love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #181
Dj anaakili sema alichelewa kuwalambisha mpaka wanaanza kuchafua hali ya hewa mitandaoni.Inawezekana hao wamelambishwa ndio maana uwasiki, dili hili Peneza ndio atoelewa ila hao kimbele mbele lazima kawafinyia ili wanyamaze
Mbowe msukule wa mama Said,ukisikia Lema au Lissu anakosoa serikali ya mama Said basi hujue dj anarudi segerea.Dj anaakili sema alichelewa kuwalambisha mpaka wanaanza kuchafua hali ya hewa mitandaoni.
hayo malalamiko yao yatafanya wabunge waliopita bila kupigwa 2020 wapewe chadema!?Hivi wewe ulitaka Mbowe afanyaje?
Ni mapema mno kuwahukumu wapinzani.
Ebu tulieni kwanza muone kama malalamiko yao kama hayatafanyiwa kazi ndo mje hapa.
Vinginevyo nyinyi ni wale mliokuwa mnanufaika na ule uhasama uliokuwepo kati ya ccm na upinzani
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Pasco hii ndiyo maana political scienceNaunga mkono hoja, pale haki inapogeuzwa hisani!. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?
P
Yako hayata guswa? Hapo upo salama?CCM itachezea makalio yenu kwa miaka mingi sana.
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Na wewe tuliza kinyeo chako kichafuMkuu tuliza mshono
Kama unawashwa nenda Zenjbara au mombasa huko watakusadiaNa wewe tuliza kinyeo chako kichafu
Haaaa chadema ni machizi walai ....nso wamejiunga na team wanya akili na kubakisha mafii kichwani....au kwa kifupi chawa wa mamaLeo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Umeshukuru ujinga.Mkuu nashukuru kwa kuliona hilo
Sipo hapa kulaumu nipo hapa kusema ukweli.Sasa waalumu CCM wenye nia mbaya na sio CHADEMA wenye nia njema.
Sasa wakamponde magufuli jukwaani waonekitacho wakutaLeo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Ni wapumbavu sana ikifika uchaguzi wanalalamikia kuibiwa kuraHaaaa chadema ni machizi walai ....nso wamejiunga na team wanya akili na kubakisha mafii kichwani....au kwa kifupi chawa wa mama
Ujinga upo kwa mama yako aliyekuzaa jingaUmeshukuru ujinga.
Mana hapo kwanza nchekeh 🤣Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Ila sijaona facts zako juu ya madai yako ya CDM kukosa kura kwa watanzania!!Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Na endapo ccm inaweza kufanya uchaguzi huru bila vyombo vyengine kuingilia michakato ya uchaguzi mfano policcm, nec, tiss n.k.Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Mkuu natamani unipe. Shule kidogo kuhusu uchaguzi huo waspika naona mpaka leo wanachagua Mara ya nane bado McCarthy kura hazitoshi. Kwanini hawampi yule aliye na kura nyingi ushindi. Sasa si watakaa mwezi mzima bila kumpata spikaHuko Marekani,Leo Kevin McCarthy anaweza asiwe Speaker wa Bunge la wawakilishi Marekani,kisa Tu alikuwa anahujumu juhudi za baadhi ya wawakilishi ndani ya chama chake chenyewe katika utumishi wao kwa zaidi ya miaka minne sasa,,Leo McCarthy ana hitaji Kura 218 awe speaker,Republicans wapo 222, hao watu aliowahujumu miaka nenda Rudi wamekuwa kundi la watu zaidi ya 20+ na wanamnyima uspika MTU wa chama chao...
Kwanini nayasema haya, upinzani wa nchi hii Walikua na nafasi nzuri Sana ya ku-negotiate mambo ya msingi,wamehujumiwa kwa muda mrefu..hii ni kwasababu inaonekana namba moja amebanwa Huko na wahisani. Lakini kwa concessions hizi za kuachiwa wapige mayowe kwenye majukwaa tu,Hapana..Either they can't negotiate au they have negotiated their political futures in the Parliament 2025 and left the country to rot..
Anyway Kila MTU ale kwa urefu wa kamba yake.Wajamaa wameongeza urefu wa kamba.. WEWE JE?
Ni mara ya saba sasa..A simple majority does not suffice according to the rules..ni lazima Kura zizidi nusu ya members waliopo House of Representatives ambayo ni 218... Wataendelea hivo hata mwaka mzima,hata mwaka mmoja..rekodi ni spika kuchaguliwa baada ya Kura kupigwa na kurudiwa mara 137 kama sikosei...Mkuu natamani unipe. Shule kidogo kuhusu uchaguzi huo waspika naona mpaka leo wanachagua Mara ya nane bado McCarthy kura hazitoshi. Kwanini hawampi yule aliye na kura nyingi ushindi. Sasa si watakaa mwezi mzima bila kumpata spika