CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

Mkuu mimi sipo Tanzania nilikuwa nataka kufahamu kama sheria ipo au hakuna. Anyway kwa sababu umefanya judgement tayari na inaonekana hakuna anayefahamu kama kuna sheria au la. Hatari sana. Shukrani kwa kunifahamisha. (Utawala wa Sheria)

BTW UK ukitaka kuweka tangazo kwenye nguzo za umeme barabarani au kwenye nguzo zako lazima upate kibali na unalipia kiasi flani cha pesa na muda matangazo yako yatakapokuwa barabarani. Hata ukitaka kupeperusha bendera nk Fees zipo categorised kufuatana na sheria zao.

..sheria zinaweza kuwepo.

..ila tatizo ni kuwa zinakuwa-applied kwa cdm tu.

..ccm wenyewe wanapeta tu, wako juu ya sheria.

..Ni kama kuwe na mechi ya mpira halafu mwamuzi anaipigia kipenga timu moja tu, nyingine inacheza inavyotaka yenyewe.

..Hebu fikiria kwa jiji zima la Dsm, wagombea wote wa cdm ktk uchaguzi wa serikali za mitaa majina yao yalikatwa kwa kukosea kujaza fomu. Halafu wagombea wa ccm fomu zao zilikuwa hazina kasoro 100%.
 
..sheria zinaweza kuwepo.

..ila tatizo ni kuwa zinakuwa-applied kwa cdm tu.

..ccm wenyewe wanapeta tu, wako juu ya sheria.

..Ni kama kuwe na mechi ya mpira halafu mwamuzi anaipigia kipenga timu moja tu, nyingine inacheza inavyotaka yenyewe.

..Hebu fikiria kwa jiji zima la Dsm, wagombea wote wa cdm ktk uchaguzi wa serikali za mitaa majina yao yalikatwa kwa kukosea kujaza fomu. Halafu wagombea wa ccm fomu zao zilikuwa hazina kasoro 100%.

Mkuu ukiangalia post yangu mwanzo nilisema Chadema wangeweza kuweka picha ambazo zinaonyesha CCM wanapofanya mkutano ie. Mwanza na kuonyesha kwamba walipeperusha bendera na hawakulipa au hawakufuata sheria nk. ili kuonyesha double standars ambazo unasema, kwa sababu kuandika hivi bila ushahidi ni Majungu kwa sababu mchezo huu kama unavyosema haujaanza leo kwa chama tawala.

Kaeni muwe na timu ya kutengeneza ushahidi bila kulialia kila siku.

Kuhusu uchaguzi mbona hamkujibu tuhuma zilizotolewa kwamba mlijitoa uchaguzi kwa sababu ya ukata? Kwa mujibu wa CCM mlikubaliana kanuni ambazo nyinyi mlishindwa kuzifuata na kukimbilia kujitoa. Then baadaye mkajitokeza kwenye sherehe za uhuru na kusema mnaomba maridhiano? Huoni hapo kwanza mnaonyesha udhaifu na kuwa mmekwama? Yaani mlikuwa hamumtambui JPM kama rais mkasusia sherehe za uhuru na sasa bila hata kusema kwamba mnamtambua mnataka maridhiano. Are you serious?
 
Mkuu ukiangalia post yangu mwanzo nilisema Chadema wangeweza kuweka picha ambazo zinaonyesha CCM wanapofanya mkutano ie. Mwanza na kuonyesha kwamba walipeperusha bendera na hawakulipa au hawakufuata sheria nk. ili kuonyesha double standars ambazo unasema, kwa sababu kuandika hivi bila ushahidi ni Majungu kwa sababu mchezo huu kama unavyosema haujaanza leo kwa chama tawala.

Kaeni muwe na timu ya kutengeneza ushahidi bila kulialia kila siku.

Kuhusu uchaguzi mbona hamkujibu tuhuma zilizotolewa kwamba mlijitoa uchaguzi kwa sababu ya ukata? Kwa mujibu wa CCM mlikubaliana kanuni ambazo nyinyi mlishindwa kuzifuata na kukimbilia kujitoa. Then baadaye mkajitokeza kwenye sherehe za uhuru na kusema mnaomba maridhiano? Huoni hapo kwanza mnaonyesha udhaifu na kuwa mmekwama? Yaani mlikuwa hamumtambui JPM kama rais mkasusia sherehe za uhuru na sasa bila hata kusema kwamba mnamtambua mnataka maridhiano. Are you serious?
Akili matope

In God we Trust
 
View attachment 1295323

Huyu Mheshimiwa anaitwa Beatrice Dominic, ameingia kwenye rada zetu baada ya kufanya kituko cha kuamuru kushusha bendera za CHADEMA zilizowekwa kwenye maeneo ya Mlimani City kunakofanyika Mkutano mkubwa wa uchaguzi wa chama hicho, kama walivyo watumishi wengine wa Umma tunapaswa kuufahamu wasifu wake, ni wapi aliposoma, alisoma shule gani, alisomea nini, mahali pengine alipofanya kazi, alikuwa na cheo gani, uaminifu wake pote alipopita na mengine mengi ambayo mtumishi wa umma anapaswa kuwa nayo.

Lengo kuu la kutaka kumfahamu ni kuweka kumbukumbu sawa kwa ajili ya vizazi vijavyo
Huyu mama atafungwa
 
Kumshambulia mama mtu mzima km huyo ni kujitakia balaa tu

Mimi najitenga hapo

Tuwaheshimu mama zetu
wamama kama hawa si wa kuwaheshimu hatta kiduchu hata kama ni mamako anatabia hizo ni wa kuogopwa kama UKOMA
 
Back
Top Bottom