CHADEMA wanajiita Chama Kikuu cha upinzani wakati walipata mbunge 1 wanatumia vigezo gani?

INTARAHAMWE mmehamasisha watu wasitoe sadaka makanisani halafu mnasema mnakwenda kanisani kufanya maombi? Hivi mko sawa kweli?
Mojawapo ya sifa za chama kikuu cha Siasa. Naam, CHADEMA siyo tuuu chama kikuu cha upinzani, bali pia ni chama kikuu cha siasa. Hii ni kwa sababu ccm imekufa kama cha siasa, inekuwa inaishi kujiegemeza Polisi, usalama wa taifa, mahakimu na majaji wabovu, na magereza wala rushwa. Ukiona watu wanazuiwa kusali, kutoa damu, ujue wamebanwa mbavu. Mwisho, wewe kuandika uzi huu, ni uthibitisho kwamba CHADEMA mziki wao mkubwa
 
Sema waliporwa na kuachiwa mmoja.
 
Mziki upi mkubwa kiongozi wenu kakamatwa leo mwezi hamna hatua yoyote mliochukuwa mnabweka kwenye mitandao tu.
 
... mwezi nchanga. Kwa kuanzisha utumbo you deserve A+.
Hamuwezi kuvamia makanisa na kunya madhabahuni halafu mkafanya vikao msifarakane kwisha habari yenu.
 
Ritz ukui tu mdogo wangu ww jf kitambo nadeclare sijawahi ona unaandika jambo la maana.
Upuuuzi mwinngi usiwe kama kina Gentamycin
Sikia wewe punguania hili ni jukwa huru usinipangie cha kuandika kama unakereka kaa kimya kwanu lazima usome posts zangu watu mnatuhumiwa kwa Ugaidi badala ya kutulia mnaenda kufanya fujo Kanisani kweli jamani?
 
Mziki upi mkubwa kiongozi wenu kakamatwa leo mwezi hamna hatua yoyote mliochukuwa mnabweka kwenye mitandao tu.
Kwa hiyo kumbe ulikuwa ni mtego ili Cdm wafanye fujo ?!.

Unaweza usiwakubali Cdm kwa mapenzi yako. Lakini ukweli ni kuwa Ccm na serikali yake inatumia rasilimali nyingi kujaribu kuiua Cdm bila mafanikio.
1. Kwanza mmewashawishi baadhi ya viongozi wao na kuwapa vyeo serikalini. Lakini bado haijawavunja wanachama moyo.
2. Pili vyombo vya dola na vya maamuzi. Usiku na mchana ni kuiwekea Cdm vikwazo lakini haijasaidia..
3. Bado hamkujiamini mkawakusanya watendaji wa kata kwa ajili ya kuvuruga chaguzi za serikali za mitaa.
4. Mwisho mkaishia kupora mchakato wa uchaguzi mkuu bila aibu. Na Mungu akawajibu
 
Mwaka 1994 hadi 1995 chama kikuu cha upinzani ilikuwa NCCR-MAGEUZI kilikuwa na wabunge wangapi?
 
Umekuaje siku hizi? Mbona huna changamoto kabisa?
 
Hili la wao kua chama kikuu cha upinzai nadhani sio wao waliojitangaza, ni serikali na ccm hasa kupitia NEC, ni kwanini waliamua kuwatengeneza wale wabunge 19 kutoka Chadema na sio chama kingine? Anyway enzi za Magufuli ulipotea sana, karibu tena
 

 
Sikia wewe punguania hili ni jukwa huru usinipangie cha kuandika kama unakereka kaa kimya kwanu lazima usome posts zangu watu mnatuhumiwa kwa Ugaidi badala ya kutulia mnaenda kufanya fujo Kanisani kweli jamani?
Bwanamdogo nadhani sasa ushakua mtu mzima hebu badilika punguza pumba.. wenzako kina gombesugu na kahtaan waliishia wapi?
 
Kwani kuna uchaguzi ulifanyika? Kama unasemea wa 2020 ule ulikuwa ni Uchafuzi...
 
Bwanamdogo nadhani sasa ushakua mtu mzima hebu badilika punguza pumba.. wenzako kina gombesugu na kahtaan waliishia wapi?
Bwana mkubwa
Ni vigezo gani vinafanya chama kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania?

1. Idadi ya wanachama
2. Idadi ya Kura za Urais, Ubunge & Udiwani
3. Uwakilishi Mkubwa Bungeni
4. Ushindi wa pili katika Uchaguzi MKUU

Nipo kipembeni nimejibanza nasubiri jibu.
 
Sawa kwani wewe mwenyewe unasemaje.
Taja Chama chenye nguvu Cha upinzani katika hivi.
1. CHADEMA
2. ACT
3. CUF

Jibu liwe fupi fupi tu.
 
INTARAHAMWE mmehamasisha watu wasitoe sadaka makanisani halafu mnasema mnakwenda kanisani kufanya maombi? Hivi mko sawa kweli?
Mkajifunze kutenda haki uki hayo matokeo ya ukandamizaji haki yasiendelee kuinekaa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…