SI KWELI CHADEMA yapiga marufuku ambao hawana elimu ya kidato cha sita na kuendelea kugombea serikali za mitaa na uchaguzi mkuu

SI KWELI CHADEMA yapiga marufuku ambao hawana elimu ya kidato cha sita na kuendelea kugombea serikali za mitaa na uchaguzi mkuu

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Chadema imewapiga marufuku maelfu ya watanzania ambao wana elimu ya msingi na kidato cha nne wasigombee uongozi wowote katila chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Chama hicho, japo kimewanyima haki ya kugombea, kinatarajia kwenda kuwaomba kura ili kuwatumia kisiasa kwa faida yao

Ni nadra sana kukutana na mjumbe wa serikali ya mtaa au kitongoji mwenye elimu ya kidato cha sita, achilia mbali mwenyekiti wa mtaa na wa kijiji.

Sasa ni zamu ya watanzania hao kuwaadhibu chadema kwa dhambi hii ya ubaguzi

barua chadema.jpg
 
Tunachokijua
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni mchakato wa kidemokrasia ambapo wananchi hupiga kura kila baada ya miaka mitano kuwachagua viongozi wa ngazi za mitaa kama vile Wenyeviti wa Vijiji, Wenyeviti wa Vitongoji, na Wajumbe wa Serikali za Mitaa.

Kumekuwa na barua inayosambaa mitandaoni ikidaiwa kuwa ni ya CHADEMA ambayo ikionekana kuandikwa na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na mambo ya nje CHADEMA, John Mrema, Barua hiyo inaeleza kuwa CHADEMA wametoa kanuni mpya ambayo inaeleza mtu anayeruhusiwa kugombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ni yule mwenye Elimu ya kuanzia kidato cha Sita huku barua hiyo ikiwataka Wananchi kuzingatia kanuni hiyo.

Je, Ukweli wa barua hiyo ni upi?
JamiiCheck Imefatilia taarifa zilizotolewa kwenye barua hiyo na kubaini kuwa hazina Ukweli wowote, aidha barua hiyo haijawahi kutolewa na CHADEMA kupitia kurasa zao Rasmi za mitandao ya kijamii wala kwenye vyombo rasmi vya taarifa vya CHADEMA.

Vilevile, barua hiyo haijawahi kuchapishwa kwenye akaunti za John Mrema ingawa ndiye aliyedaiwa kusaini Barua hiyo, Aidha, John Mrema amechapisha taarifa ya kanusho kupitia kaunti yake ya mtandao wa X na kueleza kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na kuwataka watu kuipuuza.

Siku za hivi karibuni viongozi mbalimbali wa CHADEMA wamekuwa wakizungumzia kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ila hawajawahi kueleza kuhusu mabadiliko ya kanuni inayowataka watu wanaotaka kugombea wawe na Elimu kuanzia kidato cha Sita na kueendela, ila wamekuwa wakisisitiza watu kwenda kujiandikisha kwa ajili ya zoezi la kupiga kura na kujiandaa kwa uchaguzi ikiwemo kujiandaa kuchagua viongozi na kuchaguliwa kuwa kiongozi na si kueleza mabadiliko ya kanuni kama barua ile ilivyoeleza.
Ni uamuzi mzuri ili wagombea wawe waelewa na kujaza fomu ya kugombea haitawasimbua. Kuna kituko Bungeni etu Mtu anajisifia kuwa darasa la saba.
 
Chadema imewapiga marufuku maelfu ya watanzania ambao wana elimu ya msingi na kidato cha nne wasigombee uongozi wowote katila chama hicho, hata uongozi wa mtaa. Chama hicho, japo kimewanyima haki ya kuombea, kinatarajia kwenda kuwaomba kura.

Ni nadra sana kukutana na mjumbe wa serikali ya mtaa au kitongoji mwenye elimu ya kidato cha sita, achilia mbali mwenyekiti wa mtaa na wa kijiji.

Sasa ni zamu ya watanzania hao kuwaadhibu chadema kwa dhambi hii ya ubaguzi
View attachment 3120101

UPDATe: Apparently kuna ripoti kwamba hii ni fake news.

But the abstract question raised is interesting nevertheless.

××××××××××××××××××××××××××××××
Mimi huwa sipendi siasa za majitaka, kuchafuana vyama, nk.

Na sijui ajenda yako, na sijui kama wewe ni sehemu ya vita hizi za vyama, na sitaki kuwa sehemu ya vita hizi za vyama.

Ila, ninasimamia kanuni za msingi.

Nikitaka kusema kuwa hili sharti, kwa kifupi, linavunja haki za kikatiba za wananchi kuhomnea uongozi, kwa sababu haki hizi za kikatiba hazina masharti ya kielimu zaidi ya kujua kusoma na kuandika.

Lakini, nikajiuliza zaidi.

Kama katiba haina kigezo cha usomi rasmi ili kugombea viti vya serikaki za mitaa, mtu yeyote anayejua kusoma na kuandika anaweza kugombea, halafu CHADEMA ikaweka kigezo cha kielimu cha Kidato cha Sita, je, hapo CHADEMA inakuwa imevunja haki za kikatiba za wanachama kwa kuweka kigezo hicho?

Au kigezo hicho hakivunji haki ya kikatiba kwa sababu wanachama wa CHADEMA wanaweza kujiunga na vyama vingine kugombea nafasi hizo hizo, si lazima wagombee wakiwa CHADEMA.

Hilo sharti ni sawa na sharti la kukubali itikadi nyingine tu za CHADEMA?
 
Yaani utokee ugomvi wa wana ndoa mtaani mtu aupeleke kwa kijana ambaye hata hajaoa, na muda wote kalewa visungura. Mwenyekiti wa mtaa ni mzee wa busara wa eneo hilo
Hawa waizi wa kura wa ccm nao wana busara?
 
Chadema imewapiga marufuku maelfu ya watanzania ambao wana elimu ya msingi na kidato cha nne wasigombee uongozi wowote katila chama hicho, hata uongozi wa mtaa. Chama hicho, japo kimewanyima haki ya kuombea, kinatarajia kwenda kuwaomba kura.

Ni nadra sana kukutana na mjumbe wa serikali ya mtaa au kitongoji mwenye elimu ya kidato cha sita, achilia mbali mwenyekiti wa mtaa na wa kijiji.

Sasa ni zamu ya watanzania hao kuwaadhibu chadema kwa dhambi hii ya ubaguzi
View attachment 3120101
chadema inawajali watu wote ila watakuwa wanajaribu kukwepa ule ubwege wa ccm kwamba wagombea wao hawajui kusoma na kuandika kama ilivyotokea 2019 hivyo walijaza fomu vibaya
 
Ni uamuzi mzuri ili wagombea wawe waelewa na kujaza fomu ya kugombea haitawasimbua. Kuna kituko Bungeni etu Mtu anajisifia kuwa darasa la saba.
Chadema iko sahihi mno pia inasaidia kuondoa ushiriiina na washirikina bungeni wategemea ushirikina kuingia bungeni
.
Wabunge wengi walioingia bungeni wasio kidato cha sita washirikina wakubwa mno hatari wanaishi tu kwa ndumba na albadiri na ushirikina

CCM kuwaondoa iige Chadema

Lazima wapitie kidato cha sita
 
Chadema imewapiga marufuku maelfu ya watanzania ambao wana elimu ya msingi na kidato cha nne wasigombee uongozi wowote katila chama hicho, hata uongozi wa mtaa. Chama hicho, japo kimewanyima haki ya kuombea, kinatarajia kwenda kuwaomba kura.

Ni nadra sana kukutana na mjumbe wa serikali ya mtaa au kitongoji mwenye elimu ya kidato cha sita, achilia mbali mwenyekiti wa mtaa na wa kijiji.

Sasa ni zamu ya watanzania hao kuwaadhibu chadema kwa dhambi hii ya ubaguzi
View attachment 3120101
Erythrocyte kuna ukweli kwenye hili?
 
Chama hicho, japo kimewanyima haki ya kugombea, kinatarajia kwenda kuwaomba kura ili kuwatumia kisiasa kwa faida yao
Nia Yao ni nini Chadema?
===
Nikiangalia CV ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Magharibi , inanichanganya kidogo . Au CV hii ni fake?
===

Professional Particulars​

Education
YearLevelSchoolStatusAward
1988 - 1990Secondary SchoolMbeya Secondary SchoolCompletedCSEE
1990 - 1991Secondary SchoolSabasaba Secondary SchoolCompletedCSEE
1981 - 1984Primary SchoolLigula Primary SchoolCompletedCPEE
1984 - 1986Primary SchoolSokoine Primary SchoolCompletedCPEE
1986 - 1987Primary SchoolSisimba Primary SchoolCompletedCPEE

Work Experience
YearPositionOrganization
2010 - 2015Member - Mbeya Urban ConstituencyThe Parliament of Tanzania
1998 - 2010Security OfficerBP Tanzania Limited
1994 - 1998CelebritySelf Employed

Political Experience
YearPositionOrganization
2010 - to dateMemberCHADEMA
 
Ila viongozi wetu wakati mwingine sijui wanawazaga nini? Mm kijijini kwetu Kyamulaile au kata bulyakashaju kumpata kijana au mtu aliyemaliza form six kama sio mtumishi wa umma basi hakuna. Hv wanafkl Tanzania nzima nikama Dar es salaam Arusha au Mwanza? Wangesema kwa udiwani sawa ila mwenyekiti wa kijiji au kitongoji ilo kwangu ni big no.
 
Nia Yao ni nini Chadema?
===
Nikiangalia CV ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini Magharibi , inanichanganya kidogo . Au CV hii ni fake?
===

Professional Particulars​

Education
YearLevelSchoolStatusAward
1988 - 1990Secondary SchoolMbeya Secondary SchoolCompletedCSEE
1990 - 1991Secondary SchoolSabasaba Secondary SchoolCompletedCSEE
1981 - 1984Primary SchoolLigula Primary SchoolCompletedCPEE
1984 - 1986Primary SchoolSokoine Primary SchoolCompletedCPEE
1986 - 1987Primary SchoolSisimba Primary SchoolCompletedCPEE

Work Experience
YearPositionOrganization
2010 - 2015Member - Mbeya Urban ConstituencyThe Parliament of Tanzania
1998 - 2010Security OfficerBP Tanzania Limited
1994 - 1998CelebritySelf Employed

Political Experience
YearPositionOrganization
2010 - to dateMemberCHADEMA
Kupunguza ushirikina bungeni wateuliwe tu waliopitia kidato cha sita kugombea ubunge
Hao wengine wanaishi kwa ushirikina

Vyama vyote viige Chadema mimi CCM nawaunga mkono kwa hili Chadema

Wengi chini ya kidato cha sita wanakesha kwa waganga wachawi na mashehe wachawi kupata vyeo
 
Ila viongozi wetu wakati mwingine sijui wanawazaga nini? Mm kijijini kwetu Kyamulaile au kata bulyakashaju kumpata kijana au mtu aliyemaliza form six kama sio mtumishi wa umma basi hakuna. Hv wanafkl Tanzania nzima nikama Dar es salaam Arusha au Mwanza? Wangesema kwa udiwani sawa ila mwenyekiti wa kijiji au kitongoji ilo kwangu ni big no.
Sass mimi wa Bumbile? Huko form two kasoma sana
 
Kuliko kuchukua mtu wa darasa la sababu kuwa mwenyekiti WA Kijiji au mtaa Karne ya 21, Bora wasiwe na viongozi uongozi.
Naunga hoja mkono 100%
 
Back
Top Bottom