Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Slaa mlimfukuza kwa kejeri zenu mpo kama hampo
lakini hata yeye alikua anamuogopa mwenyekiti wake,kwanini hakupinga ujio wa lowassa kwenye kikao wakati hatua zote alishiriki lakini baada ya kua mtu kashapewa kijiti cha kupeperusha bendela ndo anajifanya kujiengua
 
Slaa aliamini katika demokrasia hakutaka malumbano
lakini hata yeye alikua anamuogopa mwenyekiti wake,kwanini hakupinga ujio wa lowassa kwenye kikao wakati hatua zote alishiriki lakini baada ya kua mtu kashapewa kijiti cha kupeperusha bendela ndo anajifanya kujiengua
 
Sisi hatujawahi kuwa kwenye record mbaya wala kufikiliwa ukiachilia kelele za ufipani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tundu Lissu alipigwa risasi nyingi akatibiwa Nrb akatibiwa Ubergiji akiwa huko akafukuzwa ubunge eti ni mtoro hiyo ni re
cord nzuri??
Mnamtisha hata barozi wa Watu?
Good record my foot!!
 
Unataka watu wapigwe kama kule segerea
Wasipo mzuia Rais kuhutubia Bunge, itakuwa haina maana wabunge hao kususia huku nje wanaisikiliza hiyo hotuba na pia dunia yote kwa ujumla.

Isitoshe, kutokufanya hivyo itakuwa sawa na maamuzi yao ya kususia Bunge la Bajeti, ambayo imedhihirika hayakuwasaidia kufikia lengo lao na badala yake limewaweka njia panda katika ulingo wa siasa.

Hivyo basi, vitendo vyao vya kususasusa, wakiwa Waheshimiwa wawakilishi wa wananchi, nawaza kwa sauti tu, ingekuwaje kama wafuatao nao wakiamua kususia majukumu yao na kujifungia kwa siku 14, ili kujihakikishia hawana maambukizi ya korona:
√ Polisi;
√ Madereva wa vyombo vya usafiri (Mabus, Meli, Treni, Daladala);
√ Watumishi wa afya, ambao ndio wako karibu sana na wagonjwa;
√ Wafanya biashara, hasa wa vyakula;
√ Na kadhalika.

Kama lengo ni kusikika kimataifa, njia sahihi ni kupambana, uso kwa uso, na wanae amini anawakandamiza kufikia malengo yao. Wamzuie Rais kulihutubia Bunge.
 
Tundu Lissu alipigwa risasi nyingi akatibiwa Nrb akatibiwa Ubergiji akiwa huko akafukuzwa ubunge eti ni mtoro hiyo ni re
cord nzuri??
Mnamtisha hata barozi wa Watu?
Good record my foot!!
Stresses za mmeo usizilete humu singeli ya lisu ilishachacha haiuzi tena
 
Tundu Lissu alipigwa risasi nyingi akatibiwa Nrb akatibiwa Ubergiji akiwa huko akafukuzwa ubunge eti ni mtoro hiyo ni re
cord nzuri??
Mnamtisha hata barozi wa Watu?
Good record my foot!!
Stresses za mmeo usizilete humu singeli ya lisu ilishachacha haiuzi tena
 
Tundu Lissu alipigwa risasi nyingi akatibiwa Nrb akatibiwa Ubergiji akiwa huko akafukuzwa ubunge eti ni mtoro hiyo ni re
cord nzuri??
Mnamtisha hata barozi wa Watu?
Good record my foot!!
Stresses za mmeo usizilete humu singeli ya lisu ilishachacha haiuzi tena
 
Tunaupinzani wa hivyo sana nchini
Wasipo mzuia Rais kuhutubia Bunge, itakuwa haina maana wabunge hao kususia huku nje wanaisikiliza hiyo hotuba na pia dunia yote kwa ujumla.

Isitoshe, kutokufanya hivyo itakuwa sawa na maamuzi yao ya kususia Bunge la Bajeti, ambayo imedhihirika hayakuwasaidia kufikia lengo lao na badala yake limewaweka njia panda katika ulingo wa siasa..
 
Tunaupinzani wa hivyo sana nchini
Wasipo mzuia Rais kuhutubia Bunge, itakuwa haina maana wabunge hao kususia huku nje wanaisikiliza hiyo hotuba na pia dunia yote kwa ujumla.

Isitoshe, kutokufanya hivyo itakuwa sawa na maamuzi yao ya kususia Bunge la Bajeti, ambayo imedhihirika hayakuwasaidia kufikia lengo lao na badala yake limewaweka njia panda katika ulingo wa siasa.

Hivyo basi, vitendo vyao vya kususasusa, wakiwa Waheshimiwa wawakilishi wa wananchi, nawaza kwa sauti tu, ingekuwaje kama wafuatao nao wakiamua kususia majukumu yao na kujifungia kwa siku 14, ili kujihakikishia hawana maambukizi ya korona:
√ Polisi;
√ Madereva wa vyombo vya usafiri (Mabus, Meli, Treni, Daladala);
√ Watumishi wa afya, ambao ndio wako karibu sana na wagonjwa;
√ Wafanya biashara, hasa wa vyakula;
√ Na kadhalika.

Kama lengo ni kusikika kimataifa, njia sahihi ni kupambana, uso kwa uso, na wanae amini anawakandamiza kufikia malengo yao. Wamzuie Rais kulihutubia Bunge.
 
Wapinzani wamechokwa
 
Wapinzani wamechokwa na wananchi wamebaki kutafuta kiki
 
Wapinzani wamechokwa na wananchi wamebaki kutafuta kiki
 
Wapinzani wamechokwa na wananchi wamebaki kutafuta kiki
 
Wapinzani wamechokwa na wananchi wamebaki kutafuta kiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom