Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Wananchi nao wapewapa kura za kutosha wapinzani lakini NEC ndio hivyo tena. Sijui viongozi wafanyeje sasa.
Viongozi wanapambana lakini wameachiwa wachache pia wananchi wanaona Kama sawa tu hawaoni umuhimu wa Upinzani ngoja turudi kwenye mfumo wa chama kimoja labda wanyonge akili zitatukaa sawa
 
Kabisa yani watajua kuwa hawajui yani🀣
 
Ccm na mapunguani wao wamefanya figisu kuminya haki.
Yana mwisho
 
Tusikate tamaa ...mobutu,na madikteta wote unaowajua wako wapi now?wako kwa MUUMBA ,BAADA YA KUPATA AIBU KUBWA HAPA DUNIANI...MUNGU NAAMINI ATATENDA KWA SIKU NA MWAKA ANAOUTAKA YEYE....ILA HAUPO MBALI,INAWEZEKANA NI MWAKA HUU AU HATA MWAKANI...HII NCHI YETU SOTE...
 
Its True, ni kweli kauli huumba, na yote usemayo kunihusu mimi na hali yangu ni kweli, ila japo ni kweli kauli huumba, kauli nyingine ni za binadamu tuu, Mungu yupo.
P
FANYA MAARIFA UBADILI JINA,, UJIITE HATA PASCAL MACCM, PASCAL LUMUMBA, au PASCAL MUSUKUMA,, ikijiita MAYALLA utaendelea kuisha kabisa japo umeshaisha saivi,,ulimdhihaki Magufuli kibabe, yeye akakuita NJAA kauli ikaumba, kila mahala umekataliwa, saivi unampigia magoti na kumlamba miguu angalau akupe chuchote upate kuishi.
 
mm nataka zile kesi ziskilizwe, na ahukumiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…