kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Acha upimbi ndg, sio kila kitu utumie nguvu hata pasipohitaji nguvu ..unakipi ulichokifanya ndani ya chadema hadi umuite mbowe muoga? Si ajabu unaandika huu Utupolo ukiwa nje ya nchi ..cku Saba sio nyingi kvile mpk zisababishe mgombea aenguliwe kwenye kinyang'anyilo...tunajua mpo mnachochea kuni ili likiharibika au akienguliwa mrudi na gia ya kulaumu kuwa tulishindwa kujizuia kumzuia lissu asifanye kampeni ...mitego mingine inahitaji umakini ..usiwadharau viongozi wetu kwa matakwa yako ya kipumbavu ..Mbona unahamisha magoli? Mambo ya Akwiline yanatoka wapi hapa? Hoja ni kwann chama kiamue kutii adhabu haramu?
Kama kinatii adhabu hii haramu tafsiri yake ni kwamba Mambo yote haramu yatayofanywa na CCM kwenye uchaguzi huu chama kitayatii