Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

mhh matokeo kama haya ndo yalimtia hasira kigogo akapigwa BAN ya milele..ngoja nikae kimya maana wakubwa wa humu wana hasira sana na yoyote anayepinga mambo ya NEC
 
Said Arfi wa CHADEMA - 8841
Sebastina Kapufi -CCM - 8232

Kura zote zimehesabiwa tayari, Matokeo yatatangazwa leo.
 
ayaaaa kidedea ntarudi mjengoni kutembeaaaaaaa...hahahaa CHADEMA oyeeeee...Kigogo unamithi mambo ya uchaguzi kwa ajili ya MITUSI yako ya nguoni uliyoimimina hapa...hahaaaaaa....

MODS hivi hamuwezi mkampiga faini KIGOGO afunguliwe jamani..msimfanyie hivi mpwa wangu
 
Said Arfi wa CHADEMA - 8841
Sebastina Kapufi -CCM - 8232

Kura zote zimehesabiwa tayari, Matokeo yatatangazwa leo.

That was close! Hongera Mh Said Amour Arfi kutetea kiti chako.
 
Hizi ni Details zaidi;
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).
 
watu hapa wako ngangari kinoma hatuondoki mpaka kieleweke,ila kwahakika inaonekama kuna power kubwasana inatumika hapa mambo yabadilishwe,wanachakachua nakuna fununu kuwa mzeepinda yupo kwasiri ili akamilishe kazi,mpaka jion inasemekana alikua dodoma ila sasa naskia yupo wanafos wamtangaze mtu wao wa ccm.

Mwera hapo tusikubali na kama ni vipi ndiyo patakuwa maahali pa kuanzia ukombozi wetu tumeonewa sana hakuna cha polisi wala nini ila wametupora Rais wetu na majimbo kibao na bado wanataka kuendeleza dhuluma yao!!!
Hakikisheni mmepandana kidete na wapange wana mabadiliko vizuri kuleta ukombozi

NB: HAKUNA AMAN ILA KWA INCHA YA UPANGA
 
Jamani,

Mnakumbuka nimepiga kelele sana kwamba uzembe wetu ilikuwa ni kuacha Tume ijumlishe kura za kituo kwa kituo wakati na sisi tunajua hesabu hiyo ndogo.

Wa Ndima katuletea matokeo ya vituo na mimi nimeyapanga ndani ya worksheet hii ambayo tuliileta tuitume kwenye uchaguzi mkuu uliochakachuliwa.

Mwanajamvi Wa Ndima, vituo ulivyotutajia kura zake hapo juu vituo juu nimeviweka na viko 19 na inaonyesha kwamba CHADEMA wanaongoza kwa 1,574 wakati CCM wanazo 1,110.

Ambayo ni kwamba CHADEMA wanaongoza kwa asilimia 58.64 na CCM wana asilimia 41.36.

Kama jumla ya vituo ni 28 basi tuleteeni matokeo ya vilivyobaki tisa tuwaonyeshe kuwa tuko mbele kiteknology na hatuwasubiri watujumlishie.

Kama kuna majimbo mengine leteni pia tuyajumlishe.

Fungueni sheet hii niliyo-attch humu muone uhondo wa kujijulishia wenyewe.

Hi ni rasharasha. Mwaka 2015 hii sheet inabidi iatwanywe kwa watanzania wote ifikapo February 2015 na ijadiliwe ili kil ammoja mwaka ule ajue kila mtanzania anahitaji kujijumlishia mwenyewe na kazi yake itakuwa ni kut-type tu kwenye komputer na kuingiza jina la kituo na idadi ya kura.

Hii ni nzuri ikatumika kama checklist. Njia rahisi ni kununua scanner kama zile za CRDB ambazo zinascan cheque kwenye matawi na kupeleka makao makuu. Kama tuna majimbo 239, tunahitaji vingamuzi 239 ambazo zitascan matokea ya kila kituo na kuyaingiza kwenye system ya NEC na kutoa matokeo ya jumla kwa jimbo na kwa Taifa.
 
mkuu tunataka matokeo ya TUME si unajua uchakachuaji mkuu!!
 
tume hawana jipya juu hili,hawawezi chakachuwaaa kwani zama hizi tumeshajuwa nani mshindi na tuna matokeo mkononi,wachakachuwe waone,hizo ni hasira za wananchi kwa spika makinda,akae chonjo
mapinduziiiiiiii damaaaaaaa
 
Hizi ni Details zaidi;
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa

Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55),
Azimio 5, Chadema (72), CCM (62).

Katika kituo cha Paradise 1, Chadema (64), CCM (62),
Paradise 2, Chadema (94), CCM (55),
Paradise 3, Chadema (100), CCM (68),
Paradise 4, Chadema (94), CCM (63),
Majengo Chadema (73), CCM (65),
Makanyagio 1, Chadema (64), CCM (63),
Makanyagio 2, Chadema (86), CCM (59).
Makanyagio 3, Chadema (103), CCM (73),
Makanyagio 4, Chadema (92), CCM (64),
Makanyagio 5, Chadema (88), CCM (69),
Isikama 1, Chadema (90), CCM (67),
Isikama 2, Chadema (108), CCM (78),
Isikama 3, Chadema (90), CCM (73).

Kwa hayo matokeo yako ya awali, ina maana jumla ya kura zilizopigwa ni 2684:

CHADEMA : 1574
CCM: 1110

Hivyo matokeo sahihi ndiyo ya post ya 1
 
Mpanda vijijini na Kenge CCM imechukua
Acha wachukue umuhimu wa ushindi wa Arfi ni kama ushindi wa majimbo manne
1. tumemrudisha Makamu mwenyekiti ni faraja kubwa kwa chama
2. tumeshinda nyumbani kwa waziri mkuu
3. tumefuta maneno ya ukanda na udini
4. tumejihakikishia kuongeza viti maalum
 
Inaelekea watu hamkupata somo matokeo yaliyopita. Haya matokeo ni "fraction of a second" CCM kuyatangaza kinyumenyume (reverse). Naona tumesahau ya Segerea na Karagwe. Yangu masikio maana sipo mpanda kuona kwa macho
 
Enzi yetu mtu akipigwa ngumi nzito tunasema kapigwa jepu naona ssm wametunguliwa jepu nyumbani kwa mtoto wa mkulima. Kumbessm shida yao ilikuwa Urais tu maana huko sijasikia uchakachuaji
 
Back
Top Bottom