kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Sasa hapo nani mungu nani shetaniJipangeni kuua kama mlivyoelekezwa, Lakini Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo nani mungu nani shetaniJipangeni kuua kama mlivyoelekezwa, Lakini Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Kama ikiwezekana wafumie tu ubongo wakoUnafikiri hao polisi watafanya nini?
Wao si mungu, ni wapuuzi flani form 4 failure div 5.Kama ikiwezekana wafumie tu ubongo wako
Tatizo la chadema wanatuhumu mtu bila ushahidi usio achaa shaka!!Shida ni mtuhumiwa namba moja ni polisi kwa mujibu wa chadema raisi anaogopa nini kuunda tume ya kijaji mzizi huu wa fitina ukaisha?
Mpuuzi wewe laza kishundu chako ungojee kutupiwa makombo toka meza za walanchiHakuna mwana CHADEMA yeyote yule atakaye toa pua yake kuingia barabarani. maandamano yatakuwa Twitter na kuishia huko huko.
Huyo siyo mjinga bali ni mpumbavu kabisaWe jamaa ni mjinga sana
Nacho fahamu ni kuwa hata ufungwe kamba huwezi ukatoa pua yako kuingia barabarani.utakachoweza na kuropoka humu jukwaani ukiwa na fake ID.Mpuuzi wewe laza kishundu chako ungojee kutupiwa makombo toka meza za walanchi
Chawa unayeishi kwa kutupiwa makombo nakupuuza tu huna akili.Nacho fahamu ni kuwa hata ufungwe kamba huwezi ukatoa pua yako kuingia barabarani.utakachoweza na kuropoka humu jukwaani ukiwa na fake ID.
Mungu baba Ibariki CHADEMAAkizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima.
PIA SOMA
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Una ubavu wa kuingia barabarani? Kama humu tu upo kwa fake ID ni vipi unaweza ingiza sura yako barabarani kuandamana? Una huo ujasiri? Una huo uwezo?Chawa unayeishi kwa kutupiwa makombo nakupuuza tu huna akili.
Hao wanapigwa pini maporini tu kabla hawajafika Dar, wajitayarishie vyakula na toilet paper kwa wingi.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima.
PIA SOMA
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Wewe unajitambulisha na kuweka namba za simu ili wakukumbuke kukutupia makombo. Njaa itakuua wewe chawa.Una ubavu wa kuingia barabarani? Kama humu tu upo kwa fake ID ni vipi unaweza ingiza sura yako barabarani kuandamana? Una huo ujasiri? Una huo uwezo?
😆😆😆😆😆Wewe unajitambulisha na kuweka namba za simu ili wakukumbuke kukutupia makombo. Njaa itakuua wewe chawa.
Mtu haishi kwa kula ugali tu.Kuwa makini.niache kupambana ugal wangu na watoto. siasa hizi. kaz kwel kwel. kwangu ugali ni bora