LAzima wajue kutofautisha maandamano ya wananchi na maandamano ya chama cha siasaWaangalie wenzao Kenya.
Ruto alishikilia bomba kwa wale GenZ kwa kuwa hawakutaka kuwahusisha na wanasiasa.
Sasa hilo la hawa ni kwamba Mimi nikiingia Road ni wazi nishachagua kukaa upande wa Chadema against Dola,so litalonipata ni langu na chadema.