHADEMA watakuja na busara kama hizi akatoa msimamo wake mapema.
 
Yote uliyoyasema naunga mkono hoja tena kwa 100%,kipindi chake cha uenyekiti kikiisha waingize damu changa yeye abaki kama mshauri maana naona mbinu za kupambana na CCM yeye ameshaishiwa.

Halafu hii sio mara ya kwanza kuzingua,ile siku wamewafukuza TBC pale uwanjani ilikua poa sana kuonyesha jinsi gani hawatendewi haki lkn cha ajabu baada ya siku chache namuona Mbowe Tbc anaonyeshwa akishikana mkono na Ryoba(mkugenzi wa Tbc) huku akisema oooh tumeyamaliza sijui sisi ni watu wa amani blah blah kibao.

Nikaona huyu jamaa ana matatizo,sasa najiuliza baada ya kujifanya anaelewana na Tbc then Chadema imefaidika na nini?Maana Airtime kule tbc hawapewi kama kawa na ikitokea wamepewa airtime ni negative news tu za Chadema ndio zitatangazwa.

Lissu raia walikua wameshamuelewa vzr sana,ila sasa hizi busara za Mbowe ndio zimeshaharibu mchezo mzima.
 
Lugha za kipuuzi na kijinga Kama hizi ndizo ccm inapenda kuwaamijisha watu wajinga,this time cdm kupitia Lissu imepata uungwaji mkono muhimu Sana kutoka jumuia ya kimataifa ambao Magufuli personally Hana Ila anatembelea nyota ya nchi tuu.
Nasisitiza ni muhimu Sana kupata uungwaji mkono kutoka kwa mataifa makubwa ili kuyatoa haya majizi chama dola maana vikwazo ndio huwa vinawaweza kwa sababu huwezi tegemea wananchi waoga kuleta shinikizo kwa watawala,Lisu ndio kaingia mikataba ya kinyonyaji nchi hii? yaani wewe ni mbwa unadhani wote wajinga.Lisu komalia hapo hapo .Bila kupata watu dizaini ya Lisu mi ccm itaendelea kuleta ujinga wao kila siku.Mkinusurika this time around mwisho wenu itakuwa 2025 na tutaenda tena na TL na tutamuongeza Heche au Matiko au Buraya kwenye mgombea mwenza ,watu wenye misimamo laini dizaini ya Mbowe hawawezi kutuvusha kuiondoa ccm.
 
Meaning atatumika kunadi wagombea ubunge na udiwani.
 


Hivi takataka kama wewe ni wa kumtukana Lowasa kweli? Unaujua mchango wa Lowasa chadema? Hapo ulipo siajabu hata kadi ya uanachama wa chadema hauna halafu unamtusi na kumtukana mtu aliyeleta Wabunge na Madiwani na karibia kuchukuwa jiji lote la Dar na hata kutoa Meya wa Upinzani, kuipa chadema kura > milioni 6 na kuifanya chadema ipate ruzuku kubwa zaidi leo hii unamtusi? Huyo tundu wako mwenyewe bado anatembelea nyota ya Lowasa chadema kama bado haujui, wanachama wengi na wafuasi walioko chadema ni wale walioletwa na Lowasa, leo hi unamkejeli na kumtusi?

Low IQ !
 
Mpaka campaign Zinaisha washabiki wa Lisu wote watakuwa wagonjwa
 

Really
 
Acha kukurupuka pumbavu wewe,Kama ana mchango mchukue asimame leo ili alete wabunge 100.
Wewe ndio huna akili ya kuangalia muktadha na mazingira ya uchaguzi kwa nyakati zote mbili sasa na 2015.Kwa taarifa yako 2015 watu walichagua chama kuliko mtu,huyo Lowasa wako aliongesea tu na kutembelea nyota ya mabadiliko/chama.Na mwaka huu tunachagua mtu na sio chama sasa mngeweka magarasa dizaini ya Nyalandu afu ungeona.Status yangu siwezi kukuambia wewe mburula.Hapa kinachoendelea ni biashara ya ruzuku na si kutafuta dola,technical fault ya kwanza mumefanyaa tunasubili ya pili ,majibu mtayapata vizuri hiyo 2025 labda mcheze vizuri mda huu uliosalia
 


Acha ujinga wewe, chadema hauijui kama unavyojinasibu, huyo tundu mwenyewe unayejipendekenza kwake ana full respect kwa E.Lowasa na ndiye hata aliyechangia kumleta chadema na kumtetea na mpaka leo hii hajawahi (tundu) kumsimanga wala kumsema vibaya E.lowasa unajua kwa nini? Wewe ni nani ambaye hata hauna inside infos zozote za chadema na hata kadi ya uanachama siajabu hauna na wala mchango wowote wa kifedha haujawahi kutoa uanze kumtusi Lowasa? Lowasa amejiondoa chadema ameshapumzika Mbowe, tundu na chadema wote wamekubali na wanamuheshimu na kuheshimu mchango wake wewe ni nani umtusi na kusema hajafanya chochote chadema? Unajua Wabunge na Madiwani wengi walishinda kwa sababu ya kuwa team Lowasa? Unafikiri chadema ingetoa Meya Dar na kuchukuwa Halmashauri nyingine nyingi bila mchago wa E.lowasa na team yake?
 
Lissu hana busara. Hakutakiwa kutangaza msimamo wowote hadharani.
Acha upimbi Lisu aliweka msimamo wake binafsi kwamba yeye Yuko radhi kuendelea na kampeni maana utaratibu haujafuatwa na kwa kuwa amedhaminiwa na chama alisema ataheshimu uamzi wa kamati kuu ya chama.
Busara mnayoitaka ccm ni ile inayowanufaisha ndio maana mnashangilia na si vinginevyo ,maana mgombea wenu jufanyiwa services gereji kumezidi na zile push up hatuzioni tena.Kisingizio ni eti bado ni rais ana majukumu mengine maana keshapita πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† as if huyu ndio wa kwanza kugombea akiwa rais
 
Wamewaongezea CCM loophole ya kuiba kura maana wameshajua kumbe huu ni ujasiri wa Lissu unaweza kuzimwa na chama chake.
Na jamaa watafanya mchakachuo wa ukweli maana wameshagundua kumbe Chadema wameshalegea,watapiga kelele siku 2 hapo then imeisha hio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…