Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tokomeza zero, maandamano hayahitaji kibali cha Polisi, ni taarifa tu wanapewa watowe ulinzi.Yaani Chadema kiboko yaani Afisa habari ndie anaomba kibali cha Maandamano
Hiki ni kituko cha karne
Yaani Chadema hata protocol ya bani aandike kuomba kibali hawajui
Viongozi wa juu wa kanda wana mgomo wamegoma kuandika nini?
Hiyo sio barua ya kiofisi hiyo
Jeshi la polisi halihitaji hata kuijibu
Polisi wameshindwa wajibu wao, wameshindwa kutoa ulinzi kwa raia tutaandamana tunaomba watulinde.Tokomeza zero, maandamano hayahitaji kibali cha Polisi, ni taarifa tu wanapewa watowe ulinzi.
Sio kila mtu aweza toa taarifa polisi kuwa chama wakaandamanaTokomeza zero, maandamano hayahitaji kibali cha Polisi, ni taarifa tu wanapewa watowe ulinzi.
Hiyo ni taarifa kwa umma kama press release na siyo barua.
Ccm imewekeza sana kwenye ujinga.
Chief #Pascal Mayalla nakusalimuu sana kama mwaandishi wa habari wa siku nyingi,/Kioo cha jamiiAsante sana, kwa taarifa ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.
This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.
P
Kwani wameomba ruhusa au wameomba ulinzi? Na inaonyesha tayari ulinzi umeanza kuimarishwa. Jana tumeonyeshwa polisi wamezagaa dar!Asante sana, kwa taarifa ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.
This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.
P
Vipi kama wote ni Wendawazimu?yaani polisi,chadema,Wananchi,Viongozi.Kuwaarifu polisi walinde wanaandamanaji Ili wapaze sauti kuwatuhumu polisi hao hao kuwaachia waliotekwa,
Jambo Hilo kulielewa linahitaji uwe na akili za mwendawazimu.
CHADEMA is above next level❤CHADEMA leo ijumaa imewasilisha taarifa ya Maandamano ya Amani tarehe 23 SEPTEMBA, 2024 kama sheria inavyoelekeza.
Yaonyesha njia, ajenda na hitimisho litakuwa wapi. Watimiza masharti ya kuwasilisha taarifa saa 48 kabla ya Maandamano kufanyika.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Wako low level kama hata ku9tisha maandamano wanatuma afisa habari ndie aandike barua polisi kuomba ulinzi wako low level sanaCHADEMA is above next level❤
Wewe bilionea wa kyela hatujawahi kusikia umeandamana au kuwekwa ndani huwa unawakimbia wenzako. Siku ile mbeya nikajua na wewe utakamatwa wewe ni snitch kwa wenzakoNdani ya Taarifa yao wameonyesha Maandamano yao yatakapoanzia na kuishia, pamoja na Njia ambazo Maandamano hayo yatakamopita.
Taarifa yao hii hapa
Mungu Ibariki Chadema.
Wapewe kibari kuandamana usiku mchana watavuruga biashara zetuUmesema ninanukuu
“ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.,,
✍️
Chadema Kwenye barua yao na kwenye vyombo mbali mbali vya habari wamesisitiza kuwa maandamano yao yatakua ya AMANI.
Je, kwanini unahisi watakataliwa ikiwa kuandamana ni haki yao kikatiba?
Je, ni kweli kuwa “utawala,, huu haufuati sheria, kanuni na kwamba hauzingatii katiba inavyo elekeza?
Unajuaje yanayoendelea?Wewe bilionea wa kyela hatujawahi kusikia umeandamana au kuwekwa ndani huwa unawakimbia wenzako. Siku ile mbeya nikajua na wewe utakamatwa wewe ni snitch kwa wenzako
Ha ha ha , wewe ulifaa kuwa waziri wa kazi na vijana maana unajua kudeal na vijana .Mimi tena...,!, nitakosaje maandamano muhimu kama haya?. Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
P
Ofcoz, inawapa wakati mgumu sana polisi....Kuwaarifu polisi walinde wanaandamanaji Ili wapaze sauti kuwatuhumu polisi hao hao kuwaachia waliotekwa,
Jambo Hilo kulielewa linahitaji uwe na akili za mwendawazimu.
Hiyo siyo barua iliyopelekwa Polisi bali taarifa kwa Umma, wewe usiyesoma vizuri ndiye huna hadhi.Barua ya mchongo hiyo polisi chadema inashuka hadhi kwa sababu ya mambo kama haya!
Wewe taahira hiyo ni taarifa kwa umma na siyo barua iliyopelekwa Polisi.Yaani Chadema kiboko yaani Afisa habari ndie anaomba kibali cha Maandamano
Hiki ni kituko cha karne
Yaani Chadema hata protocol ya bani aandike kuomba kibali hawajui
Viongozi wa juu wa kanda wana mgomo wamegoma kuandika nini?
Hiyo sio barua ya kiofisi hiyo
Jeshi la polisi halihitaji hata kuijibu
Wewe hiyo barua iliyokwenda polisi umeiona wapi? Nyie ndiyo mnakunya bila kuchamba na kuvuta suruwali kiunoni na mimavi yako matakoni.Wako low level kama hata ku9tisha maandamano wanatuma afisa habari ndie aandike barua polisi kuomba ulinzi wako low level sana
Uzuri moderators wanafahamu kazi yao wamekuleta kwenye huu uzi angalia ipo huu uzi mwanzoni kabisa wa hii madaWewe hiyo barua iliyokwenda polisi umeiona wapi? Nyie ndiyo mnakunya bila kuchamba na kuvuta suruwali kiunoni na mimavi yako matakoni.
Polisi sio sehemu ya umma ? Ulivyo bwegeWewe taahira hiyo ni taarifa kwa umma na siyo barua iliyopelekwa Polisi.
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."CHADEMA leo ijumaa imewasilisha taarifa ya Maandamano ya Amani tarehe 23 SEPTEMBA, 2024 kama sheria inavyoelekeza.
Yaonyesha njia, ajenda na hitimisho litakuwa wapi. Watimiza masharti ya kuwasilisha taarifa saa 48 kabla ya Maandamano kufanyika.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu