ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Polisi wangeshatoa tamko, vitisho na kejeli kuyazuiaSahivi mbowe angekua ndani, Tanzia zingeshaandikwa za kutosha, wavaa uniform wangekuwa mbele ya makamera na virungu vyao kutishatisha watu....