Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wapuuzi nyie, mbona hamtaki tume huru ya uchaguzi?Nawapongeza sana kwa kuona mbali. Maana wangeambulia Aibu ingine kubwa sana. Wananchi watapiga kura za kumuhenzi Rais Magufuli Kipenzi chao.
Na swaga za tumeibiwa kura zisinge wasaidia wazee wa sinema hawa...
Hongereni mshiriki huo uchafuzi kwa NEC ya MaheraHatutashiri
Exquisite. Excellent. Good and marvelous.Chama cha CHADEMA kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Muhambwe lililopo wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma...
HaswaaaaaHuyu aliekuja anaonekana ana dalili za kulegeza, lakini haitakiwi Chadema ishiriki uchaguzi kwa kutegemea fadhila au matakwa ya mwenyekiti wa CCM, inatakiwa ishiriki uchaguzi ikiamini nguvu zake yenyewe na uungwaji mkono wao kwa wananchi ndivyo vitakavyowapa ushindi, sio ushindi wao utokane na utashi wa mwenyekiti wa CCM.
Tulia basi utazame uhuni wetu unavyo waua kwa njaa maana sasa hivi hamna tena mtu wa kumramba miguu ili muuze umbea na fitina.na nyie wahuni mna faida gani!
Sahihi maana kutegemea huruma ya mtu kwa sasa ni kujiingiza kibra kisiasaNaunga mkono hoja 100%, bamoja na maridhiano KWA Sasa kipaumbele kwanza ni tume huru,katiba mpya, mengine badae,
UchafuziNaungana na CHADEMA maana hakuna uchaguzi hapo ni maigizo tupu
Hawawezi kukubali tume huru na katiba huru maana wanajua kuwa sumu haionjwiWapuuzi nyie, mbona hamtaki tume huru ya uchaguzi?
Kama wewe unavyo pata akili baada ya uliyemtegemea kukuwacha bila kukuagaWameanza kupata akili sasa!
Wanapendwa na NECHawawezi kukubali tume huru na katiba huru maana wanajua kuwa sumu haionjwi
Washindane na ACT wenzaoUchafuzi
ACT ni mshirika wao bila shakaWashindane na ACT wenzao
wapambane mapachaACT ni mshirika wao bila shaka
Hapo kabla Mwenyekiti hakuwa Kaijage, na mkurugenzi wa uchaguzi hakuwa Mahera bali KailimaWe unatakaje?
Yan tuache kufanya mambo ya msingi tuwe busy kutaka kuwaridhisha chadema?
Wakina mnyika na Mbowe walikuwa wabunge kwa tume gani?
Mbona kipindi huko hawakugomea?