Chadema Wamepata wapi pesa za Kufanya mikutano na maandamano Nchi nzima kuzidi Chama Tawala?

Chadema Wamepata wapi pesa za Kufanya mikutano na maandamano Nchi nzima kuzidi Chama Tawala?

Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Nchi itajengwa na wenye moyo. Ni Imani yangu fedha zinatokana na michango ya ada za uanachama,lakini pia kujitolea kwa wananchi wenye nia njema kwa ajili ya ukombozi wa nchi kutoka kwa mkoloni mweusi! Na mwisho ni matumizi sahihi ya ruzuku kidunchu wanayopewa na serikali ya maccm kwani Chadema wana nidhamu ya matumizi ya fedha za wananchi,kwani zahanati iliyojengwa na serikali ya ccm Kwa mil500,Chadema wangeijenga Kwa mil 100.
 
Na mwisho ni matumizi sahihi ya ruzuku kidunchu wanayopewa na serikali ya maccm kwani Chadema wana nidhamu ya matumizi ya fedha za wananchi,kwani zahanati iliyojengwa na serikali ya ccm Kwa mil500,Chadema wangeijenga Kwa mil 100
Hii pointi yako imenipa new insight
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Weka kwenye ripoti ya CAG wakamatwe ili nchi iendelee.
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
WATAKUWA WAMEIBA MKUU
 
Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.

Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.

Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.

Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Hizo pesa za kuzurula na kampeni wangejenga viwanda vidogo vidogo vijana wakapata ajira, hii nchi wangepata mchana kweupe.

Tatizo lako wote wana njaa, wanafaidisha matumbo yao.

Kwa hicho kidogo wanachokipata, kiwanufaishe wananchi waone kwamba wakiwapa kingi watafanya mengi.

Au vyama pinzani hawaruhusiwi kufanya miradi?
 
Back
Top Bottom