Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Mshike Dola 100 au Dola 50 Hahaha CCM NDIO washindi bila wasiwasiNasisi kama CHADEMA hatutaki tuandikwe na hatutaomba radhi. Lakini wasali na kufunga sana tusishike dola
Hawa form four failure wanaojiita "waandishi wa habari Tanzania"ni uchuro tu...Tanzania hakuna mwandishi wa habari ...kuna wasaka tonge!Hawa TBC na vyombo vingine vya habari uchwara wanachekesha sana, kwani wamekuwa wanarusha habari za CHADEMA? Mwenyewe nilishangaa nilipooana eti TBCCM itarusha mubashara mkutano wa CHADEMA! Actually nilitegemea wafanye mabaya Zaidi! Hapa wana Lumumba A.K.A MATAGA ndo watatoka povu! CHADEMA walifanya vyema sana kufukuzia mbali wanafiki na wazandiki hawa TBCCM!
Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi pwani kuna chombo gani cha habari? Kiki za kijinga hiziTuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah
Say something!
Wasiendelee kuchochea hasira,nibora wakae wafanye tathimini ya wapi,wanapokosea kwani wasipo badilika kwa dhati wataingia kwenye matatizo makubwa zaidi.Tuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah...
Umoja wa Waandishi wa Habari wa Kujitegemea kanda ya Pwani ( UWHP) umetoa tamko la kutoandika habari za Chadema hadi pale chama hicho kitakapoomba radhi kwa kituo cha TBC na kusamehewa.
UWHP umewataka waandishi wa habari wa taasisi za habari kote duniani kuisusia Chadema kwa sababu imewadharau.
Maendeleo hayana vyama!
Tuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah
Say something!
Shangaa na wewe..yanajipendekeza na wakati sis hatuwapendiLini waliandika kwa ukubwa?
Hivi chadema inaitaji magazeti kweli?
Mnajisumbua. Hatutaki musndike habari za chadema, andikeni za ccm tu. Kwa kifupi mkianduka habari za upinzani mtafungiwa.chadema habari zake zinajiandika zenyewe. Hakuna siku mmeandika habari za chadema leo mnawatokea wapi. Sikilizeni BBC leo usiku utawasikia ,nyie mmepita na wakatiTuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah...
Walishafanya na hili tena?Kama mlivyoisusia Voda?
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kama umekosa kazi si ulale tu ndo ujinga gani unatuletea cha kwanza tbc inatakiwa iombe radhi watanzania kwa muda wote toka huyu jamaa kaingia madatakaniTuseme ule ukweli tuu, kitendo cha Mbowe kuwafukuza TBC hakikuwa cha ustaarabu hata. Jamaa walikuwa wanafuata taratibu zao tuu kama kawaida, daily wanalia uhuru wa habari afu wao ndo hivi daaah
Say something!