uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Pesa inatoka kwa watanzania wasio na hiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi itajengwa na wenye moyo. Ni Imani yangu fedha zinatokana na michango ya ada za uanachama,lakini pia kujitolea kwa wananchi wenye nia njema kwa ajili ya ukombozi wa nchi kutoka kwa mkoloni mweusi! Na mwisho ni matumizi sahihi ya ruzuku kidunchu wanayopewa na serikali ya maccm kwani Chadema wana nidhamu ya matumizi ya fedha za wananchi,kwani zahanati iliyojengwa na serikali ya ccm Kwa mil500,Chadema wangeijenga Kwa mil 100.Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.
Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.
Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.
Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Hii pointi yako imenipa new insightNa mwisho ni matumizi sahihi ya ruzuku kidunchu wanayopewa na serikali ya maccm kwani Chadema wana nidhamu ya matumizi ya fedha za wananchi,kwani zahanati iliyojengwa na serikali ya ccm Kwa mil500,Chadema wangeijenga Kwa mil 100
Ndio akina na i hao?Pesa inatoka kwa watanzania wasio na hiana.
Zingine Wanachukua kina Mzee MDEE na co.Samia amechukua kodi zetu na kuwapa chadema
Weka kwenye ripoti ya CAG wakamatwe ili nchi iendelee.Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.
Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.
Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.
Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Mimi nimemshtua tu CAG Kichere, asipowafata sasa mimi simo.Weka kwenye ripoti ya CAG wakamatwe ili nchi iendelee.
HahahZingine Wanachukua kina Mzee MDEE na co.
Hoja rahisi kwa wanaopenda kutoa majibu mepesiJF ya sasa swali fikirishi linajibiwa kwa hoja rahisi tu.
Ni ajabu!
WATAKUWA WAMEIBA MKUUNimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.
Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.
Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.
Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Wameiba wapi?WATAKUWA WAMEIBA MKUU
Hongereni mmewezaOganaizesheni ya Chadema ni ya kiwango cha juu mno, niko humu lakini hadi najishangaa!
Walikuwa wanasema ni Jogging , leo Nape anawewesekaHongereni mmeweza
Wapambanaji hawaHongereni mmeweza
Nimemsikia....dawa imezidi doseWalikuwa wanasema ni Jogging , leo Nape anaweweseka
Hizo pesa za kuzurula na kampeni wangejenga viwanda vidogo vidogo vijana wakapata ajira, hii nchi wangepata mchana kweupe.Nimefatilia habari za Siasa kwa kipindi che Mwezi Aprili Pekee nimeshuhudia mikutano mikubwa na maandamano ya hiari ya wananchi takribani Kanda Zote za Nchi na Mikoa mingi sana.
Tunajua Chadema sio chama tawala lakini kuuliza si ujinga.
Kuendesha mikutano Pande zote za Nchi sio jambo dogo.
Inahitaji self-motivation, fedha, Munkali na Kujituma sana. Je Chadema wamepata fedha wapi?
Wamegawana Nchi vipande vipande, kanda ya ziwa wapo, Mashariki na Pwani wapo kaskazini na Nyanda za Chini Kusini wapo.
Tuwaunge mkonoWapambanaji hawa
Nape tangu akoswe na risasi hajawahi kumiliki akili tenaWalikuwa wanasema ni Jogging , leo Nape anaweweseka
Umbeya siyo swali fikirishi, hoji kwanini tunalipa kodi lakini tunazidi kuwa masikini.JF ya sasa swali fikirishi linajibiwa kwa hoja rahisi tu.
Ni ajabu!