Chadema Wamepata wapi pesa za Kufanya mikutano na maandamano Nchi nzima kuzidi Chama Tawala?

Chadema Wamepata wapi pesa za Kufanya mikutano na maandamano Nchi nzima kuzidi Chama Tawala?

Wanadhaminiwa na wabeba mabox , na wanaofanya kazi kuleta wazee huko ulaya wanaojiita dayasipora ambao wapo masaa 24 huko klabu hausi wanapiga makelele tuu mara watikanane wenyewe ,mara wanaongeza masauti yanayoonyesha wapo DOZI. Halafu eti ndio wanataka uraia pacha huku wakihatarisha amani ya nchi
 
Wanadhaminiwa na wabeba mabox , na wanaofanya kazi kuleta wazee huko ulaya wanaojiita dayasipora ambao wapo masaa 24 huko klabu hausi wanapiga makelele tuu mara watikanane wenyewe ,mara wanaongeza masauti yanayoonyesha wapo DOZI. Halafu eti ndio wanataka uraia pacha huku wakihatarisha amani ya nchi
Aione The Stress Challengerr
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Oganaizesheni ya Chadema ni ya kiwango cha juu mno, niko humu lakini hadi najishangaa!
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Chadema ni chama kikubwa sana kuliko CCM.
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Chadema wanategemea ufadhili wa ruzuku na ufadhili
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Elimu elimu elimu, ndo upeo wako wa kufikiri mambo
 
Wanadhaminiwa na wabeba mabox , na wanaofanya kazi kuleta wazee huko ulaya wanaojiita dayasipora ambao wapo masaa 24 huko klabu hausi wanapiga makelele tuu mara watikanane wenyewe ,mara wanaongeza masauti yanayoonyesha wapo DOZI. Halafu eti ndio wanataka uraia pacha huku wakihatarisha amani ya nchi
Hahaaa
 
Back
Top Bottom