LAzima wajue kutofautisha maandamano ya wananchi na maandamano ya chama cha siasaWaangalie wenzao Kenya.
Ruto alishikilia bomba kwa wale GenZ kwa kuwa hawakutaka kuwahusisha na wanasiasa.
Sasa hilo la hawa ni kwamba Mimi nikiingia Road ni wazi nishachagua kukaa upande wa Chadema against Dola,so litalonipata ni langu na chadema.
Wadini wakubwa kivipi?Wadini wakubwa nyie na huyo mwenzako big show, angekuwa Nyerere au Mkapa mngeongea tofauti, akili za stone age ndipo mlipofikia
Mkuu kwahiyo tumuondoe raisi kisa chadema wanaandamana hawamtaki, sasa nikuulize kuna raisi wa nchi gani ambae wapinzani wake wanataka akae madarakani? Ndio maana tuna katiba inayotaka raisi apatikane kupitia kura za wengi
Tofauti na hapo ni uhuni tu na kuna nchi zinaweza kutolerate huo ujinga sio tanzania ndio maana unaona hadi leo nchi ina amani
Kwani hauoni nipo juu yako nakuombea utage?wewe kwani ushataga? au unatafuta jogoo akupandie
ka kuona iyo kesho uzur usiku wa deni hapachelewi kukuchaPolisi wa tanzania hawajahi kushindwa na wahuni tulia kesho uone show show
Mumeshaanza kupandisha mashetani. Saivi mumejijaza wazimu, akili zenu zimevurugwa!!! Hakuna cha maandamano kesho, na yakiweko natembea uchi hadi kwa mkeo.Hivi Hezbollah ataimudu Uyahudi kweli?🐼
Utasema CHADEMA tumeamua kuachia Mtu kama Mdude ndie awe Strategist wetu.Na hii ndo imeleta shida. Ikaonekana kama maandamano ni ya kumpindua raisi.
ka kuona iyo kesho uzur usiku wa deni hapachelewiPolisi wa tanzania hawajahi kushindwa na wahuni tulia kesho uone show show
naona unatafuta jogoo wakukupandaKwani hauoni nipo juu yako nakuombea utage?
Yes,and I am proud to be termed like that.Udini na ujinga ni ndugu zako
mzee ni.kipigo na kuvunja miguuKwa tz hata hawawez kuangaika kuita majeshi mengine,maana hapa bongo polis anaua kabisa sio kama nchi zingine polis wanabembeleza
Mambo mengine ni baada ya Uchaguzi Mkuu ujao.Mbowe uwezo wake umefikia mwisho,hatusemi aache siasa,ila angeacha kiti kwa mwingine akabakia kuwa hata mshauri.
Anakiua hiko chama.
Dah,Mkuu uchi hadi kwa mkewe Tena..Mumeshaanza kupandisha mashetani. Saivi mumejijaza wazimu, akili zenu zimevurugwa!!! Hakuna cha maandamano kesho, na yakiweko natembea uchi hadi kwa mkeo.
Muislam akifa hakuna kuomboleza.Wadini wakubwa nyie na huyo mwenzako big show, angekuwa Nyerere au Mkapa mngeongea tofauti, akili za stone age ndipo mlipofikia
Kuleni bana hiyo keki ..mimi nitakula kwa jasho bablai .Kuna mtu kakunyima?
😂 😂 😂Muislam akifa hakuna kuomboleza.
Hivi nyinyi mkifa mnaobolezana kwa maandamano?
Tatizo maandamano haya hayajaandaliwa wala hayana baraka za wananchi, yameratibiwa na chadema tatizo lipo hapo ,yangeandaliwa na wananchi ingekuwa very different scenarioSio chadema.
Watanzania wameuwawa
Ondoa miwani ya chadema.
Kwani lini Tanzania kuliwahi kuwa na Maandamano?Mumeshaanza kupandisha mashetani. Saivi mumejijaza wazimu, akili zenu zimevurugwa!!! Hakuna cha maandamano kesho, na yakiweko natembea uchi hadi kwa mkeo.
najaribu kuwapa mawazo watu wa arusha ambapo ngome ya chadema ipo ukoo ipo hivi
jeshi la polisi likiona limezidiwa nguvu likaomba msaada JWTZ mmekwisha mtaita maji mma pata picha wakachukuliwa
1 oljoro pamoja na vijana wa jkt?
2 wakachukuliwa TMA pamoja na wanafunzi (offers cadet)
3 wakchukuliwa kv monduli
4 wakachukuliwa makuyuni pamoja na vinaja
wakimwagwa hapo arusha mmekwisha yaani mtatandikwa virungu betle zakutosha mpaka bangi ziwaishe nipo pale naangalia mchezo arusha kambi za jeshi zipo nyingi sana zimetapakaa
af watakao umia ni watu wa hali ya chini