Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
Hii slogan ya SAMIA MUST GO kuichanganya na Maandamano ya AMANI hata mimi imeniletea ukakasi sijui ni ushauri wa nani?!
Pale walijichanganya kwa kweli maana huwezi kusema samia must go halafu baadae unatuambia maombolezo which is whichHii slogan ya SAMIA MUST GO kuichanganya na Maandamano ya AMANI hata mimi imeniletea ukakasi sijui ni ushauri wa nani?!
Labda ingekuwa SAMIA MUST GO 2025 THROUGH BALLOT!
Kuna nini kwani ?Umeyaona yanatembea mitaani? Kesho mjipange ndugu zangu
ukimsikiliza kwa makini ni kama kapoteza fahamuMbowe angekuwa anamaanisha hilo angeanzia hizo harakati kwao Kilimanjaro.
Anataka kusimamisha shughuli za watu Dsm then kwao watu waendelee na mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku.
Ingia Road kamanda,Tena beba kipaza sauti kabisa ulisema Samia must goo...must goooo... 😂 😂 😂Itajulikana kesho
Punguza kujichekesha.Ingia Road kamanda,Tena beba kipaza sauti kabisa ulisema Samia must goo...must goooo... 😂 😂 😂
Na wanapata sababu ya kutusumbua na kesi za uhaini.Pale walijichanganya kwa kweli maana huwezi kusema samia must go halafu baadae unatuambia maombolezo which is which
Na hii ndo imeleta shida. Ikaonekana kama maandamano ni ya kumpindua raisi.Hii slogan ya "SAMIA MUST GO" kuichanganya na Maandamano ya AMANI hata mimi imeniletea ukakasi sijui ni ushauri wa nani?!
Labda ingekuwa SAMIA MUST GO 2025 THROUGH BALLOT! Ingefaa kama Hashtag.
Mkuu kwahiyo tumuondoe raisi kisa chadema wanaandamana hawamtaki, sasa nikuulize kuna raisi wa nchi gani ambae wapinzani wake wanataka akae madarakani? Ndio maana tuna katiba inayotaka raisi apatikane kupitia kura za wengiI disagree.
Samia can go peacefully or forcibly.
Peacefully meaning either via peaceful ballot box or peaceful demonstrations subsequent to which she resigns on grounds of logical appeals.
Forcibly either via parliamentary impeachment or violence of some sort. T
Tatizo liko wapi?
Na shida yao wapinzani ni kugawanyika.ukimsikiliza kwa makini ni kama kapoteza fahamu
Arusha tunasaka pesa. Hatutaki maandamano.najaribu kuwapa mawazo watu wa arusha ambapo ngome ya chadema ipo ukoo ipo hivi
jeshi la polisi likiona limezidiwa nguvu likaomba msaada JWTZ mmekwisha mtaita maji mma pata picha wakachukuliwa
1 oljoro pamoja na vijana wa jkt?
2 wakachukuliwa TMA pamoja na wanafunzi (offers cadet)
3 wakchukuliwa kv monduli
4 wakachukuliwa makuyuni pamoja na vinaja
wakimwagwa hapo arusha mmekwisha yaani mtatandikwa virungu betle zakutosha mpaka bangi ziwaishe nipo pale naangalia mchezo arusha kambi za jeshi zipo nyingi sana zimetapakaa
af watakao umia ni watu wa hali ya chini
Mwdnyezi Mungu hamfichi mnafik.Friends and Our Enemies,
Nimemskia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akihamasisha wafuasi wake eti kesho wajitokeze kwa wingi kushiriki maandamano ya amani na maombolezo.
Kinachostaajabisha zaidi yeye anasema ni amani na maomboleze kisha hapo hapo anatembea na kauli mbiu ya kusema Samia must go..!
Umeshasema must go,amani itokee wapi hapo?
Na wale ambao ni walinda amani ya nchi hii na mali za watanzania wengine ambao siyo wafuasi wa Chadema na ambao siyo wafuasi wa wanasiasa wowote unataka wakae kimya wakuangalie?
Hamasisha wafuasi wako ingieni Road kisha tuone mwisho wake.
Shame on you Chadema, before hamjafikia hatua ya kusema.samia must go,mlipaswa kwanza kuanza slogan hiyo na Freeman Mbowe.
Mnataka kuonyesha sharubu kisa Samia mwanamke siyo?yule mwanaume mwenzenu mlifyata mikia mkakimbia nchi MAKHULUKUTABU NYINYI .
tutaona ila mkikoa kidogo tu watu wapo mrangoni mtaumiaArusha tunasaka pesa. Hatutaki maandamano.
Amekuaga ukiwa ni hawara yake?Lema kashatimkia Canada
tunataka amaniMbona mnahangaika sana na mambo yasiyowahusu?