saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We huoni ht jezi zao, mambo mengine ni wivu tu, kila kundi lina haki zake. Hata hivyo Samia kwa sasa ni sawa na maji, huwezi kuyaepuka kwa namna yoyote ile.Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Tanzania ni nchi huruοΌa souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMTMkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Safi Sana πTanzania ni nchi huruοΌa souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMT
na hatutawaliwi na katiba ya fifaοΌοΌ as long as Kandambili hawajavunja sheria yoyote kuimba wimbo wa kuwa na imani na kiongozi wa chama cha sare yao ya Kijani na ManjanoοΌ timu yenye jezi za rangi za ChademaοΌ nao rukhsa kuimba wana imani na kamanda ila hata kamanda mwenyewe ana imani na Samia Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
p
Mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuandika hivi. Ni chizi pekee mwenye uwezo wa aina hiyo. Sasa ni bayana kabisa kwamba wewe ni chizi.Kila mtanzania mwenye akili Timamu
Ni maswala ya namna hii ndiyo hunifanya nikushangae akili zako huwa zinafanya kazi vipi!Tanzania ni nchi huruοΌa souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMT
na hatutawaliwi na katiba ya fifaοΌ
Kuna mambo yanafurahisha sana....
Wengi tu.Simba SC ni CCM Watupu kuanzia mmiliki MO Dewji hadi Wanachama akina Kigwangalla, Zitto, January, Dr Tulia, Zungu nk
..nk
Huu ulikuwa ni upumbavu wa kiwango cha PhD kwa timu yangu.Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
Ulikuwa View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Yawezekana ukawa uko sahihi lakini fact ni kwamba FIFA na siasa ni paka na chui, sema sisi tumezoea tu kuchukulia vitu rahisi rahisiChadema dah π au nyie ni malalamiko foundation?
Wangeimba wana imani na Mbowe Erythrocyte angeleta uzi umerembwa kwa vifijo na nderemo
WEWE mke wa bashite ni SAA ngapi unampikiaga baba watoto WAKO?Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua asiyemuunga mkono Rais Samia.
No upumbavu tuMkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Wafadhili wakuu wa Yanga ni kundi la mafisadi wanaoshirikiana na serikali ya Samia na CCM kutuibiaMkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Sana loKuna mambo yanafurahisha sana....
Ni kweli, wawe makini siasa na michezi haitakiwi FIFA.Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM π